Upendo iswa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2018
- 345
- 548
Hao wapalestina watamuua Jack
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ligi za fwedha tena na wachaga hawaziwezi budaWatu wa Kigoma wanapenda ligi hatari, wabishi kama nini.
ukianzisha vita nao ujipange.
Inaweza kutokea ila si leo wala kesho! Kwa sababu za kisheria lazima kifo chake kisiwe na shaka kitakapotokeaHao wapalestina watamuua Jack
Ligi ndogo sana hii kwa uzoefu wawachaga kwenye mambo za Mali nawajua vizuri we subiria tu mrejesho...Watu wa Kigoma wanapenda ligi hatari, wabishi kama nini.
ukianzisha vita nao ujipange.
Na mm nimewaza hivyo hivyo, watakuwa wapalestina wa mchongo hawaWapalestina wanakwama wapi? Katoto kadogo kanawasumbua ka k lyn
Kiasili Regnald mengi ni Mchaga wa Marangu ....Kule machame walihamia tuuNa mm nimewaza hivyo hivyo, watakuwa wapalestina wa mchongo hawa
Wale OG wangeshamaliza chap kwa haraka
Ni aibu jombaa!! Ni aibu aiseeWapalestina wanakwama wapi? Katoto kadogo kanawasumbua ka k lyn
Hako Katoto kadogo na Watu wanaojielewa vyema ( hasa Kisheria ) nyuma yake.Wapalestina wanakwama wapi? Katoto kadogo kanawasumbua ka k lyn
anaitwa mzee nani !Kuna mzee mmoja aliuza nyumba yenye shamba kubwa Kunduchi alipoona siku zake zimekwisha kwa kujua kuwa watoto na mke mkubwa wangekuja kumbugudhi mke mdogo.
Alipiga zaidi ya bil 1.
Nadhani mke mdogo ana maisha mazuri sasa hivi...
yaani Ni kazi kweli aisee, hata ukiandika ukiwa na akili timamu, watoto watafoji cheti uonekane ulikuwa na tatizo la afya ya akiliUnaambiwa kabla hujafa andika wosia, unaandika wosia ukifa wosia unapingwa na watu wengine kwa hoja kwamba wakati unauandika hukua na akili tomamu na watu wengine wakuamulia nje ya uamuzi uliouacha wewe mwenyewe, wosia una maana gani sasa?
we kweli tahila, utapeli wakati amezaa na marehemuHuyu Klyn anatafuta balaa.
Atafute pesa kwa jasho aache utapeli.
Yeye ndio atawaua wao kabla yakeInaweza kutokea ila si leo wala kesho! Kwa sababu za kisheria lazima kifo chake kisiwe na shaka kitakapotokea
Kwa ilipofikia now hata Jack akifa kwa mipango ya Mungu itajulikana tu ni hawa jamaa.Hao wapalestina watamuua Jack
Kwa mzigo wa Mengi lazma risasi zitarindima tu.Watu wanapiganaga marisasi sababu ya urithi.
Hapo watakata tena rufaa.