Jamaa hela walishapewa. Tigo hawakukata rufaa ndani ya muda wa rufaa, wakalipa baada ya account zao kukamatwa. Wakaomba kibali cha kukata rufaa nje ya muda wa rufaa. Wakapata ndipo wakakata rufaa.Halafu kuna milamba matako humu ilisema hawa mafala walishapewa hiyo hela...
Masikini wale
Kosa la wakili? Kwahiyo hakimu hajui mipaka ya mahakama yake?Kwa swali lako, kosa ni la Wakili wao.
πππππππMahakani sio jengo la kanisa au msikiti useme kuna huruma.
πππAmeniibia mke?Hakuna cha FA au AY au XYZ or whatever anaweza nibia mke mzee...
They are just poor rappers mzee...hakuna mwenye hela hapo...
Unasema umasikini mbaya as if unajua networth yangu,umegeuka mtabiri?
Umasikini mbaya labda kwao you are referring!
Hakuna mbingu mzee,bado unaendeleza ubashiri ambayo ni kazi ya waganga!
Get this,rapper yeyote Tanzania ni masikini,hutaki andamana!
Ukipata muda jaribu kusoma soma vitabu vya sheria, baadhi ya maswali hauta uliza, mkuu.Kosa la wakili? Kwahiyo hakimu hajui mipaka ya mahakama yake?
Lakini tukumbuke kwamba pamoja na yote haya, haiondoi ukweli kwamba tigo iliwaibia jamaa kwasababu mpaka sahizi hawana hoja/ushaidi kwamba walizitumia zile nyimbo kihalali ila wana hoja moja tu ya kiutendaji ya mahakama/sheria ambayo haiingilii kwenye kesi yenyewe hasa!Kwani wao walilipwa kidogokidogo? Tena walizuia akaunti. Ngoma ngumu hii mkuu.
Tigo kanunua kwa dalali aseee.Lakini kumbuka hoja ya huyo hakimu ni moja tu na ambayo haina mashiko, ambapo haibaidilishi ukweli kwamba tigo waliwaibia hao jamaa (this is unchanged) kwahiyo jamaa wakiamua kuendelea na madai kwamba walipwe watalipwa tena kwa kiwango cha 4bills wakisimama kidete
Nijibu kwanza hilo swali, au unafanya kazi tigo?Ukipata muda jaribu kusoma soma vitabu vya sheria, baadhi ya maswali hauta uliza, mkuu.
Mwana FA ashaenda Sana OLD Trafford kucheki game za MAN UTD πππ!Dah, na jamaa walishapiga hela zote kwa safari za kuizunguka dunia kila wiki, kila mwezi, kila mwakaπ
π€£π€£Mwana FA ashaenda Sana OLD Trafford kucheki game za MAN UTD πππ!
Kimsingi Tigo wakaushe tu wajue walishapigwa tu mapema.
Msando ndo alikuwa wakili wao.Sasa hapo hasara itakuwa Kwa hao vijana, maana waliopewa mgao kama mawakili na wadau hawawawezi kurudisha pesa. Hapo mwana FA na AY inabidi wahangaike wenyewe ikiwemo kuwalipa mawakili upya. Nilichogundua mawakili wengi ni watoto WA mjini
Cha msingi tuangalie namna gani tunaweza wafungulia kesi za wizi wa zile cent wanazojimegeaga ukiacha salio bila kujiunga kifurushi. Fidia yangu wakinilipa hata Mil. 100 tu inantosha. Nilegeze vyuma tu.Unaumia jamaa kupiga hela ka wamekuibia mke. Umasikini mbaya sana.
Kama mbingu ipo naamaini watajaa matajiri tu.
Lakin kumbuka walichelewa kukata tufaa(obviously walikubali kulipa) then akatokea mtu akawapanga wakakata rufaa nje ya muda wa rufaa.MIC wamefeli,hawakutakiwa kulipa kwanza wakati wameenda kukata rufaa higher court..
MIC huko ndani ni lazima kulikua na watu wamekula njama na hawa viazi akina AY walipwe fasta wagawane...
MIC hawakutakiwa kulipa chochote kabisa maana rufaa was on!
Plus,mtu fala ni mtu sio smart kwenye kitu fulani ila anaweza kua smart kwenye kitu kingine,nothing wrong with fala...
Na pia sio lazima niwapende FA na AY,silazimishwi kuwapenda...I can as well hate them!
Mashabiki wenzie 500 ya kibanda umiza kwa Ujugu Arena hawana,wanasubiri matokeo,yeye anaenda muona Lingaard akitoa boko Old Trafford.Mwana FA ashaenda Sana OLD Trafford kucheki game za MAN UTD πππ!
Kimsingi Tigo wakaushe tu wajue walishapigwa tu mapema.
Si hela ipo man, af hamna hela tamu kuspend kama ambayo hujaitolea jasho juani.Mashabiki wenzie 500 ya kibanda umiza kwa Ujugu Arena hawana,wanasubiri matokeo,yeye anaenda muona Lingaard akitoa boko Old Trafford.
hahahah yuko vizuri sana eehπ€£π€£
...Na ukimpa kazi ya kukuchambulia kikosi cha Ole Gunnar...Edo Kumwembe na George Ambangile hawatii miguu...
Mkuu deni linafunga kwa mtindo ule ule AY na FA waliotumia kukamata akaunti za tigo. Muhimu hukumu iwe imetoka kwa faida yako wewe unayedai. Wanaita civil prisoner, lengo ni kukutia presha ulipe deni la watu.