Barikiwa mkuu,nimeelewa sasaUnapochukua hela ya wizi ama ela yoyote ambayo haina maelezo ya umeipataje ama ela yoyote ambayo ni nyingi kupita vyanzo vyako vya mapato na kuiingiza kwenye mzunguuko wa hela mfano kununua viwanja, ama kuziweka fedha bank n.k (hiyo ndio kutakatisha fedha na kiufupi kuifanya ela haramu kuwa halali).....kuhusu walifanyaje kwenye kutakatisha hizo fedha hapo sijui ngoja wajuzi wa mambo waje ila unaweza ukabofya kwenye link hapo chini;
Makosa 5 yanayowakabili Rais wa Simba Evans Aveva na Makamu wake G.N. Kaburu
Huyu ndo alikuwa target ya JIWE.Aligombana naye kipindi kile cha malori.Hanspope akishakaa jela zaidi ya miaka 10 kwa uhaini.Alitoka kwa msamaha wa rais,anarudi alikotoka.Z Hans Poppe ana hotel kubwa sana katikati ya jiji la Iringa, sijui ataihamisha vipi, labda aiuze. Yale Maroli ya mafuta nina muda cjayaona, cjui keshayahamisha!
Duu!ndio viongozi wa soka tulio nao TanzaniaKuonguza pesa zilizopatikana kwa njia isiyo halali katika matumizi ya kawaida ya pesa mfano,kutumia pesa ulizopata kwa kuuza madawa ya kulevya ukaziweka benki,ukanunulia gari ama nyumba au kulipa deni.Pia kulipia kitu chochote kwa kutumia pesa bandia.Hayo yoootee,ni kutakatisha pesa.Hawa walikuwa wanaiba pesa za Simba wanaingiza kwenye akaunti tofauti na ya Simba halafu wanazitoa kanafanya kuwa zao binafsi.
Ana roho Saba kama paka huyo,alihukumiwa maisha na bado akatoboa,wenzake karibu wote walishakufa,mdogo wake alivyotoka jela akatambaa Australia.duh baada ya kumkosa kwenye kuficha sukari
wamempa money laundering hamna cha dhamana ,kashapotea hanspope
Hanspope alishatiwa hatiani kwa uhaini na kufungwa.kama ni shida anazijua na baba yake alitandikwa risasi na majeshi ya Idd Amin .Alikuwa RPC wa Kagera.Haya maisha nimejifunza kitu kikubwa sana. Nikiwaonaga akina Hans Pope na mandinga yao wanapiga misele twn nasemaga kuna watu wamebarikiwa wanakula raha hivi why me. Kumbe mwenyezi Mungu ana makusudi na mm kunipa maisha yenye amani tele. ona sasa Hans Pope anaenda kukaa Lupango sijui mpaka lini
Ayaa! Kama ni kweli, Hans Hachomoki...Huyu ndo alikuwa target ya JIWE.Aligombana naye kipindi kile cha malori.Hanspope akishakaa jela zaidi ya miaka 10 kwa uhaini.Alitoka kwa msamaha wa rais,anarudi alikotoka.
[emoji13] [emoji13] [emoji13] na bado, yanga watapata tabu sanaBado Kichuya
unataka kusema na Mo nae anavutiwa pumzi??Simba yote itakuwa magereza