Mahakama yaamuru Cyprian Musiba kulipa faini ya Tsh. bilioni 6 kwa kumchafua Bernard Membe


 
Anaweza kukubali kulipa 5000 tsh kila mwezi kwa miaka yote atakayoishi duniani.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kwamba highly indebted poor person.
 
Kama sikosei anadaiwa pia na Tibaijuka 80m.
 
hela hiyo jamaa anaitoa wapi? mbona haimfanani
 
Na alivyofulia huyu fala anahela hata ya kuweka mawakili ili wakate rufaa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…