Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NANI ALIKUAMBIA JELA KUNA MAISHA YA RAHA? TENA USIOMBE IKATOKEA TATIZO UKAPELEKWA KULE.Kwanza Sabaya kule anaishi kwa raha kuliko hata Mbowe
[emoji23]Wananchi wa Arusha wampongeza mwenyekiti.mstaafu wa UVCCM mikoani jump Dr Ole Sabaya kea mafanikio anayopata dhidi ya Kesi zinazomkabili.
Wananchi wamedai kuishinda serikali mahakamani bila DPP kuingilia kati kwa kutokuwa.na nia ya Kesi siyo jambo dogo
Kwa sasa Ole Sabaya ameokoka
Tulia tunywe mtori nyama tutazikuta huko huko.. Hii drama ni ya kuzima timbwili la ngorongoroTuseme ukweli, hivi mawakili wa serikali tuseme wanashindwa kesi au ni nini tatizo? mfano ni kesi za sabaya.
Bado ziko zingine nyuma yake. Kuna hizo za Moshi na kuna ambazo hazijafika mahakamani. Na mahakama ya watu inamsubiri njeMungu ni mwema kila hatua dua kijana mzalendo na mchapakazi leo ameigaragaza mahakama mkoani arusha tunazidi kukuombea tuliowengi ili uwe huru urudi uraiani tujenge nchi.
Wanamuonea tu huruma.
ila wangemua kukaza ingekuwa hatari zaidi
Ila kumbuka jela sio kuzuri
Wewe ni wakili msomi?Wanamuonea tu huruma.
ila wangemua kukaza ingekuwa hatari zaidi
Ila kumbuka jela sio kuzuri
Bwashee sheria siyo HesabuUnamchonganisha na watawala ili wahakikishe safari hii hawakosei.
Tuseme ukweli, hivi mawakili wa serikali tuseme wanashindwa kesi au ni nini tatizo? mfano ni kesi za sabaya.
Tatizo huku uraiani wagagagigikoko wanamsubiri gharama yoyote labda ahame nchi
Mkuu mpaka nitukane? hahahahaMkuu umekuwa unacomment kinyonge sana kuliko huko mwanzoni mwa thread.Naona ulivyokuwa dissapointed na hii hukumu.
Amekoma lakiniHahaha.......sizitaki mbichi hizi
Kwa mwenendo huu atashinda na hizo kwasababu tuhuma ni zile zile.Bado ziko zingine nyuma yake. Kuna hizo za Moshi na kuna ambazo hazijafika mahakamani. Na mahakama ya watu inamsubiri nje
Ugaidi wa Mbowe uko wapi fara mbona mnapenda giza kuliko nuru??Hafungwi mtu pale!
Kama magaidi kina Mbowe wanaachiwa sembuse Sabaya?
Au nitajie mhujumu uchumi hata mmoja tu alieko jela anatumikia kifungo
YapIla Natanyahu mkatili Sana ...Mimi nilitaka apigwe risasi tu huyo sio wa kukaa nae uraiani...serikali inamaliza Kodi zetu kukaa na mtu asiye na faida ...
Wewe ni wakili msomi?