DOKEZO Mahakama yavunja ndoa ya Davis Mosha na mkewe aliyeishi naye miaka 28, anyimwa mali. Mosha adai kuibiwa $ milioni 1.4 na jaribio la kupewa sumu

DOKEZO Mahakama yavunja ndoa ya Davis Mosha na mkewe aliyeishi naye miaka 28, anyimwa mali. Mosha adai kuibiwa $ milioni 1.4 na jaribio la kupewa sumu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mosha ili suala litamtafuna ngoja huyo mwanamke akate rufaa ,mwanamke alikuwa anajua biashara zake kwa miaka 20 na kitu ,ina maana kilichochumwa baada ya ndoa ni sehemu ya mali ya meke mume.
Kabisa hapa Davis kamdhulumu Nancy ..mdada alikuwa yuko vzr sana kichwani ..Mangi kaleta U mangi wake hapa
 
Mfanyabiashara Davis Mosha ameacha na mke wake wa ndoa aliyeishi naye kwa miaka 28 amekwenda kufoji nyaraka za kampuni hukumu imetolewa mke hajapewa urithi hata pini.

Masikini ya Mungu Huyu Mkewe ndiye alikuwa muhasibu wa kampuni zote za huyu mfanyabiashara kwa miaka 20.

Majaji wetu hukumu kama hizi ni za ukandamizaji, mawakili tunaomba msaidie kama hii hukumu ni halali na mahakama zetu zinatoa haki nimeona uonevu mtupu humu Pesa imenunua haki.

Je hii ni sawa?

View attachment 2912748View attachment 2912749View attachment 2912750View attachment 2912751View attachment 2912752View attachment 2912753View attachment 2912754View attachment 2912755View attachment 2912756View attachment 2912757View attachment 2912758View attachment 2912759View attachment 2912760View attachment 2912761View attachment 2912762View attachment 2912763View attachment 2912764View attachment 2912765View attachment 2912766View attachment 2912767View attachment 2912768
Ata Serikalini ukiwa mtumishi wa Umma ukaja Vunja Sheria ya Ajira yako ata kama umefanya kazi miaka 100. Ulipwi kitu na Jela juu. Huyu mama angeweza ata kumuua Davis kotokana na uchu wa Mali.... Wanaume wengi wanauwawa na wenza wao kisa mali , Zipo case nyingi tu za Wanawake kufoji hati za Viwanja/Nyumba wangali katika Ndoa halali. Huyu mama anastaili alichopata. Ni mwizi na Muuwaji
 
Hiyo nzuri.
Hawa upande wa pili wakiziona mali wanaanza kutamani talaka ili wapewe chao mapema.
Huyo mwanamke ni wewe, umenyooshwa.
𝗡𝗶𝗹𝗶𝗸𝘂𝘄𝗮 𝗻𝗮𝗶𝘁𝗮𝗳𝘂𝘁𝗮 𝗰𝗼𝗺𝗺𝗲𝗻𝘁 𝗸𝗮𝗺𝗮 𝗵𝗶𝗶😅😅😅,, 𝗵𝘂𝘆𝘂 𝗻𝗶 𝘆𝗲𝘆𝗲 𝗸𝗮𝗯𝗶𝘀𝗮, "𝗔𝗡𝗢𝗡𝗬𝗠𝗢𝗨𝗦"-- 𝗔𝗦𝗜𝗬𝗘𝗝𝗨𝗟𝗜𝗞𝗔𝗡𝗔 𝗹𝗮𝗸𝗶𝗻𝗶 𝗻𝗱𝗼 𝘁𝘂𝘀𝗵𝗮𝗺𝗷𝘂𝗮 𝘀𝗮𝘀𝗮 😃😃🤗
 
𝗡𝗶𝗹𝗶𝗸𝘂𝘄𝗮 𝗻𝗮𝗶𝘁𝗮𝗳𝘂𝘁𝗮 𝗰𝗼𝗺𝗺𝗲𝗻𝘁 𝗸𝗮𝗺𝗮 𝗵𝗶𝗶😅😅😅,, 𝗵𝘂𝘆𝘂 𝗻𝗶 𝘆𝗲𝘆𝗲 𝗸𝗮𝗯𝗶𝘀𝗮, "𝗔𝗡𝗢𝗡𝗬𝗠𝗢𝗨𝗦"-- 𝗔𝗦𝗜𝗬𝗘𝗝𝗨𝗟𝗜𝗞𝗔𝗡𝗔 𝗹𝗮𝗸𝗶𝗻𝗶 𝗻𝗱𝗼 𝘁𝘂𝘀𝗵𝗮𝗺𝗷𝘂𝗮 𝘀𝗮𝘀𝗮 😃😃🤗
Hawa wapuuzi, Malaya , wasumbufu sana .
Kakutana na mchaga mwenye akili
 
