Ramesses II
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 3,710
- 5,054
Wajaluo wote hamieni Tanzania. Huku sisi tumewawekea hadi kanda yenu maalum ya Rorya.Wajaluo hawatakiwi Kenya.. SIMPLE tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wajaluo wote hamieni Tanzania. Huku sisi tumewawekea hadi kanda yenu maalum ya Rorya.Wajaluo hawatakiwi Kenya.. SIMPLE tu
Wana haki kama ilivyo watu wengine mkuu. Miaka 78 kama mtu yuko vizuri kichwani na kiafya sidhani kama kuna tatizo. Mwenye miaka 50 anaweza kuwa rais mbaya kuliko mwenye miaka 78.Tunaongelea urais mkuu macho na sio maisha binafsi. Miaka 78 kuingia ikulu ni hadithi ile ile ya Trump huwa haitokei mara nyingi maishani.
Kisumu kuhusu Odinga n sekunde tuu huko walishasema Kama Rais sio Raila basi Ruto asikanyage Kisumu mana kitawaka sekunde tuuKisumu kimeshawaka
hakikaR.O. baba yake alishajiapiza kuwa yeye Raila hatakaa awe rais wa Kenya.. Ni kiapp chenye laana
Sure, agreedMahakama imempa Ruto urais hivyo hakuna tena rufaa kwa mamlaka za kibinadamu zilizopo.
Kenya ilikuwa imepongezwa na nchi nyingi sio Tanzania tu jinsi uchaguzi na kuhesabu kura kulivyoenda kwa uwazi siku za mwanzoMimi kama mkenya napongeza mahakama na IEBC, though I voted blue, system iliyo wekwa iko sawa, the blue supporters hawakujitokeza kwa wingi kupiga kura, pengine walidhani "deep state" itamsaidia Raila kupata ushindi, ila Uhuru did not interfere, aliacha mtu ashinde ama kushindwa kwa haki.., ila watanzania mtupongeze kwa kutengeneza a solid electoral system, hapa Ina maana mtu yeyote anaweza kuwania kiti chochote na kushinda ama kushindwa kihalali, hapa tumepiga hatua. Mimi kama team blue nakubali kushindwa, maisha yasonge mbele. Big up Kenya, we live to fight another day.
#TEAM-BLUE
#BABA-IS-A-HERO
#AZIMIO
#MAJIMBO-SYSTEM-IS-THE-BEST.
Hawana uthubutu huo. Rais ni wa wakenya wote. Siyo wa Ujaluoni. Kabila mmoja haiwezi kudemand kiongozi wanayemtaka wao badala wananchi wote.Kisumu kuhusu Odinga n sekunde tuu huko walishasema Kama Rais sio Raila basi Ruto asikanyage Kisumu mana kitawaka sekunde tuu