Mpetde
JF-Expert Member
- Sep 5, 2022
- 3,955
- 6,546
Unasema kweli?Uonevu tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unasema kweli?Uonevu tu.
Umeshaingizwa cha kike akili ndogoUjuaji unao Mwingi
.... na kauli.Tanzania tunaendeshwa na matukio
Katika kipande cha amri inayodaiwa kutolewa na mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kivukoni iliyopo Kinondoni inaonesha Mwanamitindo Noel Ndale Mushi maarufu kama Noel ambaye ni mbunifu wa mavazi ya wasanii , Kelvin Maliki Ngao maarufu kama Kelvin Events na Mzungu Mmoja anauejulikana kama David wameamriwa wapimwe endapo wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja yaani ushoga na mpaka sasa bado wanashikiliwa na polisi Oysterbay.
Ikibainika wanajihusisha na mapenzi ya jinsia moja watakabiliwa na kifungo cha miaka 30 jela kwa mujibu wa Sheria za Tanzania.
View attachment 2594645
Wewe pia itabidi ukapimweThis is unacceptable, tumeanza lini inchi kuwa hivi?? This is state failure, ushoga wake ww una kuhusu nini?
This is unacceptable, tumeanza lini inchi kuwa hivi?? This is state failure, ushoga wake ww una kuhusu nini?
Aisee, unajaribu kutetea ?This is unacceptable, tumeanza lini inchi kuwa hivi?? This is state failure, ushoga wake ww una kuhusu nini?
[emoji23][emoji23][emoji23]Noel Mushi
Acha ujinga unaoufanya kijanaThis is unacceptable, tumeanza lini inchi kuwa hivi?? This is state failure, ushoga wake ww una kuhusu nini?
Hao waliofanyiwa hvyo serikali haijakurupuka Wanajua exactly wanachokifanyaTafakari ndio una mke na watoto, halafu unapitishiwa amri kama hio na mahakama ya kupimwa kama marinda bado yapo imara au vidume wameshatindua mshono!!!
Ukirudi home mnatazamanaje usoni na familia?
Ama kweli mungu hamfichi dhalimu!!!
Tamaa TUUna picha zao? Watani zangu Wachaga imekuaje Tena?