Ulishawahi kuona mfanyakazi anakopa million 500 kwa dhamana ya kampuni ambayo yeye kama mfanyakazi?

Huyo mwanamke kafanya utapeli ila bado ni mke halali ,pia ana uhalali kweny mali hizo.


Hayo makelele mpaka kuachan ni juzi hapa walishaishi miaka 20 ya amani ,msiangalie makosa ...

Mke anahusika moja kwa kweny mali zilizochumwq baada ya ndoa ,kuna hatua kubwa Mosha kapiga kubishara akiwa ndani ya ndoa,mke moja kwa moja anahusika kweny mafanikio hayo hata kama angekuwa mama wa nyumbani.
Sasa SI ashachukua mgao wake?? Halafu mbona Mali zake alixopata akiwa na Davis hamgaii Davis. Wanawake tuavhe ujinga.. hao wanaume ni watoto wetu tumewaxaa.. Leo unadhulumu mtoto wa mtu kisa we mkewe halafu kesho hiyo laana inampata mwanao wa kiume.. anafanywa vibaya kuliko ulivyomfanya mtoto wa mtu.

Davis ukome, uliona wadada wa kichaga hawafai.. wakati mchaga angelinda Mali ya mumewe... Halafu bado hukomi unarukaruka na kile limalaya Huku chuga... Temana na kile lidemu.. tafuta demu wa kichaga mwenye maakilo yake... Kile na chenyewe ni stress ingine, usikape mamlaka.

HUJUI JINSI WACHAGA TUNAKUANGALIA NA WEWE NI NEMBO YETU.. UKIJICHANGANYA NA UKIPATA SHIDA TUNAUMIA SANA
 
Utajiri wa davis mosha ni mkubwa sana.

Nazani wakati anafunga ndoa biashara zake alizitenganisha na ndoa yake.

Davis Mosha akili nyingi sana yule mwanayanga mzee wa lamborgin

Pia kampuni ya delina mosha ameimiliki kabla hajafunga ndoa.

Mosha ameanza biashara ya usafirishaji toka miaka ya 1980s mwishoni.

Pia mwanamke mwenyewe mwizi wa mali za mumewe.. ukisoma hukumu utaona wizi alioufanya
Kama alichukua pesa zote hizo anahitaji mgawo wa nini? Pamoja na kuchukua mzigo wote huo unaweza Kuta sasa hivi Hana hata mia na pengine pesa yenyewe Kuna kiben ten kilikuwa kinahongwa.
 
Halafu utasikia wasio na akili wanamuita huyo mwanamke mdangaji. Mwanamke ameshiriki kwenye biashara zake miaka 20 sio mchezo, tena kitengo ambacho ni uti wa mgongo wa biashara.

Kuachana kupo lakini apewe stahiki zake.
wewe unajua mikataba walio wekeana kabla hajaanza hio kazi?
kama walikubaliana afanye kazi kama kibarua tu na analipwa mshahara mwisho wamwezi kama wafanyakazi wengine?

au unahisi huyo jamaa anaakili zamakamasi kama zako?kwamba unamuoa mke from no where unamwambia hii kampuni niyetu kuwa meneja hapa🤣🤣🤣unahisi hakujua kua iposiku tunaweza kukorofishana na kama hakuna mikataba tutasumbuana?

eti apewe stahiki zake stahiki gani?alikuja nachupi atarudi nachupizake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Unaamini vipi kama alichosema ni kweli.

Mosha ni katili. Ametunga uongo mwingi na kwasababu anapesa mnaamini kila anachosema.

Na kama kweli mke ameiba mimi nampongeza maana amemnyanyasa sana dada wa watu.
Ulikuwepo wakati anayanayaswa, Uliushuhudia huo unyanyasaji?

Unapogeza mtu kuiba mali za familia?
 
Back
Top Bottom