DOKEZO Mahakama yavunja ndoa ya Davis Mosha na mkewe aliyeishi naye miaka 28, anyimwa mali. Mosha adai kuibiwa $ milioni 1.4 na jaribio la kupewa sumu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Moja ya dhaifu lililomshinda mwamba ni kutaka kuuliwa na mkewe
 
Licha ya kulipwa alikuwa ni mke, kulipwa ni haki yake kupata huduma kama mke pia alikuwa anapata ..

Kwa sheria za Tz ana haki kama mke ,sehemu ya mali za mumewe kipind chote cha ndoa zinahesabika kama wamechuka wote
Sheria inataka aonyeshe mchango wake ni upi katika kuchuma hizo mali, mchango wake ni upi sasa?
 
Wanawake wa sikuhizi ni wauwaji na wamekuwa chanzo cha vifo kwa wanaume.Hapo kilichofanyika ni sahihi,wanawake wa kaskazini ni kaa la moto mda wowote anaweza kukumaliza ili arithi mali.Iwe fundisho na wanaume tuweni makini sana na hawa viumbe kwani mstari unaotenganisha upendo na chuki kwenye ndoa ni mdogo sana wengi wanaishi kinafaki.
 
Agiza Balimi Kaka ntalipa mimi..wakupe baridiiiii..Haya manamake majizi ni mengi sanaa..Wanaume tuunganee haya majitu yana ushetani na sisi tudai haki...imetoshaaa
 
utafanya wadogo zangu wasiolewe. watoe wameru hapo.
 
Familia ya Reginald Mengi ifanye private investigation ya kifo chake Dubai.
Nadhani Familia inajua kila kitu ndio maana wamempiga yule mdangaji nyundo za kufa mtu kule mahakamani. Sasahivi kwenda Dubai ni mara moja kwa mwaka, ni basi tu wale watoto bado ni wadogo wameshindwa kuwachukua. Benjamin ni mafia kweli kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…