Mahakama yamtia hatiani Harmonize, atakiwa kuilipa mamilioni CRDB!

Mahakama yamtia hatiani Harmonize, atakiwa kuilipa mamilioni CRDB!

Akiomba kesi isikilizwe pande zote mbili ili akubaliwe lazima atoe sababu za msingi
Kesi inasikilizwaje pande mbili kama ilikwisha anza sikilizwa ex parte ????

Huwa wanasema jamani eeeh mwenyewe kaibuka, huyu hapa, tuanze upya tufute ma proceedongs na ma submission na ma petition na ma ushahidi yooote yaliyo tolewa so far.... tuanze upya, ndo hivyo ?????

Ex Parte proceedings ndio zinafanywa hivyo ????
 
Mkopo huo ulikuwa wa Dhamana ya Ardhi (Nyumba) (Mortgage) au ni wa Nini hasa??? Dhamana au rehani aliweka assets gani ili kudhamini huo mkopo? Milioni 300 aliwezaje kukopeshwa na benki ya CRDB kiurahisi hivyo bila ya kuweka rehani mali yake yoyote ile? Ina maana kwamba alikopeshwa pesa nyingi kiasi hicho bila ya Mkopeshaji (Crdb) kujiridhisha Kwanza kuhusu uwezo wa mtu huyo wa kulipa marejesho ya deni lake???

Anyway, mkopo siyo sadaka, Mkopaji alipaswa kukopa kwa malengo.
Dawa ya deni ni kulipa.
Haya ndio matatizo ya kupata pesa nyingi ukiwa bado umri mdogo.Bank hawawezi kuwa wajinga kiasi hicho kumkopesha mtu bila dhamana,vinginevyo kuna nguvu kutoka serikalini ilitumika,na dogo kwakuwa ana ka ushamba flani ka asili anaona kutokulipa ni ujanja,kumbe hajui hilo linaweza kuwa ndio anguko lake...
 
Back
Top Bottom