FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
At the same time mnatukana wanawaje wanaofanya kazi kuwa hawataki kulea watoto wao. Smh
Chunguza, wanaotukanwa ni wale wanaofanya kazi ya mshahara wa laki 4 halafu anampiga mumewe vibomu vya nauli ya kuendea kazini na pesa ya kula kazini inayofika hadi laki 6 kwa mwezi, hao ni wa kutukana kabisa..At the same time mnatukana wanawaje wanaofanya kazi kuwa hawataki kulea watoto wao. Smh
Wewe unamuonaje? Unadhani umri ule kukosa dudu la kulala nalo kichwani atakuwa Sawa?hivi Fatma ana stress?
huwa namuona tu kama feminist fulani hivi. Dr Matola PhDWewe unamuonaje? Unadhani umri ule kukosa dudu la kulala nalo kichwani atakuwa Sawa?
Hakuna cha ugumu mme ulio mpenda unamuwekea sumu kwenye chakula? Mimi sinaga tamaa ikitokea mme wangu akanishinda wala sitompeleka mahakamani wala kudai chochote nitaondoka na begi langu akitaka kunipa atanipa atakacho ona nastahili, ķwetu nakula na kunywa bila kutumia jasho afu nina mikono miwili nafanya kazi maisha yanaendelea.
Siwezi muwekea sumu mtoto wa watu kisa mali. Mali kitu gani? Duniani tunatafuta furaha mali tutaziacha kwa nini nibebe dhambi zisizo kuwa za lazima.?
Narudia tena hata mwanaume anitendee unyama gani simuwekei sumu nitaondoka nimwache.
Hivi watu hamnaga huruma? Tusema mfano umemuwekea sumu mme kafa kweli mme ulie lala nae kitanda kimoja akifa kisa sumu ulimuwekea kwenye chakula, saa wanamzika wanashusha jeneza unajisikiaje?
Hapa duniani nitatenda dhambi zote ila sitoshiriki dhambi ya kuua au jaribio la kuua.
Nakuelewa.Hakuna mtu mwenye pesa anaweza kuvumilia shida. Kama hauna pesa hauwezi kuelewa hii kauli. Dada yangu kama unataka unyenyekewe kwenye ndoa kama malaika. Tafuta mume masikini na umhudumie kila kitu umpe mpaka hela ya bia. Na kuahidi hata ndugu zake watakutetea ukikosea. Tatizo wanawake wengi mnachukulia uzuri wenu una thamani. Thamani ya binadamu yeyote duniani ni kiasi cha disposable income anachokimkliki. Mwanamke kama hauna hela kubali kuwa mnyonge. Usishindane na mumeo kwa kumkomoa. Wewe na mumeo ni vitu viwili tofauti. Yeye ndio anakuhudumia kila kitu. Na uwezo wake wa kukuhudumia ndio unaosababisha wanawake wenzako wamsumbue. Maisha yana sheria zake. Maisha ni kuchagua nimeshaelezea hapo juu uchague kutokana na maisha unayotaka. Sikubaliani na mwanaume anaetembea na mahawara huku hatimizi majukumu yake kama mume.
Bado haujapitia shida kama hauoni umuhimu wa hela. Utu unatumika kama kigezo cha kuwakamua na kuwatawala masikini. Sijaweka negativity kwenye ndoa nimesema ndoa unachagua wewe mwenyewe.Tajiri hana muda wa kumnanga mke. Narudia tena kwa mara ya tatu "Hakuna mtu mwenye hela anaeweza kuvumilia shida". Wewe kama unataka kuishi kama kwenye movie tafuta masikini mwenzako. Mlishane ugali bamia kwenye mkeka. Lakini unataka uwe na mume tajiri, akununulie gari na kukuhudumia kubali kujishusha. Wanawake wenzako wanaona kabisa huyu jamaa ana mke na anaweza kumhudumia mke halafu na wewe unaleta kiburi. Hakuna mwanaume tajiri wa kwako peke yako. Kama mwanamke mzuri anavyotongozwa kila kukicha vivyo hivyo mwanaume tajiri anasumbuliwa kila kukicha. Kwa dunia ya leo unategemea kabisa mumeo ambaye amekuzidi hela na anakuhudumia kila kitu aishi unavyotaka 😂 😂 😂 😂 are you serious ? Mume anakuhudumia na anawaheshimu wakwe zake na mashemeji halafu unalia kisa ana kimada.
Hakuna mwanaume mwenye hela ambaze ni mwaminifu kwa mwanamke mmoja. Watu wanatumiwa picha ya uchi na mashemeji zao kisa hela. Mwanaume mwenye hela anapitia vishawishi vingi sana ndio maana hawawezi kutulia na mwanamke mmoja. Naona bado ni mdogo na maisha bado haujayatambua. Unang'ang'ania viapo wakati mapadri, masheikh na wachungaji wanatulia mbele ya hela. Amka dada yangu ukitaka kuishi maisha ya muvi kutukuzwa kazana na shule uajiriwe kama kina Jokate. Maana maisha ya leo binti ukiwa na shule kidogo rahisi kutoboa. Kamwe Tajiri anakomolewa na tajiri mwenzake. Muheshimu sana mtu mwenye "disposible income". Maana wakati wewe unahangaika kutafuta hela yeye ana uwezo wa kutoa hela na asipungukiwe. Nancy anashindana na mtu aliyetoa mil 400 kanisani utamwambia nini mchungaji akusikilize, Are you seruíous ? Wanawake amkeni ukiolewa na mtu anaeweza kukuhudumia na jishushe na jifanye mjinga focus na familia yako wewe mume na watoto. Yasiyokuhusu achana nayo, kuna wanawwake walishindana na waume zao wameachika hauwezi kuamini. Wanawake hamjui mnachotaka narudia ndoa ya mtu mwenye hela inabidi ujishushe tena sana. Hio haki sawa huku Ulaya ipo kwa masikini ambapo unakuta mke na mume wote wanafanya kazi wanagawana majukumu yote kuanzia bill za umeme maji n.k hii ndoa unaiweza dada yangu ?
