Mahakama yamuachia huru Lengai Ole Sabaya, yasema ushahidi wa Jamhuri una utata
Hatima ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanaokabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi inatarajiwa kujulikana leo Juni 10, 2022.

Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha iliyokuwa ikisikiliza kesi hiyo ya uhujumu uchumi namba 27/2021 imepanga kwa mara ya pili kutoa hukumu hiyo.

Awali, Mei 31, 2022. Hakimu Mkazi Mwandamizi wa Mahakama hiyo, Patricia Kisinda aliyekuwa anasikiliza kesi hiyo, alipanga kutoa hukumu lakini ilishindikana kutokana na kudaiwa kuwa nje ya kituo cha kazi kwa majukumu mengine.

Sabaya na wenzake walikuwa wakisubiri hukumu hiyo endapo wangeachiwa huru au la, kabla ya kufunguliwa kesi nyingine na wenzake watano ya uhujumu uchumi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi, Juni Mosi, 2022

Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Fadhil Mbelwa akiahirisha kesi hiyo Mei 31, 2022 alisema hakimu aliyekuwa anasikiliza kesi hiyo amepangiwa majukumu mengine nje ya kituo cha kazi hivyo hukumu hiyo itatolewa leo.

Hukumu hiyo inatarajiwa kutolewa baada ya kesi hiyo kusikilizwa kwa miezi saba tangu ilipoanza Julai, 2021.

Sabaya alikamatwa Mei 27, 2022, Wilaya ya Kinondoni Dar es Salaam na kufikishwa mahakamani Juni 4, 2021 na kufunguliwa kesi mbili tofauti.

Katika kesi ya kwanza walihukumiwa kifungo cha miaka 30 jela, hukumu ambayo Mei 6, 2022 ilitenguliwa na Mahakama Kuu na kuwaachia huru baada ya kubaini dosari.


============================

SABAYA NA WENZAKE WAACHIWA HURU

Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imewaachia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya pamoja na wenzake sita waliokuwa wanakabiliwa na Kesi ya Uhujumu Uchumi.

Mahakama imesema ushahidi uliotolewa na Mashahidi wa upande wa Jamhuri ulikuwa na utata. Pia imeelezwa kuwa Hati ya Mashtaka ilikuwa na mapungufu ya Kisheria.

Hata hivyo, Sabaya na wenzake Sylvester Nyegu, John Aweyo na Nathan Msuya wataendelea kubaki Mahabusu kutokana na Kesi nyingine ya Uhujumu Uchumi waliyonayo Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi.
Kesi za Sabaya ni za kisiasa zaidi kuliko za viongozi wa CHADEMA wanaodai kushitakiwa kwa sababu ya siasa.

Wakati viongozi wa CHADEMA wanavunja sheria kwa makusudi, nyuma ya pazia la siasa, wametumia uhalifu huohuo kumzulia Sabaya tuhuma kwa kuwa tu alivunja ngome ya M/kiti wao huko Hai.

Kama wafuasi wa CHADEMA mnavyodai humu, amtajae Magufuli ni "Sukuma Gang" nanyi pia mnamsujudu Mbowe, mafiaso. UKWELI NDIO HUO
 
Sabaya akirudi mtaani watamuua. Nashauri ahame kidogo nchi akapumzike hata Marekani watu wasahau machungu kidogo
Nani atamuua? Mnaona kwamba hawezi kujilinda? Mnatumia akili ndogo sana kitafakari mambo.
 
Ngoja nikujibu kiungwana kabisa..
Mpaka Wale watanzania kujikusanya leo haikuwa mipango ya siku moja.. Mpaka askari kupelekwa kule halikuwa jambo la dharura
Kama huna akili nyembamba unaweza kujua hilo kwa hakika!
You are bigger than this mzee Mshana.
 
Kutokana na yanayoendelea juu ya kesi za Lengai Ole Sabaya kwa Mawakili wa Serikali kutumia Kodi na rasilimali za TAIFA kuendesha kesi wakijua MATOKEO yake huu ni udhalilishaji sana wa ofisi ya DPP na mawakili wa Serikali yaani Mh Rais aliona huyu Sabaya ametenda mambo mabaya sana na maovu kwa watu mbalimbali na kumwondoa madarakani ikiwa ni pamoja na kumshtaki lakini huu udhalilisha mnaompatia Mh Rais nyie wanasheria wa Serikali ni afadhali msingempeleka mahakamani tukajua kama makonda kuliko haya tunayoyaona Leo hii sio tuu ni fedheha na aibu kwa serikali Bali MAWAKILI wa serikali wanapaswa kujiuliza je wapo kihalali?? Na wanalipwa kihalali??

