Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kweli tupuSabaya apigwe risasi tu kupunguza gharama. Hebu fikiria watu wema akina Lissu walikuwa wanawindwa wakati MTU kama sabaya Yuko ofisi ya uma.
Huyo mpumbafu aliharibu Mali za mbowe Kwa hila kabisa.
Watu wema wakawa wanauwawa kinyama alafu MTU kama sabaya yuko ofisi za umma anakula Kodi zetu.View attachment 2256179View attachment 2256188
Kweli tupuMumeo Sabaya ataozea jela
Fanya marekebisho tafadhali ya tarehe ya kukamatwaSabaya alikamatwa Mei 27, 2022, Wilaya ya Kinondoni Dar es Salaam na kufikishwa mahakamani Juni 4, 2021 na kufunguliwa kesi mbili tofauti.
Kabla ya hukumu yake kashaanza kutoka mapembe kichwani.Hivi mpk muda huu hajahukumiwa?
Kwamba una hisi kila mtu ameolewa kama ulivyoolewa wewe!?Mumeo Sabaya ataozea jela
Uaacha kuwala tigo watu wanaosababisha hadi familia yako ife kwaumasikini alafu unakomaa na sabaya?Huyu mbwa siyo wa kumuandika andika ovyo! waache wamuachie huru tumle tigo! mtaani. Narudia tena Mleteni sabaya mtoto mzuri!
Alikuwa mshenzi sn hata hivyo atakuwa amekomaKabla ya hukumu yake kashaanza kutoka mapembe kichwani.
Sent from my SM-A037G using JamiiForums mobile app
Sabaya ni jambazi! Basi mwache apelekwe Karanga prisons! Tumletee mahakamani wale aliowakata masikio na kuwapigilia misumari miguuni wawe mashahidi. Vile vile familia za wale mabinti aliobaka watakuja. Yule mzee wa weruweru lodge ana ugwadu mkali na sabaya hadi basiUaacha kuwala tigo watu wanaosababisha hadi familia yako ife kwaumasikini alafu unakomaa na sabaya?
Tuliza kinyeo hicho wewe dangaKwamba una hisi kila mtu ameolewa kama ulivyoolewa wewe!?
NAWAZA madem waliopigwa pumb* na huyu mhalifu.Hatima ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanaokabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi inatarajiwa kujulikana leo Juni 10, 2022.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha iliyokuwa ikisikiliza kesi hiyo ya uhujumu uchumi namba 27/2021 imepanga kwa mara ya pili kutoa hukumu hiyo.
Awali, Mei 31, 2022. Hakimu Mkazi Mwandamizi wa Mahakama hiyo, Patricia Kisinda aliyekuwa anasikiliza kesi hiyo, alipanga kutoa hukumu lakini ilishindikana kutokana na kudaiwa kuwa nje ya kituo cha kazi kwa majukumu mengine.
Sabaya na wenzake walikuwa wakisubiri hukumu hiyo endapo wangeachiwa huru au la, kabla ya kufunguliwa kesi nyingine na wenzake watano ya uhujumu uchumi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi, Juni Mosi, 2022
Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Fadhil Mbelwa akiahirisha kesi hiyo Mei 31, 2022 alisema hakimu aliyekuwa anasikiliza kesi hiyo amepangiwa majukumu mengine nje ya kituo cha kazi hivyo hukumu hiyo itatolewa leo.
Hukumu hiyo inatarajiwa kutolewa baada ya kesi hiyo kusikilizwa kwa miezi saba tangu ilipoanza Julai, 2021.
Sabaya alikamatwa Mei 27, 2022, Wilaya ya Kinondoni Dar es Salaam na kufikishwa mahakamani Juni 4, 2021 na kufunguliwa kesi mbili tofauti.
Katika kesi ya kwanza walihukumiwa kifungo cha miaka 30 jela, hukumu ambayo Mei 6, 2022 ilitenguliwa na Mahakama Kuu na kuwaachia huru baada ya kubaini dosari.
Hata humu jukwaani wapo wanamtetea usiku na mchana kwani walikuwa wanafaidi hela za ujambazi wakeNAWAZA madem waliopigwa pumb* na huyu mhalifu.
Sabaya katoa rushwa ndefu sn ile 15M iliyochangwa juzi lazima ifanye kazi yakeKwa hiyo habari kubwa ni Sabaya kuachiwa huru na sio sakata la wamasai na vyombo vya dola Ngorongoro?