Hiyo ni sheria ya mirathi.
Sio sheria ya talaka.
Talaka na mirathi ni vitu viwili tofauti kabisa mkuu.
Mke ni mmiliki wa mali za mume pale Mumewe akifariki halikadhalika na mume ni mmiliki wa mali za mkewe pale mke anapofariki.
Lakini linapokuja suala la talaka. Hali huwa tofauti. Kila mmoja anataja alichochuma na alichomiliki. Hiyo ndio HAKI.
Hili andiko la hii hukumu limekaa sawa kweli embu ngoja nianze upya tena kusoma
Unadhani mahakama haijajiridhisha vizuri? Listen, saivi watu wanakuwa ni shareholder kwenye makampuni wanayoyamiliki na wanakuwa na share ndogo sana au hawana kabisa rather anakuwa ni advisor wa kampuni anayomiliki. So ukimtafuta kisheria mali anazomiliki humpati. What if Devis mosha anamiliki 1% ya mali zake zote tunazozijua Au ni mshauri wa kiuchumi wa kampuni tunazohisi anazimiliki. Watagawana nini?Mosha ili suala litamtafuna ngoja huyo mwanamke akate rufaa ,mwanamke alikuwa anajua biashara zake kwa miaka 20 na kitu ,ina maana kilichochumwa baada ya ndoa ni sehemu ya mali ya meke mume.
Sio uhakika tu na Ushahidi juuMkuu una uhakika na hili ilicho andika...!?
ungekuwa mwanasheria ungeelewa nilichoandika ndio , UK statutes, statutes of equity can only be applied up to 1895 past that statutes of limitations kicks in , in modern times Tanzania imedevelop jurisprudence in many issues including divorce proceedings , you're wasting time reading defective UK laws that lack locus standi huku labda persuasive not binding .Umesoma lakini haujaelimika. Hizo sheria nilizo zi quote nimezitoa leo kwenye website za matrimonial law firms za UK. Hapa hatuzungumzii mke anayefanya kazi katika kampuni ya kampuni. Tunazungumzia mwanamke aliyeolewa period. Hizi haki za msingi haziondolewi na status yake ya kuwa employee. Unless uniambie alikuwa analipwa mshahara ili atoe huduma za mke.
Hizo unazoita attack points ( alikuwa malaya, alijaribu kumuua mume wake, alikuwa anamuibia mume wake n.k.) hazihusiki katika mgawanyo wa matrimonial assets. Sehemu yake ni katika kujenga hoja ya kuvunja ndoa. Ati statute of limitations katika haki ya aliyekuwa katika ndoa. Kweli mnatuona wajinga sana!
Amandla...
Baada ya kusoma ulichoandika ninashukuru kuwa mimi sio mwanasheria.ungekuwa mwanasheria ungeelewa nilichoandika ndio , UK statutes, statutes of equity can only be applied up to 1895 past that statutes of limitations kicks in , in modern times Tanzania imedevelop jurisprudence in many issues including divorce proceedings , you're wasting time reading defective UK laws that lack locus standi huku labda persuasive not binding .
Pitia hyo kesi soma the judges obiter na ratio descendidi uelewe the judge's logic
Amuulize ya K-lynn Kwa Mengi, mwanamke alijua Mengi anamiliki makampuni yote kwa asilimia 100 kumbe alishagawana yeye mkewe na watoto.Unadhani mahakama haijajiridhisha vizuri? Listen, saivi watu wanakuwa ni shareholder kwenye makampuni wanayoyamiliki na wanakuwa na share ndogo sana au hawana kabisa rather anakuwa ni advisor wa kampuni anayomiliki. So ukimtafuta kisheria mali anazomiliki humpati. What if Devis mosha anamiliki 1% ya mali zake zote tunazozijua Au ni mshauri wa kiuchumi wa kampuni tunazohisi anazimiliki. Watagawana nini?
Huyo mwanamke Davis aliyemuoa kwani ni mchaga? Tena mswahili mndengereko kizuri alibadili dini na kuwa mkristo Yesu atamsamehe. Wewe nimsenge jinga kabisa huna tofauti na Accumen Mo na darcity.Kuna watu Huwa wanasema ukioa mchaga ni sawa na kukaribisha jambazi nyumbani kwako.kupewa sumu ni nje nje.nimeanza kuamini maana matukio mengi sana ya wachaga kuua waume zao ili kurithi mali
😅😅😅Baada ya kuwa mgalatia akawa na roho mbaya ,wewe mbona hutaki kuoa mpalestina?Huyo mwanamke Davis aliyemuoa kwani ni mchaga? Tena mswahili mndengereko kizuri alibadili dini na kuwa mkristo Yesu atamsamehe. Wewe nimsenge jinga kabisa huna tofauti na Accumen Mo na darcity.
Rejected human being.
Sayngay