Nawaombeni sana wanasheria kwahilli mlipigie kelele ni afadhali tusiwe na kesi kabisaa tujue wamesamehewa basi
 
Kutokana na yanayoendelea juu ya kesi za Lengai ole sabaya kwa mawakili wa serikali kutumia Kodi na rasilimali za TAIFA kuendesha kesi wakijua MATOKEO yake huu ni udhalilishaji sana wa ofisi ya DPP na mawakili wa serikali yaani Mh Rais aliona huyu Sabaya ametenda mambo mabaya sana na maovu kwa watu mbalimbali na kumwondoa madarakani ikiwa ni pamoja na kumshtaki lakini huu udhalilisha mnaompatia Mh Rais nyie wanasheria wa Serikali ni afadhali msingempeleka mahakamani tukajua kama makonda kuliko haya tunayoyaona Leo hii sio tuu ni fedheha na aibu kwa serikali Bali MAWAKILI wa serikali wanapaswa kujiuliza je wapo kihalali?? Na wanalipwa kihalali?? Nawaombeni sana wanasheria kwahilli mlipigie kelele ni afadhali tusiwe na kesi kabisaa tujue wamesamehewa basi

Ndiyo ukisikia nguvu ya hoja na siyo hoja ya nguvu basi mambo huwa namna hii!
 
Kutokana na yanayoendelea juu ya kesi za Lengai ole sabaya kwa mawakili wa serikali kutumia Kodi na rasilimali za TAIFA kuendesha kesi wakijua MATOKEO yake huu ni udhalilishaji sana wa ofisi ya DPP na mawakili wa serikali yaani Mh Rais aliona huyu Sabaya ametenda mambo mabaya sana na maovu kwa watu mbalimbali na kumwondoa madarakani ikiwa ni pamoja na kumshtaki lakini huu udhalilisha mnaompatia Mh Rais nyie wanasheria wa Serikali ni afadhali msingempeleka mahakamani tukajua kama makonda kuliko haya tunayoyaona Leo hii sio tuu ni fedheha na aibu kwa serikali Bali MAWAKILI wa serikali wanapaswa kujiuliza je wapo kihalali?? Na wanalipwa kihalali?? Nawaombeni sana wanasheria kwahilli mlipigie kelele ni afadhali tusiwe na kesi kabisaa tujue wamesamehewa basi

Sasa wanasheria wengi wa sasa ni vijana na wamesoma vyuo vya mitaani, unategemea nini! Mlimani pale unakuta wamekosa sifa za kwenda lakini vyuo vya mitaani wanaookelewa tena kwa vigelegele ndiyo furaha!
 
Kutokana na yanayoendelea juu ya kesi za Lengai ole sabaya kwa mawakili wa serikali kutumia Kodi na rasilimali za TAIFA kuendesha kesi wakijua MATOKEO yake huu ni udhalilishaji sana wa ofisi ya DPP na mawakili wa serikali yaani Mh Rais aliona huyu Sabaya ametenda mambo mabaya sana na maovu kwa watu mbalimbali na kumwondoa madarakani ikiwa ni pamoja na kumshtaki lakini huu udhalilisha mnaompatia Mh Rais nyie wanasheria wa Serikali ni afadhali msingempeleka mahakamani tukajua kama makonda kuliko haya tunayoyaona Leo hii sio tuu ni fedheha na aibu kwa serikali Bali MAWAKILI wa serikali wanapaswa kujiuliza je wapo kihalali?? Na wanalipwa kihalali?? Nawaombeni sana wanasheria kwahilli mlipigie kelele ni afadhali tusiwe na kesi kabisaa tujue wamesamehewa basi
Aibu yako. 😀😀😀😀
 
Kutokana na yanayoendelea juu ya kesi za Lengai ole sabaya kwa mawakili wa serikali kutumia Kodi na rasilimali za TAIFA kuendesha kesi wakijua MATOKEO yake huu ni udhalilishaji sana wa ofisi ya DPP na mawakili wa serikali yaani Mh Rais aliona huyu Sabaya ametenda mambo mabaya sana na maovu kwa watu mbalimbali na kumwondoa madarakani ikiwa ni pamoja na kumshtaki lakini huu udhalilisha mnaompatia Mh Rais nyie wanasheria wa Serikali ni afadhali msingempeleka mahakamani tukajua kama makonda kuliko haya tunayoyaona Leo hii sio tuu ni fedheha na aibu kwa serikali Bali MAWAKILI wa serikali wanapaswa kujiuliza je wapo kihalali?? Na wanalipwa kihalali?? Nawaombeni sana wanasheria kwahilli mlipigie kelele ni afadhali tusiwe na kesi kabisaa tujue wamesamehewa basi
Wahi sasa kwa mwenyekiti wako pale ufipa ukachukue posho yako ya data, ukichelewa utakuta chawa wenzako washaipitia, maana mko wengi.
 

