Mahakama ya Wilaya ya Temeke yavunja ndoa baada ya Bwana harusi kushindwa kushiriki tendo la ndoa kwa miaka 5. Bibi harusi kapotezewa fertility age

Hakuna kanisa wala mskiti wenye mahakama hayo ni mabaraza tu.
Uuslamu unatambua kama mahakama ya kadhi na hata serikali inajua kuna mahakama ya kazi kwa minajili ya kutatua hasa masuala ya ndoa,talaka na mirathi kuhusiana na uislam.
 
Lakini pia kwa catholics,lengo la ndoa pamoja na starehe lengo lingine ni kuzaliana,ikithibitika mmoja wa wana ndoa alidanganya hali yake ya afya ya uzazi kabla ya ndoa,hiyo ndoa kikanisa inabatilishwa
 
Umeonge vema. Kikatoliki ndoa ni tendo la ndoa; bila tendo la ndoa hakuna ndoa. Siku ya ndoa pale kanisani kinachofanyika ni kupata baraka ya ndoa baada ya hapo siku hiyo hiyo ni LAZIMA maharusi wafanye tendo la ndoa ndio ndoa inakuwa imekamilika. Lengo la ndoa ni tendo la ndoa. Kupata watoto ni majaliwa ya Mungu.
Hawa walikuwa wanajuana wenyewe. Maana wangeweza kufuta ndoa wiki hiyo hiyo kwa kufuata sheria za Kanisa Katoliki.
 
Uuslamu unatambua kama mahakama ya kadhi na hata serikali inajua kuna mahakama ya kazi kwa minajili ya kutatua hasa masuala ya ndoa,talaka na mirathi kuhusiana na uislam.

Mahakama ya kadhi haitambuliki Tanzania.

Sheria ya Tanzania inatambua bakwata kama baraza kuu la waislamu ambalo linashughulikia migogoro ya ndoa. Likishindwa kuitatua linawapeleka mahakama za kawaida hao ndio wanavunja ndoa kisheria
 
Kwahiyo jamaa alikua anaiangalia tu bila kuibariki wa miaka 5??[emoji23][emoji23]dunia ina mambo
 
La mwamba kavuliwa kanzu... Hivi Mahakana haina kipengele Cha usiri
Sheria yetu ya Tanzania, kesi za ndoa zinasikilizwa katika public court hata asiyehusika anaweza kwenda kusikiliza. Na hukumu inakuwa wazi.
 
Uuslamu unatambua kama mahakama ya kadhi na hata serikali inajua kuna mahakama ya kazi kwa minajili ya kutatua hasa masuala ya ndoa,talaka na mirathi kuhusiana na uislam.
Mahakama ya kadhi hapa nchini haitambuliki kisheria na haipo isipokuwa Zanzibar tu
 
Huyo jamaa alikuwa upinde nn!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…