Mahakama yatengua hukumu ya kina Mwana-FA, AY na Kampuni ya tiGO

Mahakama yatengua hukumu ya kina Mwana-FA, AY na Kampuni ya tiGO

Mahakama iliyosikiliza hiyo kesi haikupaswa kusikiliza kesi inayozidi madai ya kiwango cha million 300 kisheria au haujapitia bandiko vyema mkuu !?
Ni sawa, lakini mi kosa la nani? MwanaFA na AY ndo walipelekea mahakama ya wilaya ifanye iliyoyafanya?
 
Hii kesi walishindwa tangu mwanzoni kabisa. Akaja Alberto Msando akanunua kesi wakacollude na mahakimu na watu wa Tigo kesi ikaisha wakavuta hela fasta yaliyoendelea mnajua. Nadhani watu wa Tigo walidelay kuappeal ili hela zilipwe wasepe zao, ukifuatilia unaweza kuta wote waliokuwa wanahusika upande wa Tigo walishatimua zao
Asee, wewe utafungwa kwa kuongea uongo.
 
Na hizi kampuni zibadilike Sasa....

Unatumiaje CALLER TUNER(mwitiko wa simu) za msanii bila ya ruhusa yake...bila ya mkataba naye?!!!

Haya mambo ndiyo yanayorudisha nyuma wasanii na nchi yetu...

Wao makampuni wanakunja kiasi gani kutokana na "unyongaji huo"?!!!
Makampuni ya simu huwa hayaingia mkataba na mtu(yaani msanii mwenyewe) bali huingia mkataba na kampuni (ambayo husimamia kazi za msanii). Na hicho ndicho Tigo walichokisema kwenye hii kesi. Tigo wanasema zile ringtones waliuziwa na kampuni ya Cellulant Tanzania Limited.

Walichokifanya wakina AY& FA ni kuwashtaki Tigo badala ya kuishtaki kampuni iliyoipa Tigo haki ya hizo ringtones. Na hili halikufanywa kwa bahati mbaya, AY&FA walijua kuishtaki ile kampuni iliyoingia mkataba na Tigo wangeweza kushinda kirahisi (ikiwa kweli hiyo kampuni hawakuiangia nao mkataba) lakini wasingeambulia hata senti tano (haiwezi kuwa na hiyo pesa), lakini kuishtaki Tigo wangelipwa tu pesa hata kama sio zote wanazozidai (maana wangeweza kuitwa haraka chemba ili kupozwa na kuifuta kesi. Why? Tigo ingetaka kulinda reputation yake kwenye jamii).

Yote kwa yote, huu ni mchezo wa mawakili kupiga pesa za makampuni. AY&FA huenda wametumika tu kama platform ya wanasheria wajanja kuvuta mpunga. Sasa deal likienda mrama, FA&AY wataangushiwa jumba bovu.

Kiujumla hii kesi naona mbichi sana, kuna mengi nyuma ya Pazia huenda tutayajua.

Kwa vyovyote vile, Tigo hawatakubali kirahisi kukubali kushindwa katika hii kesi, maana Tigo wakikubali kuwalipa wakina AY&FA tu, basi huenda msururu wa wasanii wa Bongo flavour kuwashtaki Tigo ukaongezeka, maana hata wao nao nyimbo zao zimetumika kama ringtones kwenye miito ya Tigo.
 
Kosa liko pale pale, pengine hata mahakama ya juu ikawapa haki yao.
Kumbe Tz tuna wanamuziki ni bilionea.
 
Makampuni ya simu huwa hayaingia mkataba na mtu(yaani msanii mwenyewe) bali huingia mkataba na kampuni (ambayo husimamia kazi za msanii). Na hicho ndicho Tigo walichokisema kwenye hii kesi. Tigo wanasema zile ringtones waliuziwa na kampuni ya Cellulant Tanzania Limited.

Walichokifanya wakina AY& FA ni kuwashtaki Tigo badala ya kuishtaki kampuni iliyoipa Tigo haki ya hizo ringtones. Na hili halikufanywa kwa bahati mbaya, AY&FA walijua kuishtaki ile kampuni iliyoingia mkataba na Tigo wangeweza kushinda kirahisi (ikiwa kweli hiyo kampuni hawakuiangia nao mkataba) lakini wasingeambulia hata senti tano (haiwezi kuwa na hiyo pesa), lakini kuishtaki Tigo wangelipwa tu pesa hata kama sio zote wanazozidai (maana wangeweza kuitwa haraka chemba ili kupozwa na kuifuta kesi. Why? Tigo ingetaka kulinda reputation yake kwenye jamii).

Yote kwa yote, huu ni mchezo wa mawakili kupiga pesa za makampuni. AY&FA huenda wametumika tu kama platform ya wanasheria wajanja kuvuta mpunga. Sasa deal likienda mrama, FA&AY wataangushiwa jumba bovu.

Kiujumla hii kesi naona mbichi sana, kuna mengi nyuma ya Pazia huenda tutayajua.

Kwa vyovyote vile, Tigo hawatakubali kirahisi kukubali kushindwa katika hii kesi, maana Tigo wakikubali kuwalipa wakina AY&FA tu, basi huenda msururu wa wasanii wa Bongo flavour kuwashtaki Tigo ukaongezeka, maana hata wao nao nyimbo zao zimetumika kama ringtones kwenye miito ya Tigo.
Well ...

Zama za UWAZI....

