Mahakama yadaiwa kuamuru Mwanamitindo Noel na Mpambaji Kelvin Events wapimwe endapo wanafanya mapenzi ya jinsia moja


Safi sana tukishirikiana kwa pamoja tutatokomeza ushoga nchini kwetu.
Tanzania bila ushoga inawezekana, tuutokomeze ushoga kwa njia yoyote ile.....
 
Tafakari ndio una mke na watoto, halafu unapitishiwa amri kama hio na mahakama ya kupimwa kama marinda bado yapo imara au vidume wameshatindua mshono!!!

Ukirudi home mnatazamanaje usoni na familia?

Ama kweli mungu hamfichi dhalimu!!!
Hao waliofanyiwa hvyo serikali haijakurupuka Wanajua exactly wanachokifanya
Kevins,Phill cakes na noel ni mashoga wanaojidhihirisha waziwazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…