Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni wenyekiti kwenye issue kama hizi sio bush lawyer I am a town ,,,,,,........oneMgerasi Bush lawyer acha sound na fix jamvin.
Hahaha.....dah. ya kweli haya?Harmonise na Steven Nyerere ni matapeli wakubwa,nilikua na kagoli kangu hapo mbezi kwa zena enzi hizo najitafuta..nilikua nauza fresh meat na samaki,hao jamaa wakawa wateja wangu wa kuniungisha..mara ghafla wakaanza kunikopa..mpaka leo ni mwaka wa nne umepita Steve namdai laki 2 na 30 na harmonize namdai laki 6 na 50..wote hawapokei simu zangu hadi kesho.
Mambo yale aliyosema Rostam.Baada ya usumbufu uliopitiliza wa ulipaji wa mkopo huo kutoka kwa Harmonize, CRDB walifikia uamuzi wa kwenda mahakamani. Uamuzi huo ambao mahakama ilitoa wito mara kadhaa kwa Harmonize, lakini Harmonize hakufika mahakamani. Na hata mahakama ilipomuomba kutoa maelezo (Written statement of defence WSD) hakufanya hivyo.
Nilikuwa nasubiri mtu aongelee hili. Tuliambiwa Jembe katia mzigo, sasa hivi tunaona hukumu za madeni ya mikopo, nimeshangaa.Shida yeye ana njaa pia meneja wake jembe nae njaa,alimtoa wasafi ampige pesa zake...jembe kabaki kumtafutia show za ccm na yanga hana jipya
Ile nyumba ya engineer nani!Ila Harmonize ni mtata kwenye kulipa madeni, nakumbuka miaka kadhaa hapo nyuma amewahi kukimbia deni la kodi ya nyumba aliyokuwa akiishi huko Mbezi Beach kwa Mchagga mmoja kama 150 Milioni hivi.
Kwenye interview moja nilisikia anasign madeal ya 100M.Harmonize alifanikiwa kupunguza deni hilo hadi kufikia kiasi cha 103,185,755. Baada ya hapo hakulipa tena hadi kufikia hukumu iliyotolewa 2/08/2024 ambapo msanii huyo ametakiwa kulipa kiasi chote kilichobaki katika mkopo, gharama za kesi na fidia ya milioni 10 na nyinginezo kama mahakama ilivyoona.
Unaamini hizo 😄muziki wa bongo unalipa sana.cheki harmonize kamuhonga kajala range mbili.ila ukweli mmh.ndo maana mimi nina sema.MIA YA KWANGU.
Naona mwenzie show za ccm kazipa kisogo siku hizi. Sijui kaona ni za kitapeli au vipiShida yeye ana njaa pia meneja wake jembe nae njaa,alimtoa wasafi ampige pesa zake...jembe kabaki kumtafutia show za ccm na yanga hana jipya
Hawa huwa wanazidisha sifuriKwenye interview moja nilisikia anasign madeal ya 100M.
Sasa hapa alishindwaje kulipa deni angalau milioni 3 kila mwezi?
Ndio maana tunawambia Vijana Kataa Mapenzi Linda Uchumi wako na Afya ya Akili.Ile nyumba ya engineer nani!
Kutwa kuvimba yake
Wasani tatizo wanaishi kwa kufake
Huyo sana sana madem wanamlia tu
Asione msambwanda huyoooo
Ova
Umaarufu + pesa+ lile naniliuuu ooohhh haleluyah 😋Kwamba umaarufu haumsaidii pesa inahusika pia?
Kulipa deni la pesa la uliyohonga inauma Kaka hujui tu.Kwenye interview moja nilisikia anasign madeal ya 100M.
Sasa hapa alishindwaje kulipa deni angalau milioni 3 kila mwezi?
HahaaHawa huwa wanazidisha sifuri
Ova
Mno......unaona kama hukuwahi kuzipokea hizo pesa.Kulipa deni la pesa la uliyohonga inauma Kaka hujui tu.