econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Hata MTU amba
Hata mm nashangaa, kuna ushahid hupi wa kumkuta na hatia? Yaan kila kitu ni siasa na kulalamika kuwa wanaonewa numbe uongo tupu.
Kama ni uongo mbona amegoma kuja mahakamani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata MTU amba
Hata mm nashangaa, kuna ushahid hupi wa kumkuta na hatia? Yaan kila kitu ni siasa na kulalamika kuwa wanaonewa numbe uongo tupu.
Aliratibu ubakaji.Si wabakaji washahukumiwa
Kwani afande alibaka?
Wakiondoshwa kimyakimya mtajua?Watatolewa na nani?. Hiyo kashfa nani ataibeba. Labda wapambane mahakamani kukata Rufaa.
Wale wabakaji na wafiraji wataachiwa baada ya miaka 2.
Wakiondoshwa kimyakimya mtajua?
Tanzania nzima wanawajua sura zao mbona kama huna akili timamu iviSio rahisi.watakwenda kuishi wapi?utaratibu wa kumtoa mfungwa ukoje?
Si kila hukumu unatakiwa kuwepo. Ikiwa positive au negative kutokuwepo hakubadilishi maamuzKama ni uongo mbona amegoma kuja mahakamani?
Jibu hilo hapo: An accomplice to a crime is a person who becomes equally guilty in the crime of another by knowingly and voluntarily aiding in the committing of an offense.Si wabakaji washahukumiwa
Kwani afande alibaka?
Madekela ana mihemko sana na anapenda sana mitandao.Wakili smart ni kibatala.Yuko na utulivu wakutosha.Kuna huyo wakili Madeleka akiongea utadhani keshashinda kesi, mpaka anasema hakimu ashtakiwe. Aiseee tabu sana
This case is closedHabari picha ndio hiiView attachment 3128823
Nchini Afghanistan mambo kama ya Kenya hayapo kabisaAs it expected[emoji1787][emoji1787]
Kama afande katushinda, tutaweza kumfanyia impichment Rais au Makamu wa Rais endapo akienda ndivyo sivyo kama ilivyotokea Kenya??
ZinafanyikaHongera zake
Wanu au VanuKuna siku Wanu litamkuta tuone