Hii sio njia sahihi.
Kama una jumba lina thamani ya mil 400 uko, uza, weka pesa kwenye joint acount ya wewe na mkeo. Weka fixed deposit. Ukifa ndugu wanaambulia vijiko tu.
Shida mke wako anaweza kukuua pia ili azitumbue na ndugu zake ama ki ben 10.. maana pesa ni shetani