Mahakama yamuachia huru Lengai Ole Sabaya, yasema ushahidi wa Jamhuri una utata
Wananchi wa Arusha wampongeza mwenyekiti.mstaafu wa UVCCM mikoani jump Dr Ole Sabaya kea mafanikio anayopata dhidi ya Kesi zinazomkabili.

Wananchi wamedai kuishinda serikali mahakamani bila DPP kuingilia kati kwa kutokuwa.na nia ya Kesi siyo jambo dogo

Kwa sasa Ole Sabaya ameokoka
🤣
 
Hata hivyo, Sabaya na wenzake Sylvester Nyegu, John Aweyo na Nathan Msuya wataendelea kubaki Mahabusu kutokana na Kesi nyingine ya Uhujumu Uchumi waliyonayo Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi.
huyu Mbwa ana safari ndefu sana, wale Ma don wote aliokuwa against nao ndo sasa wamerudi ku- lead the horse...
 
HahhA... Samia ilibidi awaite viongozi wa Dini Ikulu wamuombee mbowe msamaha baada ya Chadema kumshambulia Zito na kusema hawataki msamaha..
Ila nampongeza maana aliamua kuweka pride pembeni na kumuachia

Kwa Sabaya sina uhakika kama ni lobbying inafanyika ama ni kulialia kwa wale wamama waliojiita ndugu zake ndio imefanya kazi ama ni ushahidi kweli hautoshi

Ila cha muhimu ni kuwa yule hayawani aliyekuwa anamtuma keshalamba mchanga na amejuta
Mbowe angekuwa na akili hiyo asingetoka na kukimbilia ikulu siku hiyohiyo!
 
Sabaya akirudi mtaani watamuua. Nashauri ahame kidogo nchi akapumzike hata Marekani watu wasahau machungu kidogo
 
Kwahiyo walijua kwamba leo wamasai watapambana na polisi ndio maana wakapanga kesi iwe tarehe 10?

Bavicha mna akili gani lkn?
Ngoja nikujibu kiungwana kabisa..
Mpaka Wale watanzania kujikusanya leo haikuwa mipango ya siku moja.. Mpaka askari kupelekwa kule halikuwa jambo la dharura
Kama huna akili nyembamba unaweza kujua hilo kwa hakika!
 
Bibilia inasema AMELAANIWA AMUABUDUYE MWANADAMU.
Hawa vijana walidhani wamfika mbinguni chini ya Mungu wao raisi ya malaika.

I hope anajutia mengi Sana
utakuwa umeona aibu kubwa sana leo pole na chuki zako
 
Back
Top Bottom