Wasanii wako...
Makampuni yako....

Nadhani tuendako wasanii hawataminywa sana na hayo makampuni......

Kwani haiwezekani CALLER TUNE anatengeneza msanii halafu haya makampuni kuna wakati yanaWACHAJI wateja wao kwa hizo CALLER TUNE bila ya ridhaa zao(consent) na kuendelea "kupiga" ilihali mwenye hatimiliki ya CALLER TUNE hajalipwa CHOCHOTE...

Ok
 
Makampuni ya simu huwa hayaingia mkataba na mtu(yaani msanii mwenyewe) bali huingia mkataba na kampuni (ambayo husimamia kazi za msanii). Na hicho ndicho Tigo walichokisema kwenye hii kesi. Tigo wanasema zile ringtones waliuziwa na kampuni ya Cellulant Tanzania Limited.

Walichokifanya wakina AY& FA ni kuwashtaki Tigo badala ya kuishtaki kampuni iliyoipa Tigo haki ya hizo ringtones. Na hili halikufanywa kwa bahati mbaya, AY&FA walijua kuishtaki ile kampuni iliyoingia mkataba na Tigo wangeweza kushinda kirahisi (ikiwa kweli hiyo kampuni hawakuiangia nao mkataba) lakini wasingeambulia hata senti tano (haiwezi kuwa na hiyo pesa), lakini kuishtaki Tigo wangelipwa tu pesa hata kama sio zote wanazozidai (maana wangeweza kuitwa haraka chemba ili kupozwa na kuifuta kesi. Why? Tigo ingetaka kulinda reputation yake kwenye jamii).

Yote kwa yote, huu ni mchezo wa mawakili kupiga pesa za makampuni. AY&FA huenda wametumika tu kama platform ya wanasheria wajanja kuvuta mpunga. Sasa deal likienda mrama, FA&AY wataangushiwa jumba bovu.

Kiujumla hii kesi naona mbichi sana, kuna mengi nyuma ya Pazia huenda tutayajua.

Kwa vyovyote vile, Tigo hawatakubali kirahisi kukubali kushindwa katika hii kesi, maana Tigo wakikubali kuwalipa wakina AY&FA tu, basi huenda msururu wa wasanii wa Bongo flavour kuwashtaki Tigo ukaongezeka, maana hata wao nao nyimbo zao zimetumika kama ringtones kwenye miito ya Tigo.
Mkuu, hawa kina AY na FA walishinda ile kesi na walishalipwa.

Ila najiuliza ilikuwaje wakalipwa haraka wakati kulikuwa na uwezekano wa Tigo kukata rufaa?,
Na kwanini imewachukua muda mrefu sana kukata rufaa?

Huenda kuna mchezo ulichezwa na raia wakalamba pesa ila hawa kina AY na FA walitumika tu (nimewaza tu).
 
😂😂 Ama kweli roho zinatofautiana rangi mweeee!
Hio inaitwa roho ya kazi mkuu , kuna mwamba alikutana na malaika baada ya kutenda wema akaambiwa aombe chochote kile atapewa ila jamaa yake atapatiwa mara mbili ya kitu hicho alichoomba ,mwamba akaona akiomba utajili mchizi atamzidi akaona isiwe kesi akaomba tu ang'olewe jicho moja ili mchizi wake ang'olewe mawili
Hizi ndio roho zetu washikadau 😀
 
Hio inaitwa roho ya kazi mkuu , kuna mwamba alikutana na malaika baada ya kutenda wema akaambiwa aombe chochote kile atapewa ila jamaa yake atapatiwa mara mbili ya kitu hicho alichoomba ,mwamba akaona akiomba utajili mchizi atamzidi akaona isiwe kesi akaomba tu ang'olewe jicho moja ili mchizi wake ang'olewe mawili
Hizi ndio roho zetu washikadau 😀
🤣
 
Lakini hapa Mimi naona mwenye makosa Ni MAHAKAMA YA ILALA.
Sasa wakizirudisha hizo hela ndo itakuwa wameshindwa kesi?.
Mimi ndo maana masuala ya mahakama sitaki haha kuyafuatilia.
Niliachaga kesi njiani kwa ajili ya sarakasi zao.
Wewe jamaa umenichekesha sana na concerns zako. Ni kweli mambo ya mahakama kama huna uzoefu nayo yatakusumbua sana.

Kwa mfano kwenye hii kesi huwezi tena kubadilisha maamuzi wala muenendo, ila kwa mbaaali sana akina fa kama wataishia kupata hasara wangeweza kumshtaki mheshimiwa hakimu kwenye tume za maadili ya watumishi wa mahakama. Tena kwa mambo ya kinidhamu tu ila maamuzi yanabaki pale pale. Remedies zao zinabaki kuwa appeal, review labda na revision.
 
Hii kesi walishindwa tangu mwanzoni kabisa. Akaja Alberto Msando akanunua kesi wakacollude na mahakimu na watu wa Tigo kesi ikaisha wakavuta hela fasta yaliyoendelea mnajua. Nadhani watu wa Tigo walidelay kuappeal ili hela zilipwe wasepe zao, ukifuatilia unaweza kuta wote waliokuwa wanahusika upande wa Tigo walishatimua zao
Dah!..Ina maana hii kesi iligeuzwa dili ili wanaume wavute mpunga, Sasa kina FA wameangushiwa jumba bovu.

Kumbe Msando naye mtoto wa mjini..?
 
Back
Top Bottom