johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Bavicha watanuna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila Natanyahu mkatili Sana ...Mimi nilitaka apigwe risasi tu huyo sio wa kukaa nae uraiani...serikali inamaliza Kodi zetu kukaa na mtu asiye na faida ...Muhimu kakaa ndani mwaka mzima amekipata chamoto hakuna namna
Hahahahahahahaa🤣🤣🤣Sasa ni unaingia Tanzania
Afadhali atendewe hakiMahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imewaachia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake sita baada ...
Hahaha.......sizitaki mbichi hiziHata kukaa ndani mwaka mzima inamtosha sn amepata funzo
HatariKwa hiyo habari kubwa ni Sabaya kuachiwa huru na sio sakata la wamasai na vyombo vya dola Ngorongoro?
Bavicha ni bendera fuata upepoKwa hiyo habari kubwa ni Sabaya kuachiwa huru na sio sakata la wamasai na vyombo vya dola Ngorongoro?
Kwanini bavicha ndo waliofungua kesi?Bavicha watanuna
Hata ya Moshi itayeyuka tu.........ni ngumu sana kumfunga mtu mliyekuwa mnashirikiana naye......ila mnamwambia tu zuga zuga huko upepo utulie......Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imewaachia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake sita baada ya ushahidi uliotolewa na Jamhuri kugubikwa na utata, hivyo kushindwa kuthibitisha mashtaka yaliyokuwa yanawakabili na kuwatia hatiani...
Hiyo haituhusu, Bado tupo NGORONGORO, hatudanganyiki.Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imewaachia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake sita baada ya ushahidi uliotolewa na Jamhuri kugubikwa na utata, hivyo kushindwa kuthibitisha mashtaka yaliyokuwa yanawakabili na kuwatia hatiani.
Mbali na Sabaya wengine ni Enock Mnkeni, Watson Mwahomange, John Aweyo, Sylvester Nyegu, Jackson Macha na Nathan Msuya.
Hata hivyo Sabaya, Nyegu, Aweyo na Msuya wataendelea kubaki mahabusu katika gereza la Karanga kwa kuwa wanakabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi.
Hukumu hiyo imetolewa leo Ijumaa Juni 10 na Hakimu Mkazi Mwandamizi, Patricia Kisinda aliyekuwa akisikiliza kesi hiyo.
Hii ni kesi ya pili Sabaya kushinda ambapo Mei 6, 2022 na wenzake wawili Sylvester Nyegu na Daniel Mbura, walishinda rufaa iliyokuwa ikisikilizwa Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Arusha, waliyokata kupinga hukumu ya miaka 30 iliyokuwa imetolewa na na Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha.
Hakimu Kisinda amesema kuwa mbali na sababu hizo, mahakama imegundua kuwa hati ya mashitaka ilikuwa na mapungufu na kuwa ushahidi uliotolewa dhidi yao mahakamani hapo haujaweza kuthibitisha mashtaka hayo
Chanzo: Mwananchi
Kapona na hii? tusubiri ya KilimanjaroABAYA NA WENZAKE WAACHIWA HURU
Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imewaachia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya pamoja na wenzake sita waliokuwa wanakabiliwa na Kesi ya Uhujumu Uchumi.
Mahakama imesema ushahidi uliotolewa na Mashahidi wa upande wa Jamhuri ulikuwa na utata. Pia imeelezwa kuwa Hati ya Mashtaka ilikuwa na mapungufu ya Kisheria.
Hata hivyo, Sabaya na wenzake Sylvester Nyegu, John Aweyo na Nathan Msuya wataendelea kubaki Mahabusu kutokana na Kesi nyingine ya Uhujumu Uchumi waliyonayo Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi.