BASI MIMI NA BABA YAKO HUYO UNAYEMUITA BABA YAKO NI WA KUFIKIA. ULIKUWA HUJUI SASA NAKUJUZA 😀 😀 😀 😀 😀we koma namzidi babako umri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
BASI MIMI NA BABA YAKO HUYO UNAYEMUITA BABA YAKO NI WA KUFIKIA. ULIKUWA HUJUI SASA NAKUJUZA 😀 😀 😀 😀 😀we koma namzidi babako umri
🥲BASI MIMI NA BABA YAKO HUYO UNAYEMUITA BABA YAKO NI WA KUFIKIA. ULIKUWA HUJUI SASA NAKUJUZA 😀 😀 😀 😀 😀
Ingependeza yeye pia kuvuna alichopanda maana kama kweli aliwatuma why notSi wabakaji washahukumiwa
Kwani afande alibaka?
Nenda mahakamani peleka ushahidiIngependeza yeye pia kuvuna alichopanda maana kama kweli aliwatuma why not
Ushahidi huo vipi? Ndio maana nimesema kama ni kweli!Nenda mahakamani peleka ushahidi
We unadhani mahakama unahukumu Kwa hisia za watu
Ukweli wa mahakamani ni ushahidi usio na shakaUshahidi huo vipi? Ndio maana nimesema kama ni kweli!
Sasa watapata vipi ushahidi ikiwa kesi imetupiliwa mbali?Ukweli wa mahakamani ni ushahidi usio na shaka
Peleka ushahidiSasa watapata vipi ushahidi ikiwa kesi imetupiliwa mbali?
Duuh "peleka ushahidi"Peleka ushahidi
Mahakama ipo wazi muda wote
Wameitupilia mbali maana ni mambo ya umbea na uzushi hakuna ushahidi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Atawapata vijana wengine wapumbavu, wakapige kitu cha jaiva.
AliwatumaSi wabakaji washahukumiwa
Kwani afande alibaka?
Hii nchi ina wenye nchiZile danadana tu ilitosha kabisa kutuonesha kwamba hii kesi 'inakufa yenyewe' muda sio mrefu.Hiyo ndio Tz bwana.