Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,404
- 6,969
🤣Wananchi wa Arusha wampongeza mwenyekiti.mstaafu wa UVCCM mikoani jump Dr Ole Sabaya kea mafanikio anayopata dhidi ya Kesi zinazomkabili.
Wananchi wamedai kuishinda serikali mahakamani bila DPP kuingilia kati kwa kutokuwa.na nia ya Kesi siyo jambo dogo
Kwa sasa Ole Sabaya ameokoka