FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Zimezuiwa kwa sababu hawakupeleka objection, na objection waliyopaswa kupeleka ni kwamba kuna rufaa imekatwa na inasubiriwa kwenye mahakama nyingine tofauti na hiyo iliyotoa hukumu, lakini wao hawakupeleka objection juu ya kuziwa akaunti zao, na vielelezi vya rufaa na mawakili walikuwa nao, lakini hawakupeleka, sasa kosa la nani?Umeambiwa wakati wakikata rufaa Mahakama ilizuia akaunti za Kampuni ya Tigo, huelewi kusoma?
Hizi ndio hoja za kujadili humu, sio mtu anaropoka tu bila kuwa na hoja, big up!Nafikiri kina FA watashinda tena,maana hoja iliyotengua hukumu ni jurisdiction na wala sio kwamba Tigo hawakutumia caller tune ya kina FA ..so madai ya msingi bado yana mashiko kama kuna ushahidi wa kuridhisha
ni sawa na kusema mtu amekamatwa ugoni then mshenga akasolve issue kwa kuamua talaka itoke..baadae mke akapinga kuwa mshenga hana mamlaka ya kuamulia talaka bali sheikh..madai ya msingi ni ugoni na sio muhusika alieamulia kesi
👍Exactly, kama walikata rufaa, hiyo ni hoja tosha ya kusitisha kwa muda utekelezaji wa hukumu, kwanini hawakwenda kuobject na mawakuli walikuwa nao??! 😂😂😂
Tigo walipaswa ku file third part notice ili kuwajumuisha hao cellulant ili wawajibike katika madai ya msingi na kulipa hilo deni ikibidi...."Tigo katika utetezi wake kupitia kwa mkuu wa kitengo cha burudani na miradi David Zakaria, alidai kuwa MIC ilipelekewa nyimbo hizo na kampuni ya Cellulant Tanzania Limited, waliyoingia nayo mkataba wa kisheria kwa huduma hiyo na kwamba ndio inapaswa kuwalipa wasanii husika"
Kwahiyo wasanii hao walilipwa na tigo ama cellulant?
Ushamba mzigo😂Mwana FA ashaenda Sana OLD Trafford kucheki game za MAN UTD 😂😂😂!
Kimsingi Tigo wakaushe tu wajue walishapigwa tu mapema.
Ambacho haujaelewa ninini wewe matako !?? Cellulant na baadhi ya makampuni mengine huwa Wana nunua nyimbo za wasanii na kuziuza kwa Tigo ..nachoongea Nina uhakika nacho cuz nimeshawahi kuwa karibu na Mx Carter na yeye Ni miongoni mwa watu wa mwanzo kabisa nchini kampuni yake kuwa inafanya huo mchakato wa kununua nyimbo kwa wasanii na kuziuza kwenye mitandao ya simu ... So Ambacho haujaelewa hapo Ni kitu gani au unatafuta bahasha kinguvu !?Sasa Cellulant anawezaje kuuza kisheria kitu asichomiliki? 😂😂😂, we ni taahira? Mfano leo uje ukute nimeuza gari lako kisheria, yaani gari ni lako, hujanipa zawadi wala hujaniuzia, halafu naliuza kisheria?! 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂👏😂
Kina mwanaFA haki wanazo zote lije jua ije nvua haki ni yao.........Linda reputation yako kwa KUTODHULUMU JASHO LA WENGINE....
Mahakama ni kimbio la kila mmoja....
Unatumia CALLER TUNE za wanamuziki....unapiga pesa kwalo...wamelalamika unadai they tarnish ur image?!!!
Ok well if unasema madalali(CELLULANT) ndio waliotakiwa KULIPA (if so) why would you then paid following court verdict?!!!
Ndio maana kuna rufaa....Wamkamate huyo hakimu afunguliwe mashtaka kwa kutoa hukumu isiyomuhusu. Nadhani mwana FA na AY hawana hatia.
Ngoja turudi nyuma kidogo mnakuwa wasahaulifu.....!!
Tigo walikua na sababu 11 lakini moja tu ya jurisdiction ndio iliyotengua hukumu,it means hizo nyingine hazikua na mashiko ya kutoshaNenda kasome Hiyo Judgement kuna grounds 10 za wao kukata rufaa usijifiche kwenye sababu moja.
Sure ....Kina mwanaFA haki wanazo zote lije jua ije nvua haki ni yao.....
point ambayo iko hapa bilioni mbili walizolipwa sijui walithibitisha vipi.....
manake kwenye kesi za madai kuna kanuni moja muhimu /specific damages has to be proved...
hasara ambayo kina FA waliipata walipaswa kuithibitisha....
ukishindwa kufanya hivyo unaweza kulipwa kiwango kidogo cha pesa....
Ngoja turudi nyuma kidogo mnakuwa wasahaulifu.....!!
kuna jamaa mmoja memba humu aliwahi kuleta malalamiko dhidi ya yule hakimu....
na akachimba mkwara lazima amng'oe
nadhani anaitwa mng'oakucha kama sijakosea jina...
(personally yule hakimu wa ilala namfahamu)
haikupita wiki yule hakimu akadedi..
Kwa manufaa ya jukwaa pandisha huo uzi mkuu kunogesha mada.Ngoja turudi nyuma kidogo mnakuwa wasahaulifu.....!!
kuna jamaa mmoja memba humu aliwahi kuleta malalamiko dhidi ya yule hakimu....
na akachimba mkwara lazima amng'oe
nadhani anaitwa mng'oakucha kama sijakosea jina...
(personally yule hakimu wa ilala namfahamu)
haikupita wiki yule hakimu akadedi..
mkuu uzi wetu umetuacha njiani😰Watakata rufaa, watashinda tena
Ndio maana kuna rufaa....
jukumu la kwenye rufaa ni mahakama ya juu kurekebisha mapungufu ya kisheria yaliyojitokeza kwenye hukumu ya mahakama ya chini...
hakimu unaweza kumdaka kwenye rushwa tu...
sio kwenye reasoning.....
sijui kama nimeeleweka