Mahakama yapokea kisu kinachodaiwa kumchinjia mdogo wake Bilionea Msuya

Mahakama yapokea kisu kinachodaiwa kumchinjia mdogo wake Bilionea Msuya

Kibatala ni aina ya wanasheria wa michongo,wao kazi yao ni kutafuta mapungufu ya kisheria ili kumnasua mteja wake kwenye kosa, lakini wakikutana na Mahakimu au Judge anae angalia Kama ya hayo mapungufu yana gusa kiini cha mgogoro,mara nyingi huwa hawaruhusu hayo Mapungufu kuchuka nafasi ya haki!!
Siku ukipata Kesi iwe ya kweli au kusingiziwa ndio utajua umuhimu wa Wanasheria
 
Kibatala ni aina ya wanasheria wa michongo,wao kazi yao ni kutafuta mapungufu ya kisheria ili kumnasua mteja wake kwenye kosa, lakini wakikutana na Mahakimu au Judge anae angalia Kama ya hayo mapungufu yana gusa kiini cha mgogoro,mara nyingi huwa hawaruhusu hayo Mapungufu kuchuka nafasi ya haki!!
  • unajua maana ya kuthibitisha pasipo shaka?
  • huyo JAJI ambaye unasema kuwa haruhusu mapungufu kuchukua nafasi ya haki, ndio maana wakifika Mahakama ya Rufaa Huwa wanashinda Kesi.
 
Hakuepo dar,sema alikuepo wiki moja kabla kupanga mchongo,istoshe housegirl wa marehemu,alitoroshwa kabla ya mauaji ma kupewa 10m...yupo kama shahidi na mariam ndio alimpa hizo pesa
Una habari kwamba huyo Housegirl ( getrude peniel mfuru) Kibatala kasema kuwa sio yeye halisi bali ni police katoka Zanzibar kaletwa huku?
 
Kumbuka shahid bado hajafanyiwa cross examination na mawakili wa serikali kwa hiyo atarudishwa kwenye njia
Mawakili wa serikali hawafanyi cross examination kwa shahidi wao, Hilo haliwezekani
 
Back
Top Bottom