Mahakama yatengua hukumu ya kina Mwana-FA, AY na Kampuni ya tiGO

Mahakama yatengua hukumu ya kina Mwana-FA, AY na Kampuni ya tiGO

Hapa kuna mambo matatu ya kuzingatia,

Jambo la kwnza mpka mahakama inatoa hukumu je wakili WA tigo alikuwa hajui kama hiyo mahakama haina uwezo WA kusikiliza hiyo kesi?

Jambo la pili rufaa imekatwa nje ya muda ,kisheria walitakiwa waitwe washitaki wakae meza moja na washitakiwa, wale washitakiwa walete vielelezo kwann wamekata rufaa nje muda kuwe na sababu za msingi sana, kama mshakiwa alikuwa anaumwa na anatakiwa alete vielelozo vya ugonjwa aliokuwa anaumwa kama hoja zake hazina mashiko hapewi nafasi ya kukata rufaa nje ya muda ,

Jambo la tatu kila hakimu huukumu kutokana na hukumu Fulani za awal ndio maana mahakimu hata kama amehukumu sivyo hakuna wa kushitaki maana ukimuuliza kwann umehukumu hivi atakuletea kesi kama hiyo iliotokea ktk nchi fualani na hukumu ikawa hivyo, hakimu anaweza akashauliwa na wazee WA balaza juu ya kesi Fulani nae akahukumu kivingiiine

Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
 
Hapa kuna mambo matatu ya kuzingatia,

Jambo la kwnza mpka mahakama inatoa hukumu je wakili WA tigo alikuwa hajui kama hiyo mahakama haina uwezo WA kusikiliza hiyo kesi?

Jambo la pili rufaa imekatwa nje ya muda ,kisheria walitakiwa waitwe washitaki wakae meza moja na washitakiwa, wale washitakiwa walete vielelezo kwann wamekata rufaa nje muda kuwe na sababu za msingi sana, kama mshakiwa alikuwa anaumwa na anatakiwa alete vielelozo vya ugonjwa aliokuwa anaumwa kama hoja zake hazina mashiko hapewi nafasi ya kukata rufaa nje ya muda ,

Jambo la tatu kila hakimu huukumu kutokana na hukumu Fulani za awal ndio maana mahakimu hata kama amehukumu sivyo hakuna wa kushitaki maana ukimuuliza kwann umehukumu hivi atakuletea kesi kama hiyo iliotokea ktk nchi fualani na hukumu ikawa hivyo, hakimu anaweza akashauliwa na wazee WA balaza juu ya kesi Fulani nae akahukumu kivingiiine

Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
Mawakili wa Tigo sio vilaza ni Vichwa hasa
 
Kwahiyo mahakama haikujua kama haina uwezo wa kusikiliza kesi
 
Wakili wa kampuni ya Tigo, Rosan Mbwambo ameliambia Mwananchi kuwa atawaandikia barua wasanii hao kuwataka warejeshe fedha walizolipwa na mteja wake.

“Kama hawatafanya hivyo, tutafungua maombi ya utekelezaji ili tupate amri ya mahakama ya kukamata mali zao,” alisema wakili Mbwambo na kuongeza, “ikilazimu tutaiomba mahakama pia iamuru wafungwe.”
Gwiji Fyn By Falsafa na Mishahara wa Mbunge wote utakwisha kulipa deni la Bil 1 yeye kama yeye ,Ay naye Nyumba ya KALIFONYA inachukuliwa hahahaaa IMBOMBO NGAFU.
 
Huo mfano sidhani kama ni relevant mkuu...

Hivi kama Duka limesajiliwa kwa ajili ya kuuza TV,kisha mimi nikauziwa TV ya wizi kwenye hilo duka halali..ni mimi nitashtakiwa? na kuna remedy yeyote ya kulipa,je ni mimi ndo nitatakiwa kulipa?
Je mimi kama mteja nina wajibu wa kujiridhisha kuwa mali ninayouziwa kwenye duka lililosajilwa kama ni ya wizi au la zaidi ya kudai risiti?
Naona kama wako ni kwa mali mlizouziana kiholela huko mitaani.
Nyimbo huwa ina jina unique na mmiliki unique, in this case nyimbo ni ya Mwana Fa uniquely na ina jina la ‘usije mjini’, a unique name, hivyo hata mauziano kutoka kwa Mwana Fa kwenda kwa Cellulant kama yapo yatonyesha explicitly hizo unique details, huwezi kulinganisha na TV ambazo zinatengenezwa identical sets milioni 100 na kuuzwa duniani kote, hazina uniqueness, huo mfano wako haupo kabisa inline na hiki tunachozungumzia.
 
