mwanauvinza
JF-Expert Member
- Jul 24, 2023
- 365
- 1,050
Siku ukipata Kesi iwe ya kweli au kusingiziwa ndio utajua umuhimu wa WanasheriaKibatala ni aina ya wanasheria wa michongo,wao kazi yao ni kutafuta mapungufu ya kisheria ili kumnasua mteja wake kwenye kosa, lakini wakikutana na Mahakimu au Judge anae angalia Kama ya hayo mapungufu yana gusa kiini cha mgogoro,mara nyingi huwa hawaruhusu hayo Mapungufu kuchuka nafasi ya haki!!
Kibatala ni aina ya wanasheria wa michongo,wao kazi yao ni kutafuta mapungufu ya kisheria ili kumnasua mteja wake kwenye kosa, lakini wakikutana na Mahakimu au Judge anae angalia Kama ya hayo mapungufu yana gusa kiini cha mgogoro,mara nyingi huwa hawaruhusu hayo Mapungufu kuchuka nafasi ya haki!!
Una habari kwamba huyo Housegirl ( getrude peniel mfuru) Kibatala kasema kuwa sio yeye halisi bali ni police katoka Zanzibar kaletwa huku?Hakuepo dar,sema alikuepo wiki moja kabla kupanga mchongo,istoshe housegirl wa marehemu,alitoroshwa kabla ya mauaji ma kupewa 10m...yupo kama shahidi na mariam ndio alimpa hizo pesa
Mawakili wa serikali hawafanyi cross examination kwa shahidi wao, Hilo haliwezekaniKumbuka shahid bado hajafanyiwa cross examination na mawakili wa serikali kwa hiyo atarudishwa kwenye njia
Hakika ulisemaHii kesi ukiifuatilia unaona kama watuhumiwa watashinda kesi na kuachiwa huru...
Ushahidi usio na shaka umekuwa ukipelea kwa kiasi kikubwa...
Hakika ulisema
NdioHuyo mwanamke ni mmachame? Yani huyo mke wa marehemu
Washitakiwa walishinda kesi!!Hii kesi imeishia wapi??