Sasa hela nimeshatumia kwa amri halali ya bwana hakimu .Ndio maana kuna rufaa....
jukumu la kwenye rufaa ni mahakama ya juu kurekebisha mapungufu ya kisheria yaliyojitokeza kwenye hukumu ya mahakama ya chini...
hakimu unaweza kumdaka kwenye rushwa tu...
sio kwenye reasoning.....
sijui kama nimeeleweka
'A lawyer with a briefcase can steal more money than one hundred men with guns'-Mario Puzo.Tigo wanajidhalilisha tu, hawaoni aibu. Kwani hawakutumia kweli hizo nyimbo?
Au sababu wamezoea dhulumu wasanii?
Hahahah ndio akili iliobaki,,,never dying broke😍Aahaaa! Mkuu ufukara wooote huu wa Bongo nirudishe Mpunga kirahisi hivo? aseee? utaniua, piga ua nifunge lakn hela sirudishi, nimeshaitia mkononi?
Bora nigawie ndugu faster hata wakinidhurumu potelea kwa mbali! acha wale!
Kwahiyo hiyo nyimbo walishauza, sio mali yao?!! MwanaFa akadai haki juu ya asichokimiliki? 😂😂😂😂👏Ambacho haujaelewa ninini wewe matako !?? Cellulant na baadhi ya makampuni mengine huwa Wana nunua nyimbo za wasanii na kuziuza kwa Tigo ..nachoongea Nina uhakika nacho cuz nimeshawahi kuwa karibu na Mx Carter na yeye Ni miongoni mwa watu wa mwanzo kabisa nchini kampuni yake kuwa inafanya huo mchakato wa kununua nyimbo kwa wasanii na kuziuza kwenye mitandao ya simu ... So Ambacho haujaelewa hapo Ni kitu gani au unatafuta bahasha kinguvu !?
Sio hasara tu, hata ukiweza kudhibitisha faida aliyopata huyo aliyetumia nyimbo yako, unaidhibitisha na unalipwa, maana ni yakoKina mwanaFA haki wanazo zote lije jua ije nvua haki ni yao.....
point ambayo iko hapa bilioni mbili walizolipwa sijui walithibitisha vipi.....
manake kwenye kesi za madai kuna kanuni moja muhimu /specific damages has to be proved...
hasara ambayo kina FA waliipata walipaswa kuithibitisha....
ukishindwa kufanya hivyo unaweza kulipwa kiwango kidogo cha pesa....
Daktari wa meno anapoenda kufanya upasuaji wa ubongo na mgonjwa akafa, nani awajibishwe? Hospitali, dentist aliepasua kichwa bila kuwa na vigezo, au mgonjwa?Ndio maana kuna rufaa....
jukumu la kwenye rufaa ni mahakama ya juu kurekebisha mapungufu ya kisheria yaliyojitokeza kwenye hukumu ya mahakama ya chini...
hakimu unaweza kumdaka kwenye rushwa tu...
sio kwenye reasoning.....
sijui kama nimeeleweka
Rufaa juu ya rufaaaWatakata rufaa, watashinda tena
Naona una roho mbaya sana hii ishu umeishupalia mno but huwafikii kwa maisha yao waliyonayo na wewe utaendelea kuwa hapo ulipo najua utakuja kujitetea kuwa una kazi nzuri au una kipato kizuri ila ukweli hauna hadhi ya kuwafikia hao watuHakimu na wateja wake walicheza faulo ili wapige pesa.. naona Tigo wamekataa kuwa vipofu wa kufikiri
Ulitaka sababu ngapi ndio zitengue hukumu ?Tigo walikua na sababu 11 lakini moja tu ya jurisdiction ndio iliyotengua hukumu,it means hizo nyingine hazikua na mashiko ya kutosha
DuuNgoja turudi nyuma kidogo mnakuwa wasahaulifu.....!!
kuna jamaa mmoja memba humu aliwahi kuleta malalamiko dhidi ya yule hakimu....
na akachimba mkwara lazima amng'oe
nadhani anaitwa mng'oakucha kama sijakosea jina...
(personally yule hakimu wa ilala namfahamu)
haikupita wiki yule hakimu akadedi..
Watakata rufaa, watashinda tena
Call it Pecuniary Jurisdicton brother.
Mkuu kuna kitu kinaitwa res judicataNafikiri kina FA watashinda tena,maana hoja iliyotengua hukumu ni jurisdiction na wala sio kwamba Tigo hawakutumia caller tune ya kina FA ..so madai ya msingi bado yana mashiko kama kuna ushahidi wa kuridhisha
ni sawa na kusema mtu amekamatwa ugoni then mshenga akasolve issue kwa kuamua talaka itoke..baadae mke akapinga kuwa mshenga hana mamlaka ya kuamulia talaka bali sheikh..madai ya msingi ni ugoni na sio muhusika alieamulia kesi
La mahakama...lakini swala la Hakimu kushitakiwa hilo halipo mkuu.
Sasa Kama cellulant hawezi kuuza kwanini AY na MwanaFA wasingeenda kuwashitaki Cellulant kwa kuuza nyimbo wakati hawana uwezo wa kuuza.Sasa Cellulant anawezaje kuuza kisheria kitu asichomiliki? [emoji23][emoji23][emoji23], we ni taahira? Mfano leo uje ukute nimeuza gari lako kisheria, yaani gari ni lako, hujanipa zawadi wala hujaniuzia, halafu naliuza kisheria?! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji122][emoji23]
Nisaidie hapo mkuu...unamshtaki kwa kosa gani? na kwa kitumia sheria ipi?Na hatuongei kuhusu uamuzi aliofanya, tunaongelea kutoa maamuzi bila kuwa na jurisdiction, mfano, daktari hawezixkushtakiwa mgonjwa akifa kwenye operesheni ya ubongo, lakini tukigundua ulikuwa daktari wa meno na unapasua watu vichwa, hatuwezi kukuacha, nasema uongo?
Ndiyo itasikilizwa upya kwenye Mahakama yenye uwezo was kusiliza hiyo kesi....Pesa wanatakiwa warudishe kwasababu hapo ni kama hayo maamuzi hayajawahi kufanyika..hivyo wanapaswa kurudisha pesa za watu kwani si halali yao tena...mechi inaanza upya bila bila.Sasa kwanini wameambiwa warudishe hizo hela?.
Kesi itasikilizwa upya?