Hakimu hashitakiwi hata siku moja kwa maamuzi anoyatoa,hata yawe mabovu kiasi gani,labda kama unaweza kuprove rushwa.
Kosa la kusikiliza kesi wasio na uwezo nao ni la nani? Au si kosa hilo? Tueleze tujue...
 
mkuu ukimkamata mtu kauziwa gari lako kwa wizi utamtafuta aliyemuuzia ukamdai au utamdai yule uliyemkamata na gari yako
Exactly my point, hata mimi nimetolea mfano huo huo! anayekutwa na gari ndio unamuwajibisha, yeye sasa ndie akamtafute yule aliyemuuzia gari la wizi, sijui kwanini watu wanakuwa wazito kuelewa hili..!!
 
La mahakama...lakini swala la Hakimu kushitakiwa hilo halipo mkuu.
Kosa lazima liwe redeemed, lazima mtu/ taasisi ilipie hilo kosa, in this case, aliyefanya hilo kosa ni mahakama, sasa mahakama ishtakiwe? Au hakumu aliyeiwakilisha mahakama na kufanya maamuzi kwa niaba ya mahakama?
 
Nitamtafuta niliyemkamata na gari ... Then what if kukiwa na uthibitisho wa kisheria kwamba Tigo walinunua kisheria hizo nyimbo toka katika hiyo kampuni na kampuni hiyo iliuziwa kisheria hizo nyimbo na wasanii husika !??
Sasa Cellulant anawezaje kuuza kisheria kitu asichomiliki? 😂😂😂, we ni taahira? Mfano leo uje ukute nimeuza gari lako kisheria, yaani gari ni lako, hujanipa zawadi wala hujaniuzia, halafu naliuza kisheria?! 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂👏😂
 
Sasa Cellulant anawezaje kuuza kisheria kitu asichomiliki? 😂😂😂, we ni taahira? Mfano leo uje ukute nimeuza gari lako kisheria, yaani gari ni lako, hujanipa zawadi wala hujaniuzia, halafu naliuza kisheria?! 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂👏😂
Ni kweli, hapa tunataka kujadili hii ishu piece after piece kama blockchain technology, kwamba Cellulant anatakiwa aingie mkataba na wasanii, awalipe hao wasanii, then yeye akienda Tigo alipwe na hao tigo arudishe hela yake alowalipa jamaa pamoja na faida(kwasababu ndio mantiki ya biashara) na kama mkataba ni endelevu basi chain itakuwa hivyo hivyo.
 
Hakimu hashitakiwi hata siku moja kwa maamuzi anoyatoa,hata yawe mabovu kiasi gani,labda kama unaweza kuprove rushwa.
Na hatuongei kuhusu uamuzi aliofanya, tunaongelea kutoa maamuzi bila kuwa na jurisdiction, mfano, daktari hawezixkushtakiwa mgonjwa akifa kwenye operesheni ya ubongo, lakini tukigundua ulikuwa daktari wa meno na unapasua watu vichwa, hatuwezi kukuacha, nasema uongo?
 
Na hatuongei kuhusu uamuzi aliofanya, tunaongelea kutoa maamuzi bila kuwa na jurisdiction, mfano, daktari hawezixkushtakiwa mgonjwa akifa kwenye operesheni ya ubongo, lakini tukigundua ulikuwa daktari wa meno na unapasua watu vichwa, hatuwezi kukuacha, nasema uongo?
👏👏So much sense! kuna watu wana undugu na tigo humu 😹😹
 
N
Msando aliwahi kukamata Ac za tigo kabla ya rufaa,hii case kuna rushwa na mikono ya wakubwa...hakuna case ambayo haina rufaa tena kwenye hukumu ya mwanzo tu
Msando anamamlaka ya kukamata akaunti ya mtu bila kibali cha mahakama? Sasa nani kafanya kosa, Msando au Mahakama?
 
Kwanini hao TIGO wasingekwenda MAHAKAMANI kuzuia kukamatwa mali zao?!!!

Hiyo ni kesi...iweje UPANDE wa wakili Msando uwe ACTIVE na haraka kuliko huo upande wa walalamikiwa ilihali walikuwa na mawakili?!!!

Kwa hiyo huo upande mmoja ndio wana "CHEDA" sana za kuhonga kuliko hao "wengine" eee?!!
Exactly, kama walikata rufaa, hiyo ni hoja tosha ya kusitisha kwa muda utekelezaji wa hukumu, kwanini hawakwenda kuobject na mawakuli walikuwa nao??! 😂😂😂
 
Back
Top Bottom