Mahakama yaamuru kupigwa mnada nyumba ya mjane ili kumfidia aliyeumia mguu kwa ajali ya bodaboda

Mahakama yaamuru kupigwa mnada nyumba ya mjane ili kumfidia aliyeumia mguu kwa ajali ya bodaboda

Huyo Majeruhi ni mchawi sana alisha mchulia marehemu. Eti alidai hataki kutibiwa na aliyemgonga anataka atibiwe na ndugu zake...
 
Kama gari au bodaboda ya matehemu ilikuwa na bima hata third party inatakiwa iwalipe wahusika (third parties) fidia na si kuuza mali zake. Hapa inawezekana chombo cha marehemu hakikuwa na bima.
Inawezekana kabisa mkuu
 
Mjane mmoja aliyejulikana kwa jina la Beatrice Lyimo, mkazi wa Mbezi Makabe, jijini Dar es Salaam, yupo kwenye maumivu makali baada ya mahakama kutoa uamuzi kuwa nyumba yake ipigwe mnada mnamo Machi 10, mwaka huu, ili alipwe fidia abiria aliyekuwa amebebwa na bodaboda kugongwa na gari lililokuwa likiendeshwa na marehemu mumewe, na kusababisha abiria huyo kuvunjika mguu.

Akizungumza na Global TV Online, mjane huyo alisema kuwa baada ya ajali hiyo kutokea maeneo ya Mbezi Magufuli, mumewe alijitolea kuwapeleka hospitali dereva wa bodaboda na abiria, lakini abiria huyo alikataa na kusema kuwa atapelekwa na ndugu zake.

Hata hivyo, mumewe aliendelea kumhudumia dereva wa bodaboda hadi akapona.

Baadaye, walipokea wito kutoka kwa abiria aliyekuwa kwenye bodaboda, na alipokwenda kumuona alimlaumu kwa kutomfuatilia tena.

Mumewe alimueleza kuwa alimwomba kumtibu lakini alikataa, hivyo alidhani kuwa hakuhitaji msaada wake.

Abiria huyo akaomba alipwe shilingi milioni tano, lakini mumewe alikataa na badala yake alipokea barua kutoka kwa mwanasheria wa abiria huyo, akimtaka kulipa fidia ya shilingi milioni 200.

Mumewe aliomba suala hilo liende mahakamani. Shauri lilipofikishwa mahakamani, washtaki hawakufika siku ya kwanza, lakini mumewe alienda.

Kwa bahati mbaya, alipokuwa akirudi nyumbani, alipata ajali mbaya maeneo ya Mbezi Kibanda cha Mkaa na kufariki dunia.

Hivyo, walimuomba mjane huyo kuendelea na kesi, na hatimaye ikaamuliwa kuwa nyumba yake iuzwe kwa thamani ya shilingi milioni 35 ili alipwe fidia ya shilingi milioni 24 kwa abiria aliyekuja kuvunjika mguu, pamoja na shilingi milioni 10 za usumbufu.

Jambo hili linamuumiza sana mjane huyo kwani hana kazi, mumewe amefariki, na pia ana watoto wadogo.

View attachment 3252053
Kwenye sheria zetu za makosa ya barabarani hakunaga adhabu ya kumhudumia majeruhi.
Hakimu amekuwa na mihemuko mingi mno.
 
Sio mjuzi wa sheria kabisa, lakini, Pana hujuma hapo, malipo ya ajali hufanywa na bima ambayo huwepo kwenye chombo cha moto, kibaya nadhani huyo aliyegongwa ni mchawi mbaya Sana, hilo ni game!, inachezwa na mahakama, na wapuuzi katika kudhulumu.
Serekali izuie ujinga huu.
kuna uwezekano gari haikuwa na BIMA
kuna NDUGU yangu WAZAZI wake wlilipwa pesa nyingi na MTOTO KIONGOZI MKUBWA awamu ya tatu 7bu alikuwa anaendesha gari haina BIMA akamgonga na kufariki
kesi walichukukia poa kutokana na huyo kiongozi alikuwa ndio TOP awamu hiyo ila km unavyojua wapale wakikomalia lao
ikabidi hilo jambo limalozwe nje ya mahakama kwa kuwalipa FIDIA milioni 35 baba na milioni 35 mama
kuendesha chombo cha moto Bila BIMA kunaweza kukusababishaia hasara kubwa epuka sana hilo jambo
michezo ya mahakamani kulipana FIDIA sijui nini wanawezaga BIMA wenyewe
wewe likikukuta jambo na ukawa huna BIMA inabidi uwe mpole sana
 
