DOKEZO Mahakama yavunja ndoa ya Davis Mosha na mkewe aliyeishi naye miaka 28, anyimwa mali. Mosha adai kuibiwa $ milioni 1.4 na jaribio la kupewa sumu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
mi sio mtaalamu wa jadi ila kuvunjika kwa hio ndoa kisababishi lazma kitakuwa infidelity issues tu.
 
We ni mjinga
 
Mahakama inatoa hukumu kwa hearsay bila vithibitisho taaluma ya sheria wengi hamna ila mmetumia mihemuko kujibu hii ngoma ngumu sana.
Mimi ni mwanamke ila nakuhakikishia siku ukioa mwanamke mwenye tamaa ndo utakumbuka maneno yangu. David anaishi maisha magumu kila siku kutegewa sumu. Wewe hujui endelea kuamini hivyo unavyo amini
 
Yote hayo unayoyasema hayana maana katika hili shauri la haki ya mtalaka. Kama alikiri kuwa alitaka kumuua angeshitakiwa kwa kosa la attempted murder. Lakini kama hajawahi kupatikana na hatia mahakamani kuhusu tuhuma hizo zinabakia tuhuma tu. Masuala ya ufuska na yenyewe nafasi yake ni katika talaka na sio katika mgao wa mali. Kuwa na majina mengi sio kosa la jinai. Kama haijawahi kuthibitishwa mahakamani kuwa aliibia kampuni hizo nazo zinabaki tuhuma tuu na hakimu hakupaswa kuzitilia maanani katika kugawa asset. Na hata kama aliwahi kusema kuwa hazitaki hizo mali ulikuwa bado ni wajibu wa hakimu kuangalia tu sheria inampa haki gani mtalaka na sio vinginevyo.

Hii hukumu ilivyoandikwa inaonekana kuwa ilikuwa vindictive yenye nia ya kumkomesha Nancy kwa sababu tu mwanaume mwenzake amelia kuwa amesalitiwa na kuibiwa katika ndoa! Ni hukumu ya ovyo sana. Na imeandikwa kwa kiingereza kibovu mno.

Sitashangaa kama itawekwa pembeni kama huyu mwanamke atakata rufaa.

Amandla...
 
Mimi ni mwanamke ila nakuhakikishia siku ukioa mwanamke mwenye tamaa ndo utakumbuka maneno yangu. David anaishi maisha magumu kila siku kutegewa sumu. Wewe hujui endelea kuamini hivyo unavyo amini
Kama ana ushahidi kuwa huyu mwanamke anataka kumuua kwa nini hamshitaki polisi ili afunguliwe mashtaka ya kukusudia kuua?

Amandla...
 
Ndoa zina mengi sana. Imagine mkeo ana kiserengeti boy kinamgeuza. Utaweza vumilia kweli ?

Mandela alieweza wasamehe makaburu waliomfunga jela miaka 40. Ila alishindwa msamehe mke wake winnie mandela
Dawa ni kumuacha pale tu unapogundua kuwa anasaliti ndoa yako. Ukikaa miaka 28 unaangalia tu na kulalamika itaonekana labda pengine mna open marriage ambapo kila mmoja ni ruksa kuchepuka. Mandela alipogundua kuwa Winnie anaendelea kuwa na mahusiano nje ya ndoa yao hata baada ya kutoka kifungoni, alimtema pale pale. Hakusubiri miaka 20 ipite.

Aidha, siamini katika mazingira hayo mume nae hakuwa na kimpango ka kando.

Amandla...
 
Yote hayo unayoyasema hayana maana katika hili shauri la haki ya mtalaka. Kama alikiri kuwa alitaka kumuua angeshitakiwa kwa kosa la attempted murder. Lakini kama hajawahi kupatikana na hatia mahakamani kuhusu tuhuma hizo zinabakia tuhuma tu. Masuala ya ufuska na yenyewe nafasi yake ni katika talaka na sio katika mgao wa mali. Kuwa na majina mengi sio kosa la jinai. Kama haijawahi kuthibitishwa mahakamani kuwa aliibia kampuni hizo nazo zinabaki tuhuma tuu na hakimu hakupaswa kuzitilia maanani katika kugawa asset. Na hata kama aliwahi kusema kuwa hazitaki hizo mali ulikuwa bado ni wajibu wa hakimu kuangalia tu sheria inampa haki gani mtalaka na sio vinginevyo.

Hii hukumu ilivyoandikwa inaonekana kuwa ilikuwa vindictive yenye nia ya kumkomesha Nancy kwa sababu tu mwanaume mwenzake amelia kuwa amesalitiwa na kuibiwa katika ndoa! Ni hukumu ya ovyo sana. Na imeandikwa kwa kiingereza kibovu mno.

Sitashangaa kama itawekwa pembeni kama huyu mwanamke atakata rufaa.

Amandla...
 
Kumbe ndo Nancy kakudanganya, kwa kifupi achana na Mambo ya ufuska na majina, Lakini Ushahidi wa wizi upo, Ushahidi wa kutaka kuua kwa ajili ya Mali upo na mahakama haiwezi amua bila Ushahidi, Mahakama ilijiridhisha wizi, ilijiridhisha kwa kila Ushahidi na ndo Maana Nancy alishindwa vibaya, vibaya.
Masuala ya kingereza Kibaha na umekielewa hicho kingereza kwa tafsiri ya yaliyoandikwa nawe umepangwa vibaya na Nancy.
Ungemuuliza mteja wako kwa Nini Alishindwa?kwa Nini Alikimbia kwake?
 

Safi kabisa wanawake siku hizi wanajengwa na kiburi sana hasa akkuona una mali ww mumeo kakuamini miaka 20 wewe ni muhasibu unataka nn acha apate alicho stahili
 
Mahakama inatoa hukumu kwa hearsay bila vithibitisho taaluma ya sheria wengi hamna ila mmetumia mihemuko kujibu hii ngoma ngumu sana.
Ushahidi woote ulienda Mahakama, kwa Hiyo ulitaka hapo Kwenye hukumu waatach makaratasi ya ushahidi, kwa Hiyo kila Kesi Ushahidi unabandikwa, nikuhakikishie Mwanasheria na wanasheria wa Nancy waliona Ushahidi woote wa wizi, Meseji za kutaka kuua kutoka kwenye namba yake ya Airtel na yeye kukiri kukimbia Nyumba yake kwa Tamaa za mali.
 
Ndoa sio ajira....wanawake fanyeni kazi mzalishe mali. Ku*ma sio tiketi ya utajiri.

Najua kuna watakaosema mwanamke ana mchango katika kutafuta hela za Mosha. Basi atumie mchango huo kutafuta za kwake mwenyewe kama kweli huo 'mchango' anao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…