Mahakama ya Wilaya ya Temeke yavunja ndoa baada ya Bwana harusi kushindwa kushiriki tendo la ndoa kwa miaka 5. Bibi harusi kapotezewa fertility age

Mahakama ya Wilaya ya Temeke yavunja ndoa baada ya Bwana harusi kushindwa kushiriki tendo la ndoa kwa miaka 5. Bibi harusi kapotezewa fertility age

So kwa miaka 5 alikua anamridhishaje mkewe? Mm siamini huo upuuzi! Kuna kitu hapo. Au mwanamke aliangalia mali na kumvumilia jamaa ili aje achukue mali?

Wanaume mmeona hawa viumbe walivyokaa kitapeli?
Mahakama inaamua kesi kwa mujibu wa sheria na ushahidi yaani evidence,kila mtu anasikilizwa kwa misingi ya natural justice. Pretex haiwezi kuiongoza mahakama kutoa hukumu.Hata kitendo cha kukojoa nje kinaweza kuvunja ndoa.Coitus interruptus kinaweza kutafsiriwa kama ukatili ikiwa wahusika hawakukubaliana.
 
Hili suala lao mbona jepesi.Huyo mama akisubiri sana bila sababu.
Kikristu - Roman Catholic - siku ndoa ikifungwa lazima wahusika wakutane kimwili labda kwa sababu ambazo wao watakubaliana, mmoja akimnyima mwenzake ndoa haijakamilika na hakuna ndoa hapo.
Hapo hata haja ya kwenda mahakamani haikuwepo LABDA kama kuna issue ya mali, au jamaa alikua mbishi..mahakamani mtu kaaibishwa tu aisee
Kwenda mahakamani ni muhimu hata kama hakuna mali.
Ndoa za kikatoliki hubatilishwa na mahakama ya kanisa lakini lazima iende mahakama ya serikali ili wapate kibali cha kuwa huru ili waweze kuoa/kuolewa tena.
 
Dheheby gani walifungia Ndoa? Sijaona mahali mwanamke amethiditisha miaka mitano. Hata hivyo ingekuwa jamaa anapiga miti vizuri na mwanamke Hana uwezo wa kuzaa Ndoa ingevumiliwa.
Ndoa ingeweza kuvumiliwa lakini mwanaume asingevumilia kuishi bila kupata mtoto angeenda kuzaa nje ya ndoa.
 
Mtoa post moderator muwe mnaficha majina ya hayo wa husika , Sio sawa kbsa privacy za watu kuw waz
 
Mahakama ya wilaya ya Temeke yavunja ndoa ya kikristo kati ya Salome Laurian Maganga na Bwana Michael Peter Motau baada ya ushahidi kuonesha bwana harusi hana uwezo wa kushiriki tendo la ndoa.

Ndoa hiyo iliyodumu kwa miaka mitano. ilifungwa mwaka 2019 na imevunjwa mwaka 2024. Bibi harusi alalamika kupotezewa muda wake wa uzazi kwa miaka mitano umepita bure bila kupokea mbegu yoyote.



NIMEJIFUNZA SEX BEFORE MARRIAGE NI MBAYA ILA NA MARRIAGE BEFORE SEX NI MBAYA PIA

Uzinzi sio mzuri, ila ndoa ya kikristo inaweza ikakupotezea sana muda bila kutarajia. imagine binti kaolewa na miaka 30 halafu ndoa inavunjwa akiwa na miaka 35, malengo yake ya uzazi kupata watoto ni kama yameshaharibiwa baada ya mkataba wa ndoa Hiyo kumfunga kwa miaka mitano
Sasa mbona mwamba kaaibishwa asee hii dunia ni ngumu sana
 
Kwenda mahakamani ni muhimu hata kama hakuna mali.
Ndoa za kikatoliki hubatilishwa na mahakama ya kanisa lakini lazima iende mahakama ya serikali ili wapate kibali cha kuwa huru ili waweze kuoa/kuolewa tena.
Kanisa lina Mahakama ?
 
Ndoa imefungwa mwaka june 2019 na ndoa hiyo imevunjwa na mahakama April 2024.

Piga hesabu mwenyewe utajua ndoa ilikuwa hai kwa miaka mingapi
Inawezekaa kesi ndo imechukua miaka hiyo ila ndoa ilivunjika siku hiyo hiyo au mwezi mmoja baadae...
 
Back
Top Bottom