Mahakama yamuhukumu miaka 30 jela kwa kumbaka mama yake. Mtuhumiwa na mdhamini wake hawajulikani walipo

Mahakama yamuhukumu miaka 30 jela kwa kumbaka mama yake. Mtuhumiwa na mdhamini wake hawajulikani walipo

Usije na jibu la mojakwamoja tazama jamii yetu kwa jicho lingine achana kutazama jamii yetu kwa macho ya mihimili serikalini au kwamakanisa fungua ubongo wako
Kwa hiyo unajaribu kuniambia hicho kitu ni sahihi?
Wewe unaweza kufanya hivyo?
 
Kwa hiyo unajaribu kuniambia hicho kitu ni sahihi?
Wewe unaweza kufanya hivyo?
Marc brother

Jamii yetu currently iko kushoto kulia Hilo limekua Jambo lakawaida mno lakini leo huyo kaenda shitaki ambao wameridhia kusex na wanao ni lundo mtaani

Cjasema nafurahia lakini nejaribu kutazama kwa undani hasa udongoni nakuishi matajairi na wafanyabiashara sio wote wengi wao ndo kazi zao hizo
 
nacho waza.. hukumu ilitolewaje bila mtuhumiwa kuwepo mahakamani? kama alikuwepo mahakamani alitorokaje tena? sijaelewa hapa...
 
nacho waza.. hukumu ilitolewaje bila mtuhumiwa kuwepo mahakamani? kama alikuwepo mahakamani alitorokaje tena? sijaelewa hapa...
Mkuu mtoto mbakaji aliwekewa dhamana na baba yake, wameona kesi nzito wote Wametoweka kusikojulikana, hukumu imesomwa pasipo wao kuwepo mahakamani,
 
Alishindwaje kumtongoza kawaida

Wamama wakileo Hawa
Unamwambia lengo kutunisha mfuko fedha na utamgeia ruzuku yake baada yamfuko kutuna

Kwani leo kamshitaki mtoto lakini usikute wanaomtafuna niwadogo kiumri kuliko mwanae aliyemtafuna kwanguvu
Duuh aise
 
Kwahiyo jamaa kaiona lususu ya bimkubwa wake...Aiseee hatari sana badala yake ataambulia mikosi ya kutosha maana hizo laanna bimkubwa anatapika hazitamuacha
 
Baada ya tukio hilo, mama mzazi alitoa taarifa na taratibu za kumkamata zikafanyika, inadaiwa alifanya hivyo kwa Imani za kishirikina kutokana na biashara zake kuyumba.
 
Alishindwaje kumtongoza kawaida

Wamama wakileo Hawa
Unamwambia lengo kutunisha mfuko fedha na utamgeia ruzuku yake baada yamfuko kutuna

Kwani leo kamshitaki mtoto lakini usikute wanaomtafuna niwadogo kiumri kuliko mwanae aliyemtafuna kwanguvu
Nawe una laana kama ya huyo mbakaji!
 
Marc brother

Jamii yetu currently iko kushoto kulia Hilo limekua Jambo lakawaida mno lakini leo huyo kaenda shitaki ambao wameridhia kusex na wanao ni lundo mtaani

Cjasema nafurahia lakini nejaribu kutazama kwa undani hasa udongoni nakuishi matajairi na wafanyabiashara sio wote wengi wao ndo kazi zao hizo
Mkuu naona unajitahidi kutaka kuhalalisha haya mambo.AU na wewe ushawahi nini!!!!?!?
 
There is no shortcut ushirikina wa kindezi hivi unambaka mama
 
Back
Top Bottom