Mkimuyangu
JF-Expert Member
- Oct 5, 2022
- 1,054
- 1,947
Yeye aliyehukumiwa ilibidi awaonyeshe waliyemuuzia pikipiki, sasa kama pikipiki ilitoka kwa marehemu ikaja kwake, tena kwa tofauti ya siku moja, unategemea nini?Unamhukumu vipi mtu kufa kwa ushahidi wa kimazingira tu?