Mahakama yatengua hukumu ya kina Mwana-FA, AY na Kampuni ya tiGO

Mahakama yatengua hukumu ya kina Mwana-FA, AY na Kampuni ya tiGO

Na hizi kampuni zibadilike Sasa....

Unatumiaje CALLER TUNER(mwitiko wa simu) za msanii bila ya ruhusa yake...bila ya mkataba naye?!!!

Haya mambo ndiyo yanayorudisha nyuma wasanii na nchi yetu...

Wao makampuni wanakunja kiasi gani kutokana na "unyongaji huo"?!!!
"Tigo katika utetezi wake kupitia kwa mkuu wa kitengo cha burudani na miradi David Zakaria, alidai kuwa MIC ilipelekewa nyimbo hizo na kampuni ya Cellulant Tanzania Limited, waliyoingia nayo mkataba wa kisheria kwa huduma hiyo na kwamba ndio inapaswa kuwalipa wasanii husika"

Sasa tuseme tigo walikubali kuwalipa wao wenyewe wakati wamechukua wimbo kwa dalali au ndio hatujui makubaliano kati ya Cellulant na Tigo yalikuwaje?

Lakin naamini hao wasanii nyimbo zao kweli zilikuwa zinatumika bila makubaliano
 
Sasa ndiyo wanafilisiwa Mazimaa!! na kudhalilishwa
Labda kama hawana kadi za CCM, itatumwa Memo hao TIGO wataufyata kimya. Sio kwa awamu hii mzee 😝!!! Enzi za Jakaya walau wangekua mashakani maana ilikuwa mkubwa ndevu mtoto ndevu!

Kama mh. sabufa tu anachezeshwa ngoma za Sikinde mwana ukae na anafata maagizo seuze hao wezi TIGO?

Wamekalishwa singasinga wa IPTL ma Mogul itakuja kuwa hao Tigo? Sio kwa Al hajj Jiwe 😂
 
Kampuni huwa zinashtakiwa...kama TUSHTAKIWAVYO sisi....

Yaani umnyonge mtu haki yake...utumie JASHO LAKE...ufaidike kwa CALLER TUNE ZAKE....aende mahakamani kudai CHAKE useme anakuchafua?!!!

Sasa mahakama ziko kwa AJILI GANI?!!

Kama hutaki kuchafuliwa na KUCHAFUKA biashara zako basi USIINGILIE HAKI ZA WENGINE....
Very true
 
Ndo itabidi washike mali zenye thamani ya 2B za hao jamaa napo ni kama wanazo hizo mali kwa majina yao.
Hiyo ya kushika mali ni njia moja kati ya nyingi zinazoweza kuwabana fa na mwenzie, ikiwemo kufungwa. Kwa kifupi ukidaiwa na mtu anayejua kudai utalipa tu, labda uamue kuwa huna kazi tena na maisha yako.
 
Nijibu kwanza hilo swali, au unafanya kazi tigo?
Soma michango ya mwanzo
Huyo hakimu ni marehemu kwa Sasa.

Na kilichomtokea ni kuvuta mpunga kwa wadaawa (wanaoshtakiana) halafu hakutoa maamuzi yanayowafurahisha.

Jamaa kumfuata na kumuuliza kwanini katoa hukumu ya aina hiyo, akawajibu mbovu.

Wakamtengeneza, baada ya siku kadhaa jamaa kaugua, ikawa safari.
Yule Jamaa alikua mtata, Waswahili walimfungulia uzi hapa JF, akapewa siku kadhaa akaambiwa hatotoboa.
 
Umekurupuka.

FA hakupitishwa na wajumbe, alikuwa mshindi wa pili. Alipitishwa na kamati kuu ya CCM

Huo ushindi wa pili aliupata bila kura za wajumbe? Kuwa wa pili kwenye kura za maoni kunapatikana bure bure tu... mwana fa alipigiwa kura na wajumbe karibu 300.. je hao wajumbe wangempigia kura bure bure tu.. labda huijui ccm na seke seke za kuupata ubunge unahitaji bajeti ya bei gani.. mjumbe mmoja tu uipate kura yake haipungui laki 2 anapoozwa na mgombea
 
Huo ushindi wa pili aliupata bila kura za wajumbe? Kuwa wa pili kwenye kura za maoni kunapatikana bure bure tu... mwana fa alipigiwa kura na wajumbe karibu 300.. je hao wajumbe wangempigia kura bure bure tu.. labda huijui ccm na seke seke za kuupata ubunge unahitaji bajeti ya bei gani.. mjumbe mmoja tu uipate kura yake haipungui laki 2 anapoozwa na mgombea
Wajumbe 300 kura 70?
 
Labda kama hawana kadi za CCM, itatumwa Memo hao TIGO wataufyata kimya. Sio kwa awamu hii mzee 😝!!! Enzi za Jakaya walau wangekua mashakani maana ilikuwa mkubwa ndevu mtoto ndevu!

Kama mh. sabufa tu anachezeshwa ngoma za Sikinde mwana ukae na anafata maagizo seuze hao wezi TIGO?

Wamekalishwa singasinga wa IPTL ma Mogul itakuja kuwa hao Tigo? Sio kwa Al hajj Jiwe 😂
Aahaaa! Mkuu ufukara wooote huu wa Bongo nirudishe Mpunga kirahisi hivo? aseee? utaniua, piga ua nifunge lakn hela sirudishi, nimeshaitia mkononi?

Bora nigawie ndugu faster hata wakinidhurumu potelea kwa mbali! acha wale!
 
Huyo hakimu ni marehemu kwa Sasa.

Na kilichomtokea ni kuvuta mpunga kwa wadaawa (wanaoshtakiana) halafu hakutoa maamuzi yanayowafurahisha.

Jamaa kumfuata na kumuuliza kwanini katoa hukumu ya aina hiyo, akawajibu mbovu.

Wakamtengeneza, baada ya siku kadhaa jamaa kaugua, ikawa safari.
Nambie mzee mwenzangu!
Unasema hakim ni marehemu sahv kivipi?
Kwani kavuta

Ova
 
Back
Top Bottom