Mahakama yadaiwa kuamuru Mwanamitindo Noel na Mpambaji Kelvin Events wapimwe endapo wanafanya mapenzi ya jinsia moja

Mahakama yadaiwa kuamuru Mwanamitindo Noel na Mpambaji Kelvin Events wapimwe endapo wanafanya mapenzi ya jinsia moja

Kuzaa mtoto wa kiume ni mtihani mnoo kizazi hiki na mzazi anatakiwa amchunge mnoo kuliko wa kike
Ukimchunga sana wa kiume kuliko wa kike

Wahuni watakula na chumvi huyo wa kike.

Atakuletea mjukuu ukiwa bado kijana kabisa unaitwa bibi
 
Halafu naona Mange Kimambi anawatafutia hifadhi kwenye ubalozi wa Marekani?Nacheka tu mwenyewe ,hawa wakienda Marekani watarudi wenyewe ,kule hakuna uswahili na lazima ufanye kazi yaani ushoga haikupi pesa ni part ya starehe tu
Kwani states hakuna wanunuaji wa sewage system
 
Kama ni wanamitindo kupona itakuwa ngumu aisee, wengi wao wana tabia zile

Dah! Rekebisheni hiyo sheria bana, haipaswi kukurupukia watu na kuanza kuwapima kiholela.
Sipendi mashoga, natamani mashoga watiwe adabu popote walipo lakini sio kwa hii style ya kudhalilisha kila mtu unayemshuku, kutangaziana kwenye vyombo vya habari.
Mpimeni mtu kisiri, mkigundua ni shoga ndio muitangaze.
Halafu upimaji wenyewe aisei mwanaume anakutia vidole kukukagua humo, mbona tutapigana ngumi, bora hata nitiwe kidole na mwanamke kidogo nitavumilia.
 
Dah! Rekebisheni hiyo sheria bana, haipaswi kukurupukia watu na kuanza kuwapima kiholela.
Sipendi mashoga, natamani mashoga watiwe adabu popote walipo lakini sio kwa hii style ya kudhalilisha kila mtu unayemshuku, kutangaziana kwenye vyombo vya habari.
Mpimeni mtu kisiri, mkigundua ni shoga ndio muitangaze.
Halafu upimaji wenyewe aisei mwanaume anakutia vidole kukukagua humo, mbona tutapigana ngumi, bora hata nitiwe kidole na mwanamke kidogo nitavumilia.
Hao waliotajwa hapo ukiona picha zao wala hutahitaji kuwapima, ni mashoga 100%, alafu linaishi na mzungu mwanaume nyumba moja unategemea nini hapo?
 
Wewe ulipewa shi ngapi hadi ukakubali kuchokolewa?
Wewe unataka upakatwe uli usikose misaada unahofia harakati za mama zinaweza kuathiri biashara yako napenda tu nikuhakikishie Puru lako ni mali ya jamuhuri kama ilivo Kwa meno ya tembo ukilawitiwa tu jamuhuri inakushikia kama mwewe
 
Wewe unataka upakatwe uli usikose misaada unahofia harakati za mama zinaweza kuathiri biashara yako napenda tu nikuhakikishie Puru lako ni mali ya jamuhuri kama ilivo Kwa meno ya tembo ukilawitiwa tu jamuhuri inakushikia kama mwewe
Wewe endelea kulawitiwa na sisi tunaendelea kukutetea kikubwa akaunts zetu za benk zinatuna
 
Na watajuaje kama hiyo hali inatokana na yeye mwenyewe kujiingiza vitu au vidole vyake? Sheria inakataza watu wawili au zaidi kushirikiana kuingiliana kinyume cha maumbile. Sasa watamfungaje mtu ambaye kwa starehe zake mwenyewe anajiingiza vitu/ vidole katika sehemu mbali mbali za mwili wake? Au alifanyiwa vitendo hivyo kwa kulazimishwa? Huu ni uonevu uliopitiliza.

Amandla...
Kujiingizia vidole ni ushoga hivyo miaka 30 ni yake akajiingizie huko jela.
 
Hii ndo shida ya watanzania hatutumii akili kujibu hoja bali tunajibu tu yaani hatusomi kuelewa unasoma ili kujibu kisifa sifa bila staha.

Maandishi yetu sometimes uonyesha namna mtu yupo na maisha ya aina ipi, amekulia katika mazingira yapi, pia huleta picha ya uwezo wake kuelewa jambo, hivyo huleta tafsiri ya haraka ya kiwango cha elimu cha mwandishi husika.
Next time uwe na heshima kijana.
Mashoga tutawapinga popote
 
Yule kijana keshaangamia [emoji26]
Tulikuwa slipway na mrembo night tukifurahia weekend tukamuona kamuinamia muhuni mmoja kwenye kona kama sio mwarabu basi mhindi mwenzie katikati ya mapaja huku kapiga magoti kwa namna alivyokuwa busy kuchezesha kichwa nadhani alikuwa anamnyonya yule mhuni, sikuamini ule ufirauni nilipigwa na butwaa.
Inasikitisha sana, huyo ndie alitakiwa akapime, ni kama ana mtandao wake.
 
Mama ana piga kimya kimya..
Nadhani wakiaanza na hawa wanao jionesha na kufahamika na jamii...
itakuwa ni tishio kwa wengine.

Kwa hiyo hapo akina Kumbuka, akina, Aggrey wajiandae
Mama anapiga kimya, mjanja, marekani ataendaje, misaada ya wazungu tutakosa, kaona ajifanye hayupo na Mambo ya ung'ese, ulaya kutamu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Noel Mushi
Ingekuwa wa kwetu pwani, ningesema au watu wangesema, kwao wamasikini, alifanya au kuwa na mzungu shida, kwao Mali kibao, kweli ung'ese hauna dini Wala kabila, saingine ni tabia tu.
 
Back
Top Bottom