the kind
JF-Expert Member
- Nov 6, 2019
- 865
- 707
Wanatokea nyanda za juu kaskaziniWachanga ni watu gani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanatokea nyanda za juu kaskaziniWachanga ni watu gani?
Hakimu ameshaahidiwa mgao hapo. Hakuna namna nyingine ya kuepukana na huo uhuni.Hii kesi na maamuzi yake ni ya kimagumashi sana.
1. Gari haikuwa na bima ?
2. Deni la marehemu linakwendaje kufidiwa na mjane?
3. Kwanini huyo mhanga alikataa kusaidiwa na marehemu kwa gharama za marehemu akiwa hai then aje kumfungulia mashitaka baadae akidai fidia?
Mimi sijibu kinadharia najua kwa sababu mashauri kama hayo nimeshawahi kushughulika nayo,hata hivyo katika kuchangia hoja kama hizi lengo ni kuelimishana kwa kadri ya ufahamu wa mtu mmoja mmoja katika mada husika hapa siyo mahakamani na wala mimi siyo Advocate hadi sijui nikariri vifungu vya sheria kichwani.Unaonekana unajibu kwa nadhalia na kama hujibu hvyo shusha vifungu viinavyosema hvyo
Kuna boya mmoja hivi hivi aligongwa na gari tena zebra crossing.Kuna uwezekano mkubwa hii ajali haikuhusisha hata traffic kupima ni walimalizana kishkaji wenyewe barabarani.
Hakuna kitu kama hicho mkuuHakuna sheria ya hivyo duniani,mdaiwa ameshakufa na kesi closed
Kesi ya madai hii siyo jinai kwa uelewa wangu mdogo wa sheria. Kwa maana hiyo warithi au msimamizi wa mirathi walitambue hilo.Hakuna sheria ya hivyo duniani,mdaiwa ameshakufa na kesi closed
Bima ina kazi ganiMjane mmoja aliyejulikana kwa jina la Beatrice Lyimo, mkazi wa Mbezi Makabe, jijini Dar es Salaam, yupo kwenye maumivu makali baada ya mahakama kutoa uamuzi kuwa nyumba yake ipigwe mnada mnamo Machi 10, mwaka huu, ili alipwe fidia abiria aliyekuwa amebebwa na bodaboda kugongwa na gari lililokuwa likiendeshwa na marehemu mumewe, na kusababisha abiria huyo kuvunjika mguu.
Kesi haikuwa imefika mwisho hivyo marehemu labda alikuwa na utetezi kuhusu hiyo kesi sasa hayupoKesi ya madai hii siyo jinai kwa uelewa wangu mdogo wa sheria. Kwa maana hiyo warithi au msimamizi wa mirathi walitambue hilo.
Kwenye kukusanya mali ya marehemu si nyumba wala viwanja bali kama marehemu alikuwa anadai au kudaiwa.
Judgement ingetoka kabla hajafa,hapo sawa,hata ukichukua Personal lian bank ukafa,bima inakipa,familia yako haiguswiHakuna kitu kama hicho mkuu
Jinai haifiJudgement ingetoka kabla hajafa,hapo sawa,hata ukichukua Personal lian bank ukafa,bima inakipa,familia yako haiguswi
Wewe ndio haujui.Siku zote ukipata shida inayohusiana na sheria ,wewe tafuta mwana sheria akusaidie vinginevyo utapewa hukumu hata ya mtu mwingine, tatizo ni kutokujua sheria ,kazi ya bima ni kudeal na ajali sio mtu binafsi
Ndio familia wakate rufaa kutia huruma kama mjane haitowasaidia,msimamizi wa mirathi asimamie kesiKesi haikuwa imefika mwisho hivyo marehemu labda alikuwa na utetezi kuhusu hiyo kesi sasa hayupo