Mahakama yatupilia mbali mapingamizi ya utetezi, maelezo ya Mohamed Lingw'enya yapokelewa na Mahakama. Kesi kuu kuendelea Des. 15, 2021

Yaani...baada ya miyoo kutulia kwa mda, sasa miyoo mapgo yake wengi yanaenda kwa kasi hata Judge mwenyewe Pressure juu!!
 
Kama ni kweli Mbowe si GAIDI na watu wanamsingizia kwamba ni GAIDI basi watapata adhabu kubwa mno !! wajiepushe na hii kitu haraka sana, kuna adhabu ya KIFO yaja kwa wahusika wote kwani Mungu huwa hataniwi - Mzee wa Upako.
 
Mbowe si gaidi!
Wanapoteza rasilimali za umma kwa kesi isiyo na miguu wala kichwa.
 
Ifike wakati hizo "Court sessions" ziwe broadcasted live tu kama majirani zetu Kenya...ili majaji kama wanapora haki ya mtu Umma ujue.

Hata mambo ya kureport yanapotosha sana. Mahakama ilipaswa kuwa ndio chombo huru zaidi, na wazi zaidi kuliko mihimili mingine kwani ndiko sehem ya juu zaidi haki inapatikana.

KATIBA MPYA, KATIBA MPYA, KATIBA MPYA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…