Mahakama yamtia hatiani Harmonize, atakiwa kuilipa mamilioni CRDB!

Mtandale hata mziki wake ukiisha ataendelea kupata hela kutoka kwenye investment alizofanya
 
Juzi nimeona hascana anasema kiboko wa wachawi aachwe afanye kazi zake kwasababu yeye kama muumini wake anakosa huduma za kiroho

Hanscana na Mwarabu Fughter wamenyang'anywa tonge mdomoni.....Hanscana alikuwa ndiyo anarecord matukio yote ya kanisani na alikuwa analipwa mpunga mzuri tu,so lazima apige makelele maana ugali umeingia mchanga.
 
2047 kesho kutwa hapo. Kopa hiyo enjoy maisha
 
Sasa mwanamke kama Kajala unalala na kuamka naye hata maisha yako yakiharibika unakuwa umepoteza nini?

Kajala ni mzuri jamani sio filter wala AI. Halafu ana aibu flani makes her even more beautiful.

Ningekuwa mwanaume mimi…au basi
Wengine sisi tunaona kawaida tu
Ila kweli udongo wake mzuri

Ova
 
Mmakonde ni mshamba, alipe au aseme wazi hao crdb walipompa ubalozi walimlipa bei gani? Uzuri jiji ukilivamia lazima likuaibishe
 
Kajala one and two tena zote ni range. Mwenzetu umetuma ka laki tu na bado. Unauliza chenji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…