Mahakama yabatilisha makubaliano ya mgawanyo mirathi ya Mengi

Mahakama yabatilisha makubaliano ya mgawanyo mirathi ya Mengi

Hili shauri lipo wazi. Mali isiyokuwa ya Mengi inatakiwa iondolewe kwenye mirathi yake ndipo mgawanyo mwingine ufanyike!
 
Kwa taarifa jack anapata pakubwa kuliko mwanzo ila hii ngoma ndo Inakuwa mbichi ngoja wapalestine wajipange na jack nae na crew yake tuone mwisho wake.
 
Umeelewa lakini !! Ni hivi palikuwa na Mali zilitaka kupigwa pasu kupelekwa kwa mke wa mengi wa mwanzo kama 50% then zinazobaki ndo wanagawane Tena .

Sasa mahakama haitambui hilo zote 100% zitagawanywa
Hili shauri lipo wazi. Mali isiyokuwa ya Mengi inatakiwa iondolewe kwenye mirathi yake ndipo mgawanyo mwingine ufanyike!
 
Eti gold digger ungeenda kuolewa wewe halafu baada ya kufiwa unaona tu watu wanazoa mali halafu wewe ukae kimya tu.
Kuolewa hakukupi uhalali wa mali, mchango wako kwenye utafutaji wa hizo mali ndo unaokupa uhalali wa mali, ndo mambo ya kupigana risasi yanaanziaga huku huku. Zile kampuni kuna watu walishiriki kuzijenga from the ground japo Mengi ndo alisimama hapo mbele. Umakini unahitajika sana kwenye kufanya maamuzi.
 
Kuolewa hakukupi uhalali wa mali, mchango wako kwenye utafutaji wa hizo mali ndo unaokupa uhalali wa mali, ndo mambo ya kupigana risasi yanaanziaga huku huku. Zile kampuni kuna watu walishiriki kuzijenga from the ground japo Mengi ndo alisimama hapo mbele. Umakini unahitajika sana kwenye kufanya maamuzi.
Unarejea sheria namba ngapi ya mwaka gani ili kuyapa maelezo yako nguvu?
 
Hii ngoma ngumu sana aisee ,wakifanya zile asilimia 100 zote zigawanywe upya wapalestine wataondoka na uhai wa mtu ,Tupo hapa tutaona
Ni hivi mkuu...kuna mgawo ambao tayar wanandoa walikubaliana wagawane 2015 lkn hawakufikia tamati...ambapo marehemu mke WA mengi ilishajulika angepata asilimia 35 ya mali....lkn wapalestina wakatKa bimkubwa apate 50 kitu ambacho kinakiuka makubaliano ya awali....hapo haki ya marehemu mke mkubwa ni 35....inayobakia unarudi Kwa mengi tayar Kwa mgao!
 
Ni hivi mkuu...kuna mgawo ambao tayar wanandoa walikubaliana wagawane 2015 lkn hawakusikia tamati...ambapo marehemu mke WA mengi ilishajulika angepata asilimia 35 ya mali....lkn wapalestina wakatKa bimkubwa apate 50 kitu ambacho kinakiuka makubaliano ya awali....hapo haki ya marehemu mke mkubwa ni 35....inayobakia unarudi Kwa mengi tayar Kwa mgao!
Labda hapa nafikiria bi mkubwa akipata asilimia zake then wagawane Tena itakuwa poa. Kuliko zote waanze upya kwa sababu jack kamkuta mzee tayar yupo tajiri ila ninaona hapa wapalestine wanaingiza Tamaa kuleta mpaka asilimia 50 ili wale kwa mama yao na baba Tena .

Ngoja tuone yetu macho.
 
Watu tuu au watoto?
Watoto na mtalaka wa marehemu. Jack hajawazuia ila wanazichota kihalali au kwa mgongo wa kusema yule alikua baba yetu? Sheria zipo wazi zifuatwe. Kama ntuyabhaliwe sheria itambwaga inabidi akubaliane. Kama hao watoto sheria itawabwaga itabidi watulie.

Cha msingi haya mambo naona kuna tamaa kutoka pands zote tatu na wameshindwa kuelewana kwasababu kila mtu anataka ale pakubwa.
ushauri. Wakae tena chini wayamalize kindugu. Sheria zipo zitawakata kotekote ila mwisho wa siku maisha yataendelea. Na maisha yatawagusa wao wenyewe na sio sheria tena.

ushauri wa pili. ISIFIKIE HATUA WAKODISHIANE MAGENGE YA KIHALIFU KUTOANA ROHO.
 
