Kina mwakitobe [emoji1787][emoji1787] ata sijui limenitokea wapi hilo jina ivi kwani lipo ?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jumanne Mwakitobe....kaka tuheshimiane usilitaje bure jina langu
Kabisa hapa Davis kamdhulumu Nancy ..mdada alikuwa yuko vzr sana kichwani ..Mangi kaleta U mangi wake hapaMosha ili suala litamtafuna ngoja huyo mwanamke akate rufaa ,mwanamke alikuwa anajua biashara zake kwa miaka 20 na kitu ,ina maana kilichochumwa baada ya ndoa ni sehemu ya mali ya meke mume.
Ata Serikalini ukiwa mtumishi wa Umma ukaja Vunja Sheria ya Ajira yako ata kama umefanya kazi miaka 100. Ulipwi kitu na Jela juu. Huyu mama angeweza ata kumuua Davis kotokana na uchu wa Mali.... Wanaume wengi wanauwawa na wenza wao kisa mali , Zipo case nyingi tu za Wanawake kufoji hati za Viwanja/Nyumba wangali katika Ndoa halali. Huyu mama anastaili alichopata. Ni mwizi na MuuwajiMfanyabiashara Davis Mosha ameacha na mke wake wa ndoa aliyeishi naye kwa miaka 28 amekwenda kufoji nyaraka za kampuni hukumu imetolewa mke hajapewa urithi hata pini.
Masikini ya Mungu Huyu Mkewe ndiye alikuwa muhasibu wa kampuni zote za huyu mfanyabiashara kwa miaka 20.
Majaji wetu hukumu kama hizi ni za ukandamizaji, mawakili tunaomba msaidie kama hii hukumu ni halali na mahakama zetu zinatoa haki nimeona uonevu mtupu humu Pesa imenunua haki.
Je hii ni sawa?
View attachment 2912748View attachment 2912749View attachment 2912750View attachment 2912751View attachment 2912752View attachment 2912753View attachment 2912754View attachment 2912755View attachment 2912756View attachment 2912757View attachment 2912758View attachment 2912759View attachment 2912760View attachment 2912761View attachment 2912762View attachment 2912763View attachment 2912764View attachment 2912765View attachment 2912766View attachment 2912767View attachment 2912768
Hahahahaha...Davis ni brother wangu kitambo sana yeye na Nancy ..mara ya mwisho kumuona Davis ilikua ktk harusi ya Mtoto wa Ray MashauriKwenye ubora wako...๐
๐ก๐ถ๐น๐ถ๐ธ๐๐๐ฎ ๐ป๐ฎ๐ถ๐๐ฎ๐ณ๐๐๐ฎ ๐ฐ๐ผ๐บ๐บ๐ฒ๐ป๐ ๐ธ๐ฎ๐บ๐ฎ ๐ต๐ถ๐ถ๐ ๐ ๐ ,, ๐ต๐๐๐ ๐ป๐ถ ๐๐ฒ๐๐ฒ ๐ธ๐ฎ๐ฏ๐ถ๐๐ฎ, "๐๐ก๐ข๐ก๐ฌ๐ ๐ข๐จ๐ฆ"-- ๐๐ฆ๐๐ฌ๐๐๐จ๐๐๐๐๐ก๐ ๐น๐ฎ๐ธ๐ถ๐ป๐ถ ๐ป๐ฑ๐ผ ๐๐๐๐ต๐ฎ๐บ๐ท๐๐ฎ ๐๐ฎ๐๐ฎ ๐๐๐คHiyo nzuri.
Hawa upande wa pili wakiziona mali wanaanza kutamani talaka ili wapewe chao mapema.
Huyo mwanamke ni wewe, umenyooshwa.
Kuna mtangazaji Moja wa BBC alikua anaitwa hvoKina mwakitobe [emoji1787][emoji1787] ata sijui limenitokea wapi hilo jina ivi kwani lipo ?
๐Kuna mtangazaji Moja wa BBC alikua anaitwa hvo
Wanataka watafute wakiwa ndoani mkuu.Tatizo tamaa, wanawake wana tamaa sana aisee.
Kutafuta wenyewe hawataki hadi watafuniwe.
