DOKEZO Mahakama yavunja ndoa ya Davis Mosha na mkewe aliyeishi naye miaka 28, anyimwa mali. Mosha adai kuibiwa $ milioni 1.4 na jaribio la kupewa sumu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Na ubunge usahau kwenda kugombea mwaka 2025 huko Kilimanjaro
 
Wachaga hata Mengi walimshinda hawafai kabisa kweny mali.
 
Kataa ndoa kwa harakaharaka mwanamke alikua mwizi, malaya, muuaji na mshirikina kama mahakama imeona hivyo na mama kashindwa kujitetea Mungu amsaidie kwenye safari yake mpya
 
Halafu utasikia wasio na akili wanamuita huyo mwanamke mdangaji. Mwanamke ameshiriki kwenye biashara zake miaka 20 sio mchezo, tena kitengo ambacho ni uti wa mgongo wa biashara.

Kuachana kupo lakini apewe stahiki zake.
Ndio maana sitaki kuhusika kabisa kwenye biashara na mwenza. Labda aniajiri tu
 
Ana tamaa kali halafu akili kidogo ndio shida

Angetulia tu maana mwisho wa siku mali zote hua ni za mwanamke na watoto regardless

Yaani kaiba kijinga sana na evidence zipo ndio maana kashindwa cha kujibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…