Bilioni 1?🙆labda ya jalalaniPesa ndogo sana hiyo msanii kama harmonize ambaye mapato yake kwa mwaka ni zaidi ya bil 1 tuna wilaya ngapi hii nchi ? Zaidi ya wilaya 300 huko kote nyimbo zake zinasikilizaa
Sio hivyo mkuu hapo umefanya ujuaji ni Bomboclaat hivyo hivyo Cc ephen_Correction: Bumboclaat
😂😁Kazi kuhonga tu, kulipa madeni aaah🤣🤣🤣
Nilibadili gia anganilaki 8 na 80 ipo kwa wateja biashara yako inaendeleaje
Maisha kitendawili.akiwa nje anatuomesha kuwa kajipata.ana maisha mazuri kumbe ana madeni na ameshindwa kulipaUnaamini hizo 😄
Ova
Kabisa.naipata kwa jasho.ila nikitamani utajiri wa mwenzangu alafu sijui kaupataje.kumbe mtu ana madeniHATA KAMA NI MBOVU!
Huo nao ni ukomavu wa kibiashara, nimekuja kukukopa maana yake ni kwamba sina pesa, then unaamua mwenyewe bila kulazimishwa kunikopesha, halafu ghafla unaanza kunidai nikulipe....Wala hakuna ubaya katika kukopa, ubaya kaisumbua taasisi hadi kupelekana mahakamani sio sawa.
List ninayoujua mimi ya watoto wa kota za tanesco tu pale pazi ni Saba hiyo ni mwaka 99 kabla ya Pfunk.Mmkonde anakula 2020 lakini nasikia inaoshwaga na omo inakuwa mpya.Sasa huyo mshamba anahaingaika na kajala wakati hyo kajala kaanza utundu tokea yuko darasa la 6 ashapigana vita vingi
Ova
unajifanya huelewi pesa imeenda wapi sio?Kwani walikopa wao Mkuu?
Sio kitu cha kuogopa kama unataka kufanikiwa..labda tu yeye ana madeni mabaya kwakua balance sheet yake insongozwa na misambwandaKabisa.naipata kwa jasho.ila nikitamani utajiri wa mwenzangu alafu sijui kaupataje.kumbe mtu ana madeni
Kesi inasikilizwaje pande mbili kama ilikwisha anza sikilizwa ex parte ????Akiomba kesi isikilizwe pande zote mbili ili akubaliwe lazima atoe sababu za msingi
Haya ndio matatizo ya kupata pesa nyingi ukiwa bado umri mdogo.Bank hawawezi kuwa wajinga kiasi hicho kumkopesha mtu bila dhamana,vinginevyo kuna nguvu kutoka serikalini ilitumika,na dogo kwakuwa ana ka ushamba flani ka asili anaona kutokulipa ni ujanja,kumbe hajui hilo linaweza kuwa ndio anguko lake...Mkopo huo ulikuwa wa Dhamana ya Ardhi (Nyumba) (Mortgage) au ni wa Nini hasa??? Dhamana au rehani aliweka assets gani ili kudhamini huo mkopo? Milioni 300 aliwezaje kukopeshwa na benki ya CRDB kiurahisi hivyo bila ya kuweka rehani mali yake yoyote ile? Ina maana kwamba alikopeshwa pesa nyingi kiasi hicho bila ya Mkopeshaji (Crdb) kujiridhisha Kwanza kuhusu uwezo wa mtu huyo wa kulipa marejesho ya deni lake???
Anyway, mkopo siyo sadaka, Mkopaji alipaswa kukopa kwa malengo.
Dawa ya deni ni kulipa.
Kitu nisichotaka kutamani utajiri wa mtu wakati sijui kaupataje.Sio kitu cha kuogopa kama unataka kufanikiwa..labda tu yeye ana madeni mabaya kwakua balance sheet yake insongozwa na misambwanda