Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
๐๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usimguse mkono au siyo.Hii kitaalam inaitwa kula na kipofu
KabisaUsimguse mkono au siyo
HahahaKabisa
Hana chama maana alishatimuliwa uanachama pending rufaa yake tu ndio arudishiwe.Et mbunge vit maalum asiekuwa na chama
Koo na we mwandishi ni mwanasiasa sio? Mbona chama ruzuku inapokea?
Mahakama ya kisutu imemuachia huru mbunge wa viti maalumu Chadema mh Halima James Mdee baada ya DPP kushindwa kuthibitisha tuhuma dhidi yake.
Halima James Mdee alishtakiwa kwa kosa la kumkashifu Rais Magufuli.
Source ITV habari
Maendeleo hayana vyama!
Ni mbunge wa chama gani?Halima Mdee siyo Mbunge wala Mwanachama wa CHADEMA.
MODS kwa nini mnaacha upotoshaji jukwaani. Mpigeni ban huyu johnthebaptist ili ajifunze na kuacha upotoshaji
Kama kapona hii basi hakuna atakayonasa!..bado kesi ya Halima Mdee, Ester Bulaya, na wengine, ya kuwapiga askari magereza.
..na kesi 6 za Tundu Lissu sijui hatima yake ni nini.
..serikali/jamhuri walimpa passport mpya, na ulinzi wa polisi mpaka airport, alipoondoka kuelekea Ubelgiji.
Mbona pendekezo la adhabu ni kari sana kwa nini asielimishwe tuHalima Mdee siyo Mbunge wala Mwanachama wa CHADEMA.
MODS kwa nini mnaacha upotoshaji jukwaani. Mpigeni ban huyu johnthebaptist ili ajifunze na kuacha upotoshaji
Sasa kafikaje bungeni?Bwashee huyo si Mbunge wa Chadema alishafukuzwa na si mwanachama tena wa Chadema na mkutano mkuu utatia wino kuipinga rufaa ya COVID-19.
..bado kesi ya Halima Mdee, Ester Bulaya, na wengine, ya kuwapiga askari magereza.
..na kesi 6 za Tundu Lissu sijui hatima yake ni nini.
..serikali/jamhuri walimpa passport mpya, na ulinzi wa polisi mpaka airport, alipoondoka kuelekea Ubelgiji.
Sasa kafikaje bungeni?
Kama kapona hii basi hakuna atakayonasa!
Hakuna anachokijua huyo kamanda!Mbona pendekezo la adhabu ni kari sana kwa nini asielimishwe tu