Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Ingekuwa ni rahisi hivyo; tusingekuwa na matatizo tunayoyaonaUndugu upo kwenye DNA mkuu. Huo haufi milele. Mtagombana lakini kuna siku mtaongea tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ingekuwa ni rahisi hivyo; tusingekuwa na matatizo tunayoyaonaUndugu upo kwenye DNA mkuu. Huo haufi milele. Mtagombana lakini kuna siku mtaongea tu
Mariam ndo wife?? DuhHakuepo dar,sema alikuepo wiki moja kabla kupanga mchongo,istoshe housegirl wa marehemu,alitoroshwa kabla ya mauaji ma kupewa 10m...yupo kama shahidi na mariam ndio alimpa hizo pesa
Je Ndugu zake Yusufu (12 children) aliyetupwa porini ili araruriwe na Simba, baadaye akauzwa utumwani Misri kwa Mfalme Farao nao walikuwa wachovu?Hii inatokea kama ndugu wa mume ni wachovu ila kwa Erasto alikuwa na dada yake alikuwa yuko njema Australia. Na wazazi wake Erasto walikuwa njema.
Watakuwa hawajaanzisha familia hawa, ndio maana wanakuwa wagumu kuelewa.Je Ndugu zake Yusufu (12 children) aliyetupwa porini ili araruriwe na Simba, baadaye akauzwa utumwani Misri kwa Mfalme Farao nao walikuwa wachovu?
Au mnadhani zile ni hadithi za Juma na Uledi?
Ndugu wangapi wa tumbo moja wanaua, wanasababishia Ukichaa na kutokomeza kabisa damu zao sababu ya mali?
Je Yakobo aliyemnyang'anya baraka za Baba Mzazi Ndugu yake wa damu Esau?
Jiongezeni kihekima mjue dunia ikoje kimaisha.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Yanii sijui walifanyaje had wasistukiweKabisa...Haki yake itapatikana tu...
Aneth alivyokuwa mzuri jamani...
Kuna mtu ni jirani yake Kibada alinielezea ile siku mauaji yametokea anasema hata kelele hawakusikia...
Anakataa ndoa kwa kukwepa wajibu wake kuwa Me ale kwa jasho (majukumu) na Ke azae kwa uchungu (Malezi ya Watoto na ushauri kwa Mume) au ni timu upinde anayewaonea wivu Ke kuishi na Me kifamilia?Yule ni mkataa ndoa 😀
[emoji16]Watakuwa hawajaanzisha familia hawa, ndio maana wanakuwa wagumu kuelewa.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]mke kakodi hit squad kaua mme sababu ya Mali
mke kaua tena dada wa mme
KATAA NDOA
NDOA NI WIZI
USIPOOA UTAOLEWA[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
NA UTAOLEWA MITALA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]USIPOOA UTAOLEWA
NAKAZIANA UTAOLEWA MITALA[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]we jinga sana[emoji1787].NAKAZIA
ukiselfika kule nitagi kabla hujafuta[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]we jinga sana[emoji1787].
Siselfiki,nimeacha.ukiselfika kule nitagi kabla hujafuta
Kwahiyo muwe mnaolewa?Ndo maana mnaambiwa msiwege mnaoa
Ndo kilichotokea haswaamke kakodi hit squad kaua mme sababu ya Mali
mke kaua tena dada wa mme
KATAA NDOA
NDOA NI WIZI
Nakazia sanaaaaaamke kakodi hit squad kaua mme sababu ya Mali
mke kaua tena dada wa mme
KATAA NDOA
NDOA NI WIZI
Matatizo ni sehemu ya maisha ya mwanadamu kama ilivyo furaha na yote unapaswa kuyapokea kwa mikono miwili.Ingekuwa ni rahisi hivyo; tusingekuwa na matatizo tunayoyaona
siku zote wakataa ndugu ni wale choka mbaya wazee wa uswahilini hawajui thamani ya kuwa na DNA mmoja mwanamke umekutana nae tu ukubwani muda wowote anakukataa nduguni watoto uliozaa nae wenye DNA moja na weweIngekuwa ni rahisi hivyo; tusingekuwa na matatizo tunayoyaona
[emoji23][emoji23]Daah siku zinaenda hii kesi ni kama jana tuu...ila imeshafika miaka 8...
Hiyo chupi mpk wataje rangi?