Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonekana gari haikuwa na bima.Hii kesi na maamuzi yake ni ya kimagumashi sana.
1. Gari haikuwa na bima ?
2. Deni la marehemu linakwendaje kufidiwa na mjane?
3. Kwanini huyo mhanga alikataa kusaidiwa na marehemu kwa gharama za marehemu akiwa hai then aje kumfungulia mashitaka baadae akidai fidia?
Kesi ya madai inaendelea kama kawaida msimamizi wa mirathi ataendelea nayo kwa niaba ya marehemu na ikitokea upande wa marehemu umeshindwa na kuamuliwa kulipa fidia na ikashindikana basi mali za marehemu zitanadiwaHakuna sheria ya hivyo duniani,mdaiwa ameshakufa na kesi closed
Kesi ya madai inaendelea kama kawaida msimamizi wa mirathi ataendelea nayo kwa niaba ya marehemu na ikitokea upande wa marehemu umeshindwa na kuamuliwa kulipa fidia na ikashikana basi mali za marehemu zitanadiwa
Alipwe fidia na nani aliemgonga kafariki vipi MKE abebe adhabu ya kosa la marehemu??Kama huyo mtu alikatwa mguu, basi apewe hela zake kama fidia.
Kinachosikitisha hapo ni neno 'mjane' lakini haki imetendeka.
Je kama marehem asingekuwa na nyumba ama hilo gari nalo lingekuwa haliwez tengenezeka mahakama na walalamikaji wangeendelea na kesi kwa huyo mjane?ama wangemuhukum vipi huyo mjane ili kulipia hiyo fidia wanayoitaka?Kesi ya madai inaendelea kama kawaida msimamizi wa mirathi ataendelea nayo kwa niaba ya marehemu na ikitokea upande wa marehemu umeshindwa na kuamuliwa kulipa fidia na ikashikana basi mali za marehemu zitanadiwa
Eti jamani.Wauze gari walipe fidia
Shida ndio hapo, marehemu kafariki, why mjane aendelee na kesi,? Wangetemana nayoHii kesi na maamuzi yake ni ya kimagumashi sana.
1. Gari haikuwa na bima ?
2. Deni la marehemu linakwendaje kufidiwa na mjane?
3. Kwanini huyo mhanga alikataa kusaidiwa na marehemu kwa gharama za marehemu akiwa hai then aje kumfungulia mashitaka baadae akidai fidia?
Hiyo ni uhakika pikipiki haina Bima au walichagua kumalizana kinyemela bila kesi kurepotiwa polisi, na investigation report pamoja na Claims ziende Bima, asilimia kubwa ya pikipiki hazina Bima baada ya kumaliza Bima ya kwanza ya Bure kwenye kununua pikipiki. Lakini wanavyovimba barabarani kama vile wanamkataba na Mungu wakuishi milele.Sio mjuzi wa sheria kabisa, lakini, Pana hujuma hapo, malipo ya ajali hufanywa na bima ambayo huwepo kwenye chombo cha moto, kibaya nadhani huyo aliyegongwa ni mchawi mbaya Sana, hilo ni game!, inachezwa na mahakama, na wapuuzi katika kudhulumu.
Serekali izuie ujinga huu.
Kesi ingeendelea na hukumu ingetolewa,mahakama isingeweza kuacha kuendelea kuisikiliza hiyo kesi kwa sababu yenyewe haiwezi kujua kama mdaiwa anaweza kulipa au la.Je kama marehem asingekuwa na nyumba ama hilo gari nalo lingekuwa haliwez tengenezeka mahakama na walalamikaji wangeendelea na kesi kwa huyo mjane?ama wangemuhukum vipi huyo mjane ili kulipia hiyo fidia wanayoitaka?
Moja ya haki ya marehemu ni mali yake kulipa madeni yake kabla ya mirathiYani mdaiwa Afe alafu mali ya familia ambayo mke na watoto ni yao ihusike kulipa fidia hizi sheria za wapi jamani.
Ni tatizoHii kesi na maamuzi yake ni ya kimagumashi sana.
1. Gari haikuwa na bima ?
2. Deni la marehemu linakwendaje kufidiwa na mjane?
3. Kwanini huyo mhanga alikataa kusaidiwa na marehemu kwa gharama za marehemu akiwa hai then aje kumfungulia mashitaka baadae akidai fidia?
Kwani wapi hapo umezungumzwa mkopo! Lakini nataka nikufahamishe pia kuhusu shauri la mkopo ni vipi linaweza kuendelea hata pale mdaiwa anapofariki.Mlipaji deni ambaye ni marehemu na bank au taasisi ya mkopo imemkopesha marehemu, deni harilithiwi, urithi ni haki ya warithi kisheria na sio deni.
Mikopo ina insurance kwenye dharula kama hizi ambazo ziko nje ya uwezo wa kila mtu.
Lakini ajali husika mwenye gari ndiye aligonga pikipiki na kumjeruhi abiria wa pikipiki na wala siyo pikipiki ndiyo iliyosababisha ajali.Hiyo ni uhakika pikipiki haina Bima au walichagua kumalizana kinyemela bila kesi kurepotiwa polisi, na investigation report pamoja na Claims ziende Bima, asilimia kubwa ya pikipiki hazina Bima baada ya kumaliza Bima ya kwanza ya Bure kwenye kununua pikipiki. Lakini wanavyovimba barabarani kama vile wanamkataba na Mungu wakuishi milele.