Mahakama yamuhukumu miaka 30 jela kwa kumbaka mama yake. Mtuhumiwa na mdhamini wake hawajulikani walipo

Mahakama yamuhukumu miaka 30 jela kwa kumbaka mama yake. Mtuhumiwa na mdhamini wake hawajulikani walipo

Hata hivyo mfanyabiashara huyo mwenye umri wa miaka 30 pamoja na baba yake Joseph Mkusa ambaye alimuwekea dhamana, wametoweka kusikojulikana ambapo hati ya kukamatwa kwao tayari imetolewa.

Imeelezwa mtuhumiwa alitenda kosa Julai 7, 2021, alikuwa akifanya biashara Mkoani Songwe, alirejea Iringa akafikia kwa baba yake ambaye anaishi nyumba tofauti na mama yake kutokana na kutalikiana.

Siku ya tukio mtuhumiwa alienda nyumbani kwa mama yake usiku na kuvunja mlango, akamtishia kwa panga mama yake kisha kumbaka.

Baada ya tukio hilo, mama mzazi alitoa taarifa na taratibu za kumkamata zikafanyika, inadaiwa alifanya hivyo kwa Imani za kishirikina kutokana na biashara zake kuyumba.
Kuna mmoja alipewa sherti kama hilo miaka ya 90s tena aliambiwa akafanyie stand ya bus, rafiki yake wa karibu akavujisha siri watu wakakaa mkao wa kumuua iwapo angethubutu
 
Kwahiyo jamaa kaiona lususu ya bimkubwa wake...Aiseee hatari sana badala yake ataambulia mikosi ya kutosha maana hizo laanna bimkubwa anatapika hazitamuacha
Tofauti huyu kaona mbususu ya mama mzazi je mbususu ngapi tunaziona zinazolingana sawa kabisa na umri wa mama wazazi.....

Shida ya huyo aliharibu faragha Ila Kama angeitengeneza tusingeona mahakama na karani wake wakileta bandiko Hilo ....mtaaani wamejaa na chuma ulete imepata nguvu sanaaa iringa pale Kuna kijana akikamatwa na baba ake akimtafuna mama ake basi dogo alijieleza vizuri kwadingi ikabidi dingi atafutiwe pickup namambo yanaendelea mpaka leo
 
Alishindwaje kumtongoza kawaida

Wamama wakileo Hawa
Unamwambia lengo kutunisha mfuko fedha na utamgeia ruzuku yake baada yamfuko kutuna

Kwani leo kamshitaki mtoto lakini usikute wanaomtafuna niwadogo kiumri kuliko mwanae aliyemtafuna kwanguvu
Hata kama anatembea na vijana wadogo bado haihalalishi kutembea na mwanao wa kumzaa iwe kwa hiari au kwa lazima.
Sijui umewaza nini mpaka ukaandika jambo kama hili.
Nduguzo wajiangalie tu.
 
Uchawi unawatesa Sana WAKINGA kwa kutaka kushindana na Mwakinafulani Utajiri
 
Kuna comments kwenye huu uzi unajikuta unachuka dhambi, na kuamini mwandishi wa hiyo comment ni dhahiri analala na mama yake!
Yaani ni jambo la kawaida Sana kwake!

Sad! Nobody is perfect, ila hii siwezi kusamehe yeyote anayembaka mamake!
Huyo kijana atafutwe akipatikana atundikwe juu ya mti, Chuma liingizwe matakoni litokee mdomoni iwe fundisho! Seeeh
 
Hii taarifa nimeiona Azam Tv nikashangaa kweli kweli! Hivi unapata wapi ujasiri wa kumbaka mama yako mzazi kwa ushauri wa waganga uchwara!

Dogo atakuwa anaishi maisha magumu sana bila shaka tangu alipofanya huo upuuzi wake.
 
Mahakama ya Wilaya ya Iringa imemhukumu mfanyabiashara, Kaloli Mkusa kifungo cha miaka 30 jela na fidia ya shilingi milioni moja baada ya kumtia hatiani kwa kumbaka mama yake mzazi.