Story haijabalance kabisa
Natamani tupate upande wa abiria pia aeleze tukio pia hapo tunaweza kuelewa vizuri kuliko kulaumu maamuzi ya mahakama.
 
Mdaiwa yupo wap hapo?
Mdaiwa anasimama msimamizi wa mirathi na ikibidi kuuza mali basi inayouzwa ni mali ya marehemu na siyo mali ya msimamizi wa mirathi pia kumbuka jukumu kubwa la msimamizi wa mirathi ni kukusanya mali za marehemu ikiwa ni pamoja na madeni anayodai kisha kulipa madeni ya marehemu kama anadaiwa na kilichobaki ndiyo ugaiwa kwa warithi,kesi zinazofutwa za marehemu ni kesi za jinai tu lakini za madai zinaendelea hadi kieleweke.
Ebu jiulize ikiwa marehemu ndiye mdai ina maana mdaiwa hastahili kulipa tena kwa sababu anayemdai amefariki? Ngoja siku likitokea kwa mtu wako wa karibu ndiyo utaelewa.
 
Mjane mmoja aliyejulikana kwa jina la Beatrice Lyimo, mkazi wa Mbezi Makabe, jijini Dar es Salaam, yupo kwenye maumivu makali baada ya mahakama kutoa uamuzi kuwa nyumba yake ipigwe mnada mnamo Machi 10, mwaka huu, ili alipwe fidia abiria aliyekuwa amebebwa na bodaboda kugongwa na gari lililokuwa likiendeshwa na marehemu mumewe, na kusababisha abiria huyo kuvunjika mguu.

Akizungumza na Global TV Online, mjane huyo alisema kuwa baada ya ajali hiyo kutokea maeneo ya Mbezi Magufuli, mumewe alijitolea kuwapeleka hospitali dereva wa bodaboda na abiria, lakini abiria huyo alikataa na kusema kuwa atapelekwa na ndugu zake.

Hata hivyo, mumewe aliendelea kumhudumia dereva wa bodaboda hadi akapona.

Baadaye, walipokea wito kutoka kwa abiria aliyekuwa kwenye bodaboda, na alipokwenda kumuona alimlaumu kwa kutomfuatilia tena.

Mumewe alimueleza kuwa alimwomba kumtibu lakini alikataa, hivyo alidhani kuwa hakuhitaji msaada wake.

Abiria huyo akaomba alipwe shilingi milioni tano, lakini mumewe alikataa na badala yake alipokea barua kutoka kwa mwanasheria wa abiria huyo, akimtaka kulipa fidia ya shilingi milioni 200.

Mumewe aliomba suala hilo liende mahakamani. Shauri lilipofikishwa mahakamani, washtaki hawakufika siku ya kwanza, lakini mumewe alienda.

Kwa bahati mbaya, alipokuwa akirudi nyumbani, alipata ajali mbaya maeneo ya Mbezi Kibanda cha Mkaa na kufariki dunia.

Hivyo, walimuomba mjane huyo kuendelea na kesi, na hatimaye ikaamuliwa kuwa nyumba yake iuzwe kwa thamani ya shilingi milioni 35 ili alipwe fidia ya shilingi milioni 24 kwa abiria aliyekuja kuvunjika mguu, pamoja na shilingi milioni 10 za usumbufu.

Jambo hili linamuumiza sana mjane huyo kwani hana kazi, mumewe amefariki, na pia ana watoto wadogo.