Attachments

  • images (68).jpeg
    images (68).jpeg
    3.1 KB · Views: 4
Kutokana na yanayoendelea juu ya kesi za Lengai ole sabaya kwa mawakili wa serikali kutumia Kodi na rasilimali za TAIFA kuendesha kesi wakijua MATOKEO yake huu ni udhalilishaji sana wa ofisi ya DPP na mawakili wa serikali yaani Mh Rais aliona huyu Sabaya ametenda mambo mabaya sana na maovu kwa watu mbalimbali na kumwondoa madarakani ikiwa ni pamoja na kumshtaki lakini huu udhalilisha mnaompatia Mh Rais nyie wanasheria wa Serikali ni afadhali msingempeleka mahakamani tukajua kama makonda kuliko haya tunayoyaona Leo hii sio tuu ni fedheha na aibu kwa serikali Bali MAWAKILI wa serikali wanapaswa kujiuliza je wapo kihalali?? Na wanalipwa kihalali?? Nawaombeni sana wanasheria kwahilli mlipigie kelele ni afadhali tusiwe na kesi kabisaa tujue wamesamehewa basi

hata kwa mbowe mtu gaidi DPP anasema haendelei na kesi why? mbona kwa masheik mnaendelea nao kuwashitaki
 
Kutokana na yanayoendelea juu ya kesi za Lengai ole sabaya kwa mawakili wa serikali kutumia Kodi na rasilimali za TAIFA kuendesha kesi wakijua MATOKEO yake huu ni udhalilishaji sana wa ofisi ya DPP na mawakili wa serikali yaani Mh Rais aliona huyu Sabaya ametenda mambo mabaya sana na maovu kwa watu mbalimbali na kumwondoa madarakani ikiwa ni pamoja na kumshtaki lakini huu udhalilisha mnaompatia Mh Rais nyie wanasheria wa Serikali ni afadhali msingempeleka mahakamani tukajua kama makonda kuliko haya tunayoyaona Leo hii sio tuu ni fedheha na aibu kwa serikali Bali MAWAKILI wa serikali wanapaswa kujiuliza je wapo kihalali?? Na wanalipwa kihalali?? Nawaombeni sana wanasheria kwahilli mlipigie kelele ni afadhali tusiwe na kesi kabisaa tujue wamesamehewa basi
Tena mmeumia sana kwa Sabaya kushinda kesi bila hata ya msaada wa Serikali.

Makonda nae kampiga chini Kubenea ambae ni kada wa Chadema pia.
 
Bavicha wanaumia sana Sabaya kushinda kesi bila mbeleko ya Dpp kama ilivyokuwa kwa Mbowe
Haiondoi jinai alizofanya bali ni procedural errors/defects tu zilizojitokeza ndo mwanya wa kushinda unapojitokeza.

Kama Jamhuri ikikata rufaa kwa kuzingatia mambo yote muhimu lazima adhabu ipo pale pale.

Hata hivyo akichomoka kwenye kesi zake zote basi amejifunza madaraka na sponsor huwa yana kikomo. Hatomtegemea binadamu mwenzake tena.

Hili ni funzo hata kwa sisi wengine. Hata leo hii apewe madaraka ya mkuu wa wilaya kama awali atakuwa na adabu na heshima sana kwa wananchi. Hatowagongelea tena misumari ya ugoko.
 
Tena mmeumia sana kwa Sabaya kushinda kesi bila hata ya msaada wa Serikali.

Makonda nae kampiga chini Kubenea ambae ni kada wa Chadema pia.
Hivi kwa akili yako ndogo kama Mhe Rais Samia angekuwa anaingilia mahakama na kutoa maelekezo ya nini na nani afungwe ama aachiwe huru unadhani Sabaya angetoka? Thubutu!

Mama Samia hana mpango wa kuingilia uhuru wa mahakama ndo maana unaona mambo yanafanyika kwa uwazi na yeye hana muda wa kuingilia mahakama.

Laiti Mhe Rais angesema atoe maelekezo ya Sabaya kufungwa unadhani angechomoka? Angefungwa hata miaka tisini kwa kesi zake zote ila mama ana busara anapenda kuona haki inatendeka.
 
Sasa wanasheria wengi wa sasa ni vijana na wamesoma vyuo vya mitaani, unategemea nini! Mlimani pale unakuta wamekosa sifa za kwenda lakini vyuo vya mitaani wanaookelewa tena kwa vigelegele ndiyo furaha!
Mlimani ipi, hiihii iliyoitwa na Prof. Kabudi jalala au kuna nyingine?
 
Hata ka picha ka kuthitisha utupu wa serikali na wanasheria
 
Back
Top Bottom