Mahakama yamuachia huru Lengai Ole Sabaya, yasema ushahidi wa Jamhuri una utata
Wananchi wa Arusha wampongeza mwenyekiti.mstaafu wa UVCCM mikoani jump Dr Ole Sabaya kea mafanikio anayopata dhidi ya Kesi zinazomkabili.

Wananchi wamedai kuishinda serikali mahakamani bila DPP kuingilia kati kwa kutokuwa.na nia ya Kesi siyo jambo dogo

Kwa sasa Ole Sabaya ameokoka
[emoji23]
JamiiForums1806729909.gif
 
Tuseme ukweli, hivi mawakili wa serikali tuseme wanashindwa kesi au ni nini tatizo? mfano ni kesi za sabaya.
Tulia tunywe mtori nyama tutazikuta huko huko.. Hii drama ni ya kuzima timbwili la ngorongoro
JamiiForums1475501486.jpg
 
Unamchonganisha na watawala ili wahakikishe safari hii hawakosei.
 
Mungu ni mwema kila hatua dua kijana mzalendo na mchapakazi leo ameigaragaza mahakama mkoani arusha tunazidi kukuombea tuliowengi ili uwe huru urudi uraiani tujenge nchi.
Bado ziko zingine nyuma yake. Kuna hizo za Moshi na kuna ambazo hazijafika mahakamani. Na mahakama ya watu inamsubiri nje
 
Hata hivyo, Sabaya na wenzake Sylvester Nyegu, John Aweyo na Nathan Msuya wataendelea kubaki Mahabusu kutokana na Kesi nyingine ya Uhujumu Uchumi waliyonayo Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi
 
Hata hivyo, Sabaya na wenzake Sylvester Nyegu, John Aweyo na Nathan Msuya wataendelea kubaki Mahabusu kutokana na Kesi nyingine ya Uhujumu Uchumi waliyonayo Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi
 
Hafungwi mtu pale!

Kama magaidi kina Mbowe wanaachiwa sembuse Sabaya?

Au nitajie mhujumu uchumi hata mmoja tu alieko jela anatumikia kifungo
Ugaidi wa Mbowe uko wapi fara mbona mnapenda giza kuliko nuru??
 
Back
Top Bottom