Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeasuu rudii kuna snoopy pambafu wanapambana kuhucj konyoTaarifa zaidi hizi hapa
Swali letu ni hili, Je Ubakaji ule ulikuwa na Baraka kutoka Juu, Kwanini?
kwenye ile clip sauti ilisikika ikisema AFANDE.ila alitajwa afande yupi?kwa jina?Afande aliingiaje kwenye sakata hili?
wewe ndio mshenzi, wacha vyombo vya dola vifanyekazi yakeKumbe mahakama zetu zinaweza kuwa za kishenzi namna hii? This is to the extreme. Huyu ksho unamkuta High court akiwa Judge!
kama huyu dogo ni wakili hii taaluma ya hovyo sanaKesi inayomkabili 'Afande' Fatma Kigondo, anayeshtakiwa kwa kuratibu ubakaji na ulawiti wa kundi dhidi ya binti wa Yombo, Dovya jijini Dar es Salaam, imeendelea Oktoba 18, 2024, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma.
Hakimu anayesikiliza kesi hiyo, Nyamburi Tungaraja, ametupilia mbali maombi ya upande wa mlalamikaji yaliyotaka mshtakiwa asomewe mashtaka popote alipo, akisema maombi hayo hayajakidhi vigezo vya kisheria.
Maamuzi hayo yamekuja baada ya Jumatano, Oktoba 16, 2024, upande wa mlalamikaji kuwasilisha ombi hilo, ambapo Hakimu Tungaraja aliahidi kupitia sheria kabla ya kutoa maamuzi ya kusaini au kutosaini hati ya mashtaka kama ilivyoombwa.
Kigondo, anayekabiliwa na kesi hiyo nzito, amekuwa akishindwa kufika mahakamani mara kadhaa kwa sababu zinazodaiwa kuwa za kiafya.
Pia, Soma:
- Wakili Kibatala: Nimemwambia Hakimu akasome Sheria vizuri kabla ya kufanya maamuzi ya Shitaka la Afande Fatma
- Wakili Madeleka acharuka 'Kesi ya Afande', ataka akamatwe kwa kukaidi kufika Mahakamani
- Madeleka aitupia lawama mahakama kesi ya Afande Fatma Kigondo anayekabiliwa na tuhuma za kuratibu ubakaji wa "Binti wa Yombo"
Hawajapigiwa simu?Kesi inayomkabili 'Afande' Fatma Kigondo, anayeshtakiwa kwa kuratibu ubakaji na ulawiti wa kundi dhidi ya binti wa Yombo, Dovya jijini Dar es Salaam, imeendelea Oktoba 18, 2024, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma.
Hakimu anayesikiliza kesi hiyo, Nyamburi Tungaraja, ametupilia mbali maombi ya upande wa mlalamikaji yaliyotaka mshtakiwa asomewe mashtaka popote alipo, akisema maombi hayo hayajakidhi vigezo vya kisheria.
Maamuzi hayo yamekuja baada ya Jumatano, Oktoba 16, 2024, upande wa mlalamikaji kuwasilisha ombi hilo, ambapo Hakimu Tungaraja aliahidi kupitia sheria kabla ya kutoa maamuzi ya kusaini au kutosaini hati ya mashtaka kama ilivyoombwa.
Kigondo, anayekabiliwa na kesi hiyo nzito, amekuwa akishindwa kufika mahakamani mara kadhaa kwa sababu zinazodaiwa kuwa za kiafya.
Pia, Soma:
- Wakili Kibatala: Nimemwambia Hakimu akasome Sheria vizuri kabla ya kufanya maamuzi ya Shitaka la Afande Fatma
- Wakili Madeleka acharuka 'Kesi ya Afande', ataka akamatwe kwa kukaidi kufika Mahakamani
- Madeleka aitupia lawama mahakama kesi ya Afande Fatma Kigondo anayekabiliwa na tuhuma za kuratibu ubakaji wa "Binti wa Yombo"
Huyo AFANDE kiongozi wa genge la wabakaji na 'MAMA' yenu wote ni walewale, sielewi mnashangaa kitu gani hapo.
Hapo inamaani mfumo wote umebariki kitendo alichofanyiwa yule binti, Bongonyoso.
Acha maafande waendelee kuteka,kuua na 'kupoteza' rain kwani baraka za hayo zinatoka 'juu'.
Utakuwa mke wa "afande" wewe si bure.Si wabakaji washahukumiwa
Kwani afande alibaka?
Aiding!!?Jibu hilo hapo: An accomplice to a crime is a person who becomes equally guilty in the crime of another by knowingly and voluntarily aiding in the committing of an offense.
muulize mama yako kama mimi ni Mshenzi satakupa jibu sawiawewe ndio mshenzi, wacha vyombo vya dola vifanyekazi yake
we koma namzidi babako umrimuulize mama yako kama mimi ni Mshenzi satakupa jibu sawia