Mahakama yatupilia mbali ombi la Afande Fatma kusomewa mashtaka popote alipo

Mahakama yatupilia mbali ombi la Afande Fatma kusomewa mashtaka popote alipo

HAMKUMBUKI KILA MAIFIA MADA MKIANDIKA KUMHUSU WANAINDOA SHAME N U MEMBERS
 
M na contact 7 za hì forums toka noadhibiwe na wahuni kisa kutoa siry za wahuni toka sikuhooo wanakutana na chenchende hawajui namba zangu baafayahiizi
Fyiu
 
Kesi inayomkabili 'Afande' Fatma Kigondo, anayeshtakiwa kwa kuratibu ubakaji na ulawiti wa kundi dhidi ya binti wa Yombo, Dovya jijini Dar es Salaam, imeendelea Oktoba 18, 2024, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma.

Hakimu anayesikiliza kesi hiyo, Nyamburi Tungaraja, ametupilia mbali maombi ya upande wa mlalamikaji yaliyotaka mshtakiwa asomewe mashtaka popote alipo, akisema maombi hayo hayajakidhi vigezo vya kisheria.

Maamuzi hayo yamekuja baada ya Jumatano, Oktoba 16, 2024, upande wa mlalamikaji kuwasilisha ombi hilo, ambapo Hakimu Tungaraja aliahidi kupitia sheria kabla ya kutoa maamuzi ya kusaini au kutosaini hati ya mashtaka kama ilivyoombwa.

Kigondo, anayekabiliwa na kesi hiyo nzito, amekuwa akishindwa kufika mahakamani mara kadhaa kwa sababu zinazodaiwa kuwa za kiafya.
Pia, Soma:

kama huyu dogo ni wakili hii taaluma ya hovyo sana
 
Kesi inayomkabili 'Afande' Fatma Kigondo, anayeshtakiwa kwa kuratibu ubakaji na ulawiti wa kundi dhidi ya binti wa Yombo, Dovya jijini Dar es Salaam, imeendelea Oktoba 18, 2024, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma.

Hakimu anayesikiliza kesi hiyo, Nyamburi Tungaraja, ametupilia mbali maombi ya upande wa mlalamikaji yaliyotaka mshtakiwa asomewe mashtaka popote alipo, akisema maombi hayo hayajakidhi vigezo vya kisheria.

Maamuzi hayo yamekuja baada ya Jumatano, Oktoba 16, 2024, upande wa mlalamikaji kuwasilisha ombi hilo, ambapo Hakimu Tungaraja aliahidi kupitia sheria kabla ya kutoa maamuzi ya kusaini au kutosaini hati ya mashtaka kama ilivyoombwa.

Kigondo, anayekabiliwa na kesi hiyo nzito, amekuwa akishindwa kufika mahakamani mara kadhaa kwa sababu zinazodaiwa kuwa za kiafya.
Pia, Soma:

Hawajapigiwa simu?
 
Hii kesi Toka mwanzo..ilikuwa Hina haja hata yakufikishwa mahakaman kupoteza mda kesi ya kipuzi..Malaya mmoja aliyejipeleka kwa vidume kupigwa kolabo ndouje ulisumbue taifa lawatu m60+
 
Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma imetupilia mbali maombi ya upande wa Mlalamikaji aliyewasilisha pendekezo kuwa ‘Afande’ Fatma Kigondo anayeshtakiwa kuwatuma Vijana kumbaka na kumuingilia kinyume na maumbile kwa kundi Binti Mkazi wa Yombo, asomewe mashtaka popote alipo badala ya kufika Mahakamani ikidaiwa kuwa ni mgonjwa.

Wakili Aron Kishai aliyemwakilisha Wakili Peter Madeleka amesema Hakimu anayesikiliza shauri hilo, Nyamburi Tungaraja amesema maombi hayo hayajakidhi vigezo vya kisheria na kwamba haoni kosa la Mshtakiwa huku akitoa nafasi ya kukata rufaa kwa Walalamikaji kama hawajaridhika na uamuzi.

“October 16,2024 tulifika hapa na Hakimu wa Mahakama ya Wilaya alisema leo atatoa maamuzi ya kwamba Hakimu atoe maamuzi ya kwenda kumsomea mashtaka Afande popote alipo hata Hospitali lakini leo Hakimu ametupilia mbali maamuzi hayo akisema kifungu cha 128 hakijaonesha kosa alilolifanya Mshtakiwa”

Ikumbukwe October 16, 2024, upande wa Mlalamikaji uliwasilisha ombi hilo, ambapo Hakimu Tungaraja aliahidi kupitia sheria kabla ya kutoa maamuzi ya kusaini au kutosaini hati ya mashtaka kama ilivyoombwa. Credit : Millard ayo
 
Huyo AFANDE kiongozi wa genge la wabakaji na 'MAMA' yenu wote ni walewale, sielewi mnashangaa kitu gani hapo.
Hapo inamaani mfumo wote umebariki kitendo alichofanyiwa yule binti, Bongonyoso.
Acha maafande waendelee kuteka,kuua na 'kupoteza' rain kwani baraka za hayo zinatoka 'juu'.

Yaani kama haya maelezo au maelezo ya aina hii ndiyo utayapeleka mahakamani ili kumtia mtu hatiani, basi sahau.
 
Kumbe michepuko na wezi wa wanaume za Watu Wataendelea kufirwa na na kuliwa mitungo ( back and forward) ikitokea kukamatwa
Watakamwatwa wafiraji alowatuma atakuwa salama ?!
 
Back
Top Bottom