View attachment 3252053
Ujinga huo, sheria gani na mwanasheria gani? Halafu wabongo sisi tabu sana inpotokea ajali nini maana ya bima!?!? Makimbiliaga kutibu kama nani na kivipi? Kila ikitokea ajali ya boda na ndiga assumptions ni kuwa ndiga ndio chombo cha moto kikubwa so kina makosa.

Njoo akate rufaaa. Halafu mume kafa mshtakiwa mke anaingiaje?!?!?!

Ni hayo tu.
 
Mdaiwa anasimama msimamizi wa mirathi na ikibidi kuuza mali basi inayouzwa ni mali ya marehemu na siyo mali ya msimamizi wa mirathi pia kumbuka jukumu kubwa la msimamizi wa mirathi ni kukusanya mali za marehemu ikiwa ni pamoja na madeni anayodai kisha kulipa madeni ya marehemu kama anadaiwa na kilichobaki ndiyo ugaiwa kwa warithi,kesi zinazofutwa za marehemu ni kesi za jinai tu lakini za madai zinaendelea hadi kieleweke.
Ebu jiulize ikiwa marehemu ndiye mdai ina maana mdaiwa hastahili kulipa tena kwa sababu anayemdai amefariki? Ngoja siku likitokea kwa mtu wako wa karibu ndiyo utaelewa.
Unaonekana unajibu kwa nadhalia na kama hujibu hvyo shusha vifungu viinavyosema hvyo
 
Mjane mmoja aliyejulikana kwa jina la Beatrice Lyimo, mkazi wa Mbezi Makabe, jijini Dar es Salaam, yupo kwenye maumivu makali baada ya mahakama kutoa uamuzi kuwa nyumba yake ipigwe mnada mnamo Machi 10, mwaka huu, ili alipwe fidia abiria aliyekuwa amebebwa na bodaboda kugongwa na gari lililokuwa likiendeshwa na marehemu mumewe, na kusababisha abiria huyo kuvunjika mguu.

Akizungumza na Global TV Online, mjane huyo alisema kuwa baada ya ajali hiyo kutokea maeneo ya Mbezi Magufuli, mumewe alijitolea kuwapeleka hospitali dereva wa bodaboda na abiria, lakini abiria huyo alikataa na kusema kuwa atapelekwa na ndugu zake.

Hata hivyo, mumewe aliendelea kumhudumia dereva wa bodaboda hadi akapona.

Baadaye, walipokea wito kutoka kwa abiria aliyekuwa kwenye bodaboda, na alipokwenda kumuona alimlaumu kwa kutomfuatilia tena.

Mumewe alimueleza kuwa alimwomba kumtibu lakini alikataa, hivyo alidhani kuwa hakuhitaji msaada wake.

Abiria huyo akaomba alipwe shilingi milioni tano, lakini mumewe alikataa na badala yake alipokea barua kutoka kwa mwanasheria wa abiria huyo, akimtaka kulipa fidia ya shilingi milioni 200.

Mumewe aliomba suala hilo liende mahakamani. Shauri lilipofikishwa mahakamani, washtaki hawakufika siku ya kwanza, lakini mumewe alienda.

Kwa bahati mbaya, alipokuwa akirudi nyumbani, alipata ajali mbaya maeneo ya Mbezi Kibanda cha Mkaa na kufariki dunia.

Hivyo, walimuomba mjane huyo kuendelea na kesi, na hatimaye ikaamuliwa kuwa nyumba yake iuzwe kwa thamani ya shilingi milioni 35 ili alipwe fidia ya shilingi milioni 24 kwa abiria aliyekuja kuvunjika mguu, pamoja na shilingi milioni 10 za usumbufu.

Jambo hili linamuumiza sana mjane huyo kwani hana kazi, mumewe amefariki, na pia ana watoto wadogo.

View attachment 3252053
aombe appeal .......
 
Mimi ndio maana siamini kama haki inatolewa mahakamani....haki siku zote naipigania mwenyewe kwa njia zangu
 
Kuna watu matatizo yao wanaamini ndo fursa ya kutokea Kama huyo Abiria
 
Hii imekaa kisiasa na hizi sheria hazina utu ndani yake kabisa .

Very sad 😥😥
 
Back
Top Bottom