Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
🤣🤣🤣wataalamu wa kunusa tunasema hivi, wakili wa tiGo ameongea na Washitaki kuwa ataishawishi tiGo kukata rufaa halaf atashindwa kesi ili wasanii walipwe 4 Bilioni ili wamgawie yeye (wakili wa tiGo) 1Bilioni halaf wasaniii wabaki na 3Bilioni.
halafu mchezo utakua umekwisha.
Hajaanza vibaya.. bila hela za tigo ubunge asingeupata..unajua wajumbe walikula bei gani kila mmoja? Yeye mwana fa kazitumia hela za tigo kama mtaji.. kwa mshahara wa mbunge anazilipa kidogo kidogo mpaka anamaliza deni
dah ila we jamaa inaonekana pichani unakichwa kikubwa lakini mgumu wa kuelewa aseeKwanini hao TIGO wasingekwenda MAHAKAMANI kuzuia kukamatwa mali zao?!!!
Hiyo ni kesi...iweje UPANDE wa wakili Msando uwe ACTIVE na haraka kuliko huo upande wa walalamikiwa ilihali walikuwa na mawakili?!!!
Kwa hiyo huo upande mmoja ndio wana "CHEDA" sana za kuhonga kuliko hao "wengine" eee?!!
Mtu anatakiwa AELEWE kile ukitakacho eee?!!!dah ila we jamaa inaonekana pichani unakichwa kikubwa lakini mgumu wa kuelewa asee
Ninaamini wakikata Rufaa na kujenga hoja vyema watashinda kwa kuwa Jaji amejieelekeza vibaya kutafsiri Sheria hizo mbili, Sheria ya haki miliki (kifungu cha 4) na ya Mahakama na Sheria ya Mahakama za Mahakimu (kifungu cha 40 (1)(b) ), Mahakama ya Wilaya kwa kesi za Hakimiliki ina uwezo huo wa kusikiliza madai ya fidia ya kiasi chochote kile.Watakata rufaa, watashinda tena
Halafu kuna milamba matako humu ilisema hawa mafala walishapewa hiyo hela...
Masikini wale
Sio Mimi fuatilia hiyo content niliyenaye mjibu alikuwa na mawazo yapi yaliyopelekea Mimi kumjibu hivyoUshaligeuza kuwa suala la kishabiki tena?
utarudi hapa baada ya Hukumu kutoka, utakuja kuniambia pua zangu ni noma🤣🤣🤣
Yaani issue sensitive na confidential ya "watu" kupiga...unuse wewe?!?!
Looh...kweli CONSPIRACY THEORIES are not factual....
Hongera mnusaji..🤣
Wale wanaosemaga deni halifungi kwenye kesi hii wanaweza kuwa na jambo la kujifunza
wanaweza wakashinda ila kiwango cha madai kikapunguzwa,wanaweza wakaambiwa walipwe mil 500,kama walishakula itabidi warudisheNafikiri kina FA watashinda tena,maana hoja iliyotengua hukumu ni jurisdiction na wala sio kwamba Tigo hawakutumia caller tune ya kina FA ..so madai ya msingi bado yana mashiko kama kuna ushahidi wa kuridhisha
ni sawa na kusema mtu amekamatwa ugoni then mshenga akasolve issue kwa kuamua talaka itoke..baadae mke akapinga kuwa mshenga hana mamlaka ya kuamulia talaka bali sheikh..madai ya msingi ni ugoni na sio muhusika alieamulia kesi
....haya mwenye pua za "mbwa" 🤣utarudi hapa baada ya Hukumu kutoka, utakuja kuniambia pua zangu ni noma
Pesa zipo, maana mmoja wao tayari ni mbunge hivyo watalipa tu kama itahitajika.Kazi wanayo
Waweza kukuta huyo hakimu aliyepitisha hiyo hukumu Alifanya hivyo ili nayeye apige mpunga. Sasa mpunga unakwenda kuwatokea puani [emoji849][emoji849]
Wale ambao huwa tunasikia hawakutakiwa kujibu chochote kwakuwa mahakama hio haina mamlaka ya kusikiliza shauri lao huwa wanaambiwa na nani wasijibu?Hakimu hatakiwi kukwambia kuwa haina mamlaka, ni wajibu wako wewe Wakili kujua jurisdiction ya mahakama.
Hunijui,sikujui..u dont know my networth,halafu upo kusema namchukia FA sababu ya vihela vya kua rapper?
Simpendi just for the sake of it...kwani ni lazima kupenda mtu?
Rapper wa TZ tangu lini akawa na hela wewe ndugu?
Mwenye kaduka tu anamzunguka FA mara elfu....
Kama ana hela ni kwako wewe ulie masikini,dont generalize!
Sasa mkuu hilo kosa linawahusu hao wasanii??Mahakama iliyosikiliza hiyo kesi haikupaswa kusikiliza kesi inayozidi madai ya kiwango cha million 300 kisheria au haujapitia bandiko vyema mkuu !?