Umeelewa lakini !! Ni hivi palikuwa na Mali zilitaka kupigwa pasu kupelekwa kwa mke wa mengi wa mwanzo kama 50% then zinazobaki ndo wanagawane Tena .

Sasa mahakama haitambui hilo zote 100% zitagawanywa
Naona mahakama inataka kurefusha shauri. Hii kitu ipo wazi na wala haina haja ya kuanza kurumbana mahakamani. Sijui kwa sheria zetu zimekaaje lakini kwa akili ya kawaida, mali isiyo ya marehemu haihusiki katika mirathi ya marehemu. Yaani huwezi kurithi kisicho halali yako!
 
Kuolewa hakukupi uhalali wa mali, mchango wako kwenye utafutaji wa hizo mali ndo unaokupa uhalali wa mali, ndo mambo ya kupigana risasi yanaanziaga huku huku. Zile kampuni kuna watu walishiriki kuzijenga from the ground japo Mengi ndo alisimama hapo mbele. Umakini unahitajika sana kwenye kufanya maamuzi.

Kama hujui sheria uliza wanaozijua wakusaidie kwa ukweli.

kisheria, hasa sheria za Mirathi kwa Tanzania, Kinachoangaliwa ni Mali alizoacha Marehemu na warithi wa Marehemu basi.

Nitatoa mfano. Mkikaa kikao cha Mirathi, cha kwanza mtajadili Mali alizoacha Marehemu na warithi wake. Sasa sifa ya warithi haitegemei umri na mchango wake kwenye mali za marehemu.

Warithi halali ,unaanza na Mke wa Marehemu, Watoto wa Marehemu na wazazi wa Marehemu. Sasa haijalishi huyo Mke umemwoa lini na ukiwa na mali kiasi gani. Kinachoangaliwa ni hadhi yake kama ni Mke wa marehemu basi.

Anaweza kuwa Mke umemuoa ndani ya mwaka mmoja na amekuta karibu mali zote umechuma mwenyewe, Ukifa anapata mgawo wake safi kama mrithi wa Marehemu....... Msichanganye mambo ya Mirathi na sheria za ndoa katika mgawanyo wa mali pale ndoa zinapovunjika.
 
Labda hapa nafikiria bi mkubwa akipata asilimia zake then wagawane Tena itakuwa poa. Kuliko zote waanze upya kwa sababu jack kamkuta mzee tayar yupo tajiri ila ninaona hapa wapalestine wanaingiza Tamaa kuleta mpaka asilimia 50 ili wale kwa mama yao na baba Tena .

Ngoja tuone yetu macho.
Kweli mkuu....hiyo ndo itakuwa haki...kwakuwa marehemu kabla wote hawajafa walikubaliana hivyo
 
Unarejea sheria namba ngapi ya mwaka gani ili kuyapa maelezo yako nguvu?
Sheria za mtaani na maamuzi binafsi. Unadhani kila jambo humalizwa kwa vifungu vya sheria? Ndo maana nasema umakini unahitajika pande zote ziondoke mahakamani na haki halali.
 
Kama hujui sheria uliza wanaozijua wakusaidie kwa ukweli.

kisheria, hasa sheria za Mirathi kwa Tanzania, Kinachoangaliwa ni Mali alizoacha Marehemu na warithi wa Marehemu basi.

Nitatoa mfano. Mkikaa kikao cha Mirathi, cha kwanza mtajadili Mali alizoacha Marehemu na warithi wake. Sasa sifa ya warithi haitegemei umri na mchango wake kwenye mali za marehemu.

Warithi halali ,unaanza na Mke wa Marehemu, Watoto wa Marehemu na wazazi wa Marehemu. Sasa haijalishi huyo Mke umemwoa lini na ukiwa na mali kiasi gani. Kinachoangaliwa ni hadhi yake kama ni Mke wa marehemu basi.

Anaweza kuwa Mke umemuoa ndani ya mwaka mmoja na amekuta karibu mali zote umechuma mwenyewe, Ukifa anapata mgawo wake safi kama mrithi wa Marehemu....... Msichanganye mambo ya Mirathi na sheria za ndoa katika mgawanyo wa mali pale ndoa zinapovunjika.
Tsh jifunze hapo. Mkishafika mahakamani maamuzi binafsi yanabaki moyoni mwako.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Back
Top Bottom