Hawa wapuuzi, Malaya , wasumbufu sana .๐ก๐ถ๐น๐ถ๐ธ๐๐๐ฎ ๐ป๐ฎ๐ถ๐๐ฎ๐ณ๐๐๐ฎ ๐ฐ๐ผ๐บ๐บ๐ฒ๐ป๐ ๐ธ๐ฎ๐บ๐ฎ ๐ต๐ถ๐ถ๐ ๐ ๐ ,, ๐ต๐๐๐ ๐ป๐ถ ๐๐ฒ๐๐ฒ ๐ธ๐ฎ๐ฏ๐ถ๐๐ฎ, "๐๐ก๐ข๐ก๐ฌ๐ ๐ข๐จ๐ฆ"-- ๐๐ฆ๐๐ฌ๐๐๐จ๐๐๐๐๐ก๐ ๐น๐ฎ๐ธ๐ถ๐ป๐ถ ๐ป๐ฑ๐ผ ๐๐๐๐ต๐ฎ๐บ๐ท๐๐ฎ ๐๐ฎ๐๐ฎ ๐๐๐ค
Mara chache Sana maana wanaoa washamba wenzaoHukumu mbele ya jaji. Unasema haipo sawa
Je wanaume maskini hawapati shida na wake zao ?
Sasa SI ashachukua mgao wake?? Halafu mbona Mali zake alixopata akiwa na Davis hamgaii Davis. Wanawake tuavhe ujinga.. hao wanaume ni watoto wetu tumewaxaa.. Leo unadhulumu mtoto wa mtu kisa we mkewe halafu kesho hiyo laana inampata mwanao wa kiume.. anafanywa vibaya kuliko ulivyomfanya mtoto wa mtu.Ulishawahi kuona mfanyakazi anakopa million 500 kwa dhamana ya kampuni ambayo yeye kama mfanyakazi?
Huyo mwanamke kafanya utapeli ila bado ni mke halali ,pia ana uhalali kweny mali hizo.
Hayo makelele mpaka kuachan ni juzi hapa walishaishi miaka 20 ya amani ,msiangalie makosa ...
Mke anahusika moja kwa kweny mali zilizochumwq baada ya ndoa ,kuna hatua kubwa Mosha kapiga kubishara akiwa ndani ya ndoa,mke moja kwa moja anahusika kweny mafanikio hayo hata kama angekuwa mama wa nyumbani.
Kama alichukua pesa zote hizo anahitaji mgawo wa nini? Pamoja na kuchukua mzigo wote huo unaweza Kuta sasa hivi Hana hata mia na pengine pesa yenyewe Kuna kiben ten kilikuwa kinahongwa.Utajiri wa davis mosha ni mkubwa sana.
Nazani wakati anafunga ndoa biashara zake alizitenganisha na ndoa yake.
Davis Mosha akili nyingi sana yule mwanayanga mzee wa lamborgin
Pia kampuni ya delina mosha ameimiliki kabla hajafunga ndoa.
Mosha ameanza biashara ya usafirishaji toka miaka ya 1980s mwishoni.
Pia mwanamke mwenyewe mwizi wa mali za mumewe.. ukisoma hukumu utaona wizi alioufanya
Alikua anafanya nini? Hapokei salamu?Ila ulikuwaga na nyodo enzi za TMT
wewe unajua mikataba walio wekeana kabla hajaanza hio kazi?Halafu utasikia wasio na akili wanamuita huyo mwanamke mdangaji. Mwanamke ameshiriki kwenye biashara zake miaka 20 sio mchezo, tena kitengo ambacho ni uti wa mgongo wa biashara.
Kuachana kupo lakini apewe stahiki zake.
Ila wewe๐!Leo nakupitia twendezetu lunchHahahahaha...Davis ni brother wangu kitambo sana yeye na Nancy ..mara ya mwisho kumuona Davis ilikua ktk harusi ya Mtoto wa Ray Mashauri
๐๐ฎ๐ธ๐ถ๐ธ๐ฎ ๐ฎ๐ฝ๐ฎ๐บ๐ฏ๐ฎ๐ป๐ฒ ๐ป๐ฎ ๐ต๐ฎ๐น๐ถ ๐๐ฎ๐ธ๐ฒ ๐๐ ๐Hawa wapuuzi, Malaya , wasumbufu sana .
Kakutana na mchaga mwenye akili
Ulikuwepo wakati anayanayaswa, Uliushuhudia huo unyanyasaji?Unaamini vipi kama alichosema ni kweli.
Mosha ni katili. Ametunga uongo mwingi na kwasababu anapesa mnaamini kila anachosema.
Na kama kweli mke ameiba mimi nampongeza maana amemnyanyasa sana dada wa watu.
Hahahahahaha...utanipitia huku ubena ? Ahsante kwa lunch..leo ni biriani au mandi ?Ila wewe๐!Leo nakupitia twendezetu lunch