Hata hivyo mfanyabiashara huyo mwenye umri wa miaka 30 pamoja na baba yake Joseph Mkusa ambaye alimuwekea dhamana, wametoweka kusikojulikana ambapo hati ya kukamatwa kwao tayari imetolewa.

Imeelezwa mtuhumiwa alitenda kosa Julai 7, 2021, alikuwa akifanya biashara Mkoani Songwe, alirejea Iringa akafikia kwa baba yake ambaye anaishi nyumba tofauti na mama yake kutokana na kutalikiana.

Siku ya tukio mtuhumiwa alienda nyumbani kwa mama yake usiku na kuvunja mlango, akamtishia kwa panga mama yake kisha kumbaka.

Baada ya tukio hilo, mama mzazi alitoa taarifa na taratibu za kumkamata zikafanyika, inadaiwa alifanya hivyo kwa Imani za kishirikina kutokana na biashara zake kuyumba.

Hati ya kumkamata mtuhumiwa alitolewa Machi 9, 2022 lakini mtuhumiwa na baba yake hawajulikani walipo, kwa mujibu wa sheria mtuhumiwa ataanza kuitumikia adhabu hiyo mara baada ya kukamatwa.

Source: Azam TV
Ila watu hii sasa imezidi
 
Kuna comments kwenye huu uzi unajikuta unachuka dhambi, na kuamini mwandishi wa hiyo comment ni dhahiri analala na mama yake!
Yaani ni jambo la kawaida Sana kwake!

Sad! Nobody is perfect, ila hii siwezi kusamehe yeyote anayembaka mamake!
Huyo kijana atafutwe akipatikana atundikwe juu ya mti, Chuma liingizwe matakoni litokee mdomoni iwe fundisho! Seeeh
kwahapo unadhani utakua umemfundisha mtu au

Tutambue tatizo lipo?
Chanzo chake nn ili tudhibiti
 
akikamatwa aseme na mganga aliyemtuma maana anaweza kufundisha wengine huu upumbavu.
 
Kwa Kanda ile hayo niambo ya kawaida kwao. Uchu wa utajiri wa kishirikina umewapelekea kufanya maasi mengi unthinkables. Kuna mmoja niliambiwa kanda hiyohiyo alimlewesha mama yake halafu akamnyoa nywele zake za sehemu za siri na kuzipeleka kwa mganga ili atajirike. Kulikoni ukanda huo?
 
Mkuu hata mtaani kuna lundo la wizi,vipi tuache kulaani au kuchukua hatua ?
Sheria ya faragha (ndoa) iangaliwe upya Nani anastahili kufaragharishwa au kufaragarishana

Tumeishia kusema mume anatakiwa kuoa mwanamke ,hao wanaokaza mama zao siwanaume tayari unamshitakije ndomana mama kashauriwa aseme alibakwa kwamba imetumika nguvu pia hili litazamwe inawezekana bibie kakuta mchongo mtaani unasambaa kwakasi akaubadilishia gia mana mumewe aliyeachana nae atakua kausambaza kumtilia aibu x mkewe
 
kwahapo unadhani utakua umemfundisha mtu au

Tutambue tatizo lipo?
Chanzo chake nn ili tudhibiti
Sheria ya faragha (ndoa) iangaliwe upya Nani anastahili kufaragharishwa au kufaragarishana

Tumeishia kusema mume anatakiwa kuoa mwanamke ,hao wanaokaza mama zao siwanaume tayari unamshitakije ndomana mama kashauriwa aseme alibakwa kwamba imetumika nguvu pia hili litazamwe inawezekana bibie kakuta mchongo mtaani unasambaa kwakasi akaubadilishia gia mana mumewe aliyeachana nae atakua kausambaza kumtilia aibu x mkewe
Mimi si mtaalamu wa sheria ila kuna namna kesi za ubakaji zinaendeshwa na ndizo zilipelekea mtuhumiwa kukutwa na hatia,
Sasa wewe hayo unayoyaleta hapa umeyatoa wapi?

Halafu hapo unaposema ''tumeishia tu kusema mume atamwoa mwanamke''
we ulitakaje?
 
Back
Top Bottom