Mahakama yaridhia kunyongwa aliyemuua Dereva Bodaboda

Majaji watatu wakiongozwa na Jaji Mkuu.....

Circimstatial evidence became nevitable
 
Unadhani aliyeua ni mpumbavu kiasi cha kuendesha pikipiki ya marehemu kesho yake?
 
Pikipiki aibe leo kwa kumuua mtu halafu kesho atembee nayo mitaani ! Hii nayo imekaa sawa?, ni mwizi gani anaweza kufanya kosa la namna hiyo?
Si kwamba natetea , mimi ni mhanga wa ujambazi wa kikatili ambao umenisababishia ulemavu hadi leo hii, lakini pia namna watuhumiwa wanavyokamatwa inatakiwa iwe safi ili tufurahie hukumu,
 
Aliiipataje pikipiki ya marehemu ,masaa 24 baada ya kuwawa?
Kuna series of misfortunes zikikuandama unaweza jikuta umeingia kwenye matatizo makubwa kwa bahati mbaya , kuna uwezekano kuwa jamaa ni mnunuzi maarufu wa vitu vya mazabe, akaletewa pikipiki hiyo akanunua kwa bei chee bila kujua msala wake.
Piki piki mbali sana , simu ya kununua mitaani tu inaweza kukuletea msala kama huo na kwa mahakama zetu zinavyofanya kazi unaweza kunyongwa kweli
 
Halafu watu ni maajabu sana, unamwua mtu kwa ajiri ya kumpora pikipiki tu.
Toka hapo unaanza kuishi maisha ya wasiwasi tele.
Ndio maana wanahukumiwa adhabu kali
Sina shida na hukumu kama ni kweli aliyekamatwa ni muuaji halisi.
Hofu yangu ni kuwa mtuhumiwa anaweza akawa ametenda kosa la kununua mali ya wizi na sio mwizi mwenyewe, na kwa maelezo yanayotolewa kuna uwezekano sio aliyeuwa na kuiba pikipiki
 
Muuaji hawezi UA, akachukua pikipiki afu kesho aiendeshe maeneo hayo hayo
Hiyo ni common sense !! Bahati mbaya sana watanzania hatuna uwezo wa kutumia common sense , akili ya mwanzo kabisa ambayo mwanadamu kapewa bure kabisa bila ya kwenda darasani.
Unaona hata kwenye huu mjadala baadhi ya watu hawajaitumia common sense , wanahukumu tu .bila kuhoji
 
Matukio yote ya uporaji kitu kikiibiwa,hakiuzwi mtaa huo wala hakitatumika mtaa huo.

Huyu akaombe mapitio atachomoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…