25000q
JF-Expert Member
- Dec 27, 2022
- 4,805
- 3,762
Tulia upimwe kwa vidole weweYaan inashangaza kwa kweli, ndo hii nchi imefikia huku? Ni maajabu mnooo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia upimwe kwa vidole weweYaan inashangaza kwa kweli, ndo hii nchi imefikia huku? Ni maajabu mnooo.
Kwani hata unaofia unaweza pimwa kwa vidole?Ni zaidi ya udhalilishaji haswaaa, haikubaliki hata kidogo.
Shoga alivio na kihelehele ajifiche tenaHivi Mtu akiwa choko Mpk ajidhihirishe si wafanywe kimya kimya km kina Fulani
Hao nao wamezidi bwanaaa...yaani hawajifochi ht kidogo kaahh
Ajawai kutokea shoga afanywe kwa siri shoga hana akili mwanaume akifikia kiwango cha kuingizwa myama na mwanaume mwenzie tambua hata akili zimaribika ndio maana wengi wao hawana hayaHao wapuuzi wafungwe tu miaka 30 maana wanaharibu jamii ,huyo david na yeye apigwe mvua 90.
Hakuna haki za kibinadamu kufanya ufirauni hadharani ,kama wao ni mashoga wafanye kimya kimya huko sirini na si kuleta unyoronyoro mitandaoni.
Kwani serikali anafanya kazi 1 tu?Serikali wanafanya jambo zuri ila inakuwa sio poa kutumia njia hii kufunika uovu wao.
Yani lengo la serikali ni kuwasahaulisha wenye akili ndogo ripoti ya CAG
Sisi tumemkataaaTulishamtoa Kwenye Kabila Labda Ndugu Zetu Kama Wapare Walimpokea
Mbona JKT vijana wanapigwa Tochi, na inafahamika.of course, kuna siku hata wewe ambaye ni straight person, utapimwa, wataupekenyua huo unyuma wako. utafurahi? unatakiwa kuwepo utawala wa sheria ili yasitokee kama yale yaliyotokea kwa makonda kupima watu wazima mkojo hadi mwenyekiti alihangaika kweli asipimwe mkojo. au umesahau. hicho ndicho tunachosema.
hata hivyo, haya yote wanasababisha mashoga, wasingeleta ujinga wao hata yasingekuwepo. pia tumeyalea kwa muda mrefu sana, wale kina james, na hata huyo noel, mbona kitambo sana anajionyesha kama ni punga ila tulikuwa tunamwacha tu. pia, ifike pia mahali, hao mashoga wawekwe kitimoto vizuri wawataje wanaowaingilia, nao washitakiwe. hilo linawezekana, ujinga wao ni kwamba wanafungwa peke yao, wanatakiwa waseme wale wanaowaingilia ili wote waende jela. hapo ndio utakaposhangaa hadi viongozi wanakamatika. but everything kiende kwa utawala wa sheria (rule of law) ili vichaa wachache wasijetumia hiyo kama opportunity kuumiza wengine au hata kuomba pesa kwa personal interests.
imagine sasaivi mzee, mtu wa aina ya makonda anatuma watu kwako kwamba unatarajiwa kwenda kupimwa anus, ama la toa pesa fulani, utatoa au hautatoa? yaani mwanaume mwenzio anaenda kukuvua suruali na kuangalia anus yako, ndio walichofanya kina sabaya na makonda hayo. na wamepiga pesa sana chafu kama izo.
Wamepewa dhamana ila kesi bado ipo.
Ila wanaume kama mabinti wanakuwa hawana pigo za kishoga? Unakandwa weweHizi pigo za kuufikiria sana ushoga kichwani ndio wanakuwa nazo mashoga. Acha tabia hizo utapigwa bomba.
Ndiyo sheria za nchi (Penal Code) kaombe bunge lifute sheria iwe ruksa watu kulawitiwa. Pia majority hatutaki ushoga tunaamini almighty God who created us anauchukia sana na atashusha moto kama wa Sodoma na Gomorah.This is unacceptable, tumeanza lini inchi kuwa hivi?? This is state failure, ushoga wake ww una kuhusu nini?
Sasa huyo mmoja hapo si ndiyo designer wa msanii wenu mkubwa bongo
Ova
Si ndo huyo mzungu nasikia bae yupo nyavuni heheheAnaemfira kwanin asishughulikiwe kwanza
God who created us anauchukia sana na atashusha moto kama wa Sodoma na Gomorah.