Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Endelea na imani hiyo sisi tunajua ni mtu saafi maana hajakutwa na hatia. Shida yenu mnaamini ya kusikia tu, ulimuona? Kwa nini hukjapeleka ushahidi ili ahukumiwe?Haiondoi jinai alizofanya bali ni procedural errors/defects tu zilizojitokeza ndo mwanya wa kushinda unapojitokeza.
Kama Jamhuri ikikata rufaa kwa kuzingatia mambo yote muhimu lazima adhabu ipo pale pale.
Hata hivyo akichomoka kwenye kesi zake zote basi amejifunza madaraka na sponsor huwa yana kikomo. Hatomtegemea binadamu mwenzake tena.
Hili ni funzo hata kwa sisi wengine. Hata leo hii apewe madaraka ya mkuu wa wilaya kama awali atakuwa na adabu na heshima sana kwa wananchi. Hatowagongelea tena misumari ya ugoko.
😂😂 kwa hiyo hajaingilia means Sabaya ni mwema maana ni maamzi pure ya mahakama. Tusisumbue vijana mahabusu huku hatuna ushahidi kwa mashtaka yao, mlistahili kumlipa Sabaya. Mkikuta mtu alikuwa kipenzi cha rais basi rais akitoka mnataka mmtendee mabaya.Hivi kwa akili yako ndogo kama Mhe Rais Samia angekuwa anaingilia mahakama na kutoa maelekezo ya nini na nani afungwe ama aachiwe huru unadhani Sabaya angetoka? Thubutu!
Mama Samia hana mpango wa kuingilia uhuru wa mahakama ndo maana unaona mambo yanafanyika kwa uwazi na yeye hana muda wa kuingilia mahakama.
Laiti Mhe Rais angesema atoe maelekezo ya Sabaya kufungwa unadhani angechomoka? Angefungwa hata miaka tisini kwa kesi zake zote ila mama ana busara anapenda kuona haki inatendeka.
Unasemaje wewe demu wa jambazi sugu Sabaya? Bado bwana wako ananyea debe hapo mjini Karanga na anapigwa paipu kama kawaidautakuwa umeona aibu kubwa sana leo pole na chuki zako
AIBU IMEWASHIKA SANA YAANI MNAONA SONIUnasemaje wewe demu wa jambazi sugu Sabaya? Bado bwana wako ananyea debe hapo mjini Karanga na anapigwa paipu kama kawaida
Basha wako Sabaya bado yuko lupango machalii wanamfokoa kinomaAIBU IMEWASHIKA SANA YAANI MNAONA SONI
ALIFOKONYOLEWA MBOWE KILAZAHUYU MTOTO WA MJINI UKIMZINGUAANAKULA WEWE MNAONA AIBUUUUUUUBasha wako Sabaya bado yuko lupango machalii wanamfokoa kinoma
Sabaya kakutatua marinda na yeye wamemtatua.ALIFOKONYOLEWA MBOWE KILAZAHUYU MTOTO WA MJINI UKIMZINGUAANAKULA WEWE MNAONA AIBUUUUUUU
Nilikwambia sasa umekubali??njoo unywe mvinyo wenye ghadhabu..Na ni anawivu?
Kina cha maji kinapimwa kwanza na kuuangalia upepo huku watanzania wakiandaliwa kisaikologia ili hatimaye waweze kupokea maamuzi ya kuachiwa huru kwa Sabaya!! mi naona aachiwe tu maana tayari tumeshaandaliwa vizuri kisaikologia!Hatima ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanaokabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi inatarajiwa kujulikana leo Juni 10, 2022.
Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha iliyokuwa ikisikiliza kesi hiyo ya uhujumu uchumi namba 27/2021 imepanga kwa mara ya pili kutoa hukumu hiyo.
Awali, Mei 31, 2022. Hakimu Mkazi Mwandamizi wa Mahakama hiyo, Patricia Kisinda aliyekuwa anasikiliza kesi hiyo, alipanga kutoa hukumu lakini ilishindikana kutokana na kudaiwa kuwa nje ya kituo cha kazi kwa majukumu mengine.
Sabaya na wenzake walikuwa wakisubiri hukumu hiyo endapo wangeachiwa huru au la, kabla ya kufunguliwa kesi nyingine na wenzake watano ya uhujumu uchumi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi, Juni Mosi, 2022
Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama hiyo, Fadhil Mbelwa akiahirisha kesi hiyo Mei 31, 2022 alisema hakimu aliyekuwa anasikiliza kesi hiyo amepangiwa majukumu mengine nje ya kituo cha kazi hivyo hukumu hiyo itatolewa leo.
Hukumu hiyo inatarajiwa kutolewa baada ya kesi hiyo kusikilizwa kwa miezi saba tangu ilipoanza Julai, 2021.
Sabaya alikamatwa Mei 27, 2022, Wilaya ya Kinondoni Dar es Salaam na kufikishwa mahakamani Juni 4, 2021 na kufunguliwa kesi mbili tofauti.
Katika kesi ya kwanza walihukumiwa kifungo cha miaka 30 jela, hukumu ambayo Mei 6, 2022 ilitenguliwa na Mahakama Kuu na kuwaachia huru baada ya kubaini dosari.
============================
SABAYA NA WENZAKE WAACHIWA HURU
Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha imewaachia huru aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya pamoja na wenzake sita waliokuwa wanakabiliwa na Kesi ya Uhujumu Uchumi.
Mahakama imesema ushahidi uliotolewa na Mashahidi wa upande wa Jamhuri ulikuwa na utata. Pia imeelezwa kuwa Hati ya Mashtaka ilikuwa na mapungufu ya Kisheria.
Hata hivyo, Sabaya na wenzake Sylvester Nyegu, John Aweyo na Nathan Msuya wataendelea kubaki Mahabusu kutokana na Kesi nyingine ya Uhujumu Uchumi waliyonayo Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi.
Wewe shabiki wa DJ Zero na Wachaga majambazi jueni bado tutawashugulikia.Wewe kipenzi cha jambazi wacha kupeleka lawama zako pasipohusika, mimi binafsi bado nashangaa mpaka leo kwanini jamhuri hawakukata rufaa kwa ile hukumu ya mwanzo ya miaka 30 aliyopewa Sabaya.
Ushahidi wa aina zote ulikuwepo pale, Sabaya mwenyewe kwenye utetezi wake alikiri kuingia kwenye eneo la mtu akiwa